donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,139
- Thread starter
- #21
safari njema mkaka...
Shukrani mkuu!
safari njema mkaka...
Soma novo man, umekaa siti moja na nani!?
ukifika moro tupungie walau mkono tu.
mkuu nimekaa na ustaadh mmoja picha linaanza ametia breach ndevu zake, nimemkubali maana ye anatia swala hadi ndani ya gari fresh kabisa!
Nashkru sana mkuu, naona wenyeji wangu mu wakarimu sana. Da farkhina huu mwili si ndo utablast kabisa kwa mangonjori ntakayoyakuta dom?
mmmmmmmmh nawe karibu kwetu zanzibarKweli itabidi unichukue na mie nkakusaidie kula😉😉😉😉😉😉
Kweli itabidi unichukue na mie nkakusaidie kula😉😉😉😉😉😉
Nic trip mkuu. Ukiweza weka picha hahahaaa
Hahaha, kwani sikujui?
Utajiju....kwanza hujaniaga kama waenda dom ntakwambia urudi saivi🙄🙄🙄🙄🙄
Nimefika wakuu, salama salmini. Niko maeneo ya airport huku!
Usisahau zile picha zile zetu za kurushana roho...😉😉😉😉😉😉
Nenda pale mbele ya Bunge kisha upige picha ili tuamini kama kweli uko Dom....