Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Nape boresheni makaz ya polisi wenu bana, pengine itasaidia kuwapunguzia msongo wa mawazo na kwa hiyo wataacha kutulipua na mabomu.
Aisee, siamini kama wewe unaitakia mema nchi yetu, kauli yako imejaa uzandiki kama si uzabizabina.Raia ama mwananchi yeyote katika nchi huru yenye kufuata utawala wa sheria anao wajibu wa kutimiza katika kulilinda na kuliendeleza Taifa hili.,haitoshi kwa mtu kunadi kuwa sikumuua kwa kuwa sikushika bunduki kumuua lakini ni lazima kupima na kufikiri zaidi juu ya kauli tunazotoa zinazopelekea watu wetu kufa.
Kimsingi ni kuwa Chadema wanatamani madaraka na wanatumia njia zozote wanazofikiria zitawawezesha kufika ikulu, hata ikiwa njia hizo ni za kuharibu na kutoa uhai wa watu wetu. Amani ya nchi hii ni kitu kikubwa kuliko U-CCM na U-CHADEMA
huna jipyawatu wengi hatar sana ni wale ambao wanafikiri kuwa wanajua kila kitu na wanadhani wanaweza kufanya lolote wakati wowote bila kuzingatia sheria, utawala wala mamlaka iliyo juu yao. wakadhan kuwa wanayoyafikria wao ni sahihi na bora kuliko mawazo na fikra za wengine wote wasio wao. CHADEMA leo wao wanageuka kuwa ni viongozi-malaika wanachofanya chochote kwao ni sahihi na kila anayewaambia wanakosea ni mkosaji. Wanapambana na kila yule.
kwa akili za ushabiki wa kichama ni lazima useme hivyo. R.I.P CCMWatu wengi ni hatari sana ni wale ambao wanafikiri kuwa wanajua kila kitu na wanadhani wanaweza kufanya lolote wakati wowote bila kuzingatia sheria, utawala wala mamlaka iliyo juu yao, wakadhani kuwa wanayoyafikria wao ni sahihi na bora kuliko mawazo na fikra za wengine wote wasio wao.
CHADEMA leo wao wanageuka kuwa ni viongozi-malaika wanachofanya chochote kwao ni sahihi na kila anayewaambia wanakosea ni mkosaji. Wanapambana na kila yule ambaye anawaza tofauti na wao.
HII NI HATARI.
Polisi tangu awali walialikwa lkn hawakutokea; bilashaka walistuka, wangeumbuliwa..Kudadeki hichi kipindi nimekikuta mwishoni yani ndio naamka Mbona sijawaona Polisi kama waalikwa maana wao ndio wadau haswa wa Amani