Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,852
- 95,799
RiwayaWalikuwepo watu wakubwa, wenye nyadhifa, wenye kiburi na makufuru zaidi yako.
Lakini siku ya mwisho wakaja kumkili Mungu. Na wengine walienda na dhambi zao na sasa wanapata haki yao huko ahera.
Na wewe ipo siku utauona uwepo wa Mungu, uwe hai au umekufa.