Utetezi wa uumbaji kimahesabu na kifizikia: Mathematician's and theoretical physicist appeal to creation

Uhakika Bro

JF-Expert Member
Mar 29, 2022
2,365
3,022
Leo nilikuwa natafuta swali la jumla ya idadi ya nishati ulimwenguni, imepelekea kunistua na kuyumbisha concept ya draga ya God is the ENERGY na kuipaisha concept ya a4afrika ya God is the LOGIC. Na kuibakisha imara kabisa concept ya Uhakika Bro ya kwamba God is the IDEA!!

Someni hii scientific fact from livescience:
''.....it seems that the total energy in the universe must be an inconceivably vast quantity. But it's not; it's probably zero.

Light, matter and antimatter are what physicists call "positive energy." And yes, there's a lot of it (though no one is sure quite how much). Most physicists think, however, that there is an equal amount of "negative energy" stored in the gravitational attraction that exists between all the positive-energy particles. The positive exactly balances the negative, so, ultimately, there is no energy in the universe at all....
''

Sasa bwana Draga ukibakia na concept yako ya God is energy huoni ambavyo unaruhusu mtu kama Scars na Kiranga kifizikia kuifuta hiyo concept yako na kusema hakuna energy, so hakuna Mungu?

Halafu mimi naendelea; God is the IDEA, the idea that is conscious and intelligent too, that conceived and used[wait, I am somehow wrong bout that, because when an idea is concious and intelligent it is therefore automatically logical too!] LOGIC to devide zero into positive one and negative one ENERGIES so we got something out of nothing, the total of which remains zero. Still logically consistent!! Pure genious, in fact more than genious👊

Uumbaji: Yaani kwamba Mungu ni WAZO, wazo ambalo linajitambua na lina akili pia, lililotunga na kutumia MANTIKI [No, nimekosea kuhusu kutunga!! maana ukishasema tu ni wazo lenye kujitambua na kuwa na akili inamaanisha kiotomati mantiki ipo pale!] kuigawanya sifuri kuwa NISHATI za hasi moja na chanya moja hivyo tukapata kitu kutoka katika hamna-kitu, jumla yake ikibakia ziro. Bado imebakia na ukamilifu wake wa kimantiki!! Hii ndiyo hekima iliyo kuu kabisa. God is Great, the greatest.

Mathematically;

0 / 2 = +1 + -1 + 0 which is also equal to zero [0]

Proof: +1 + -1 + 0 = 0

Mwisho wa dunia: Wanaosema mwisho wa dunia ni pale dunia [ulimwengu*] itakapokunjwa kama karatasi ni kwamba pale Mungu ataruhusu/atavikusanya na kuviweka pamoja vi hasi na chanya basi vitu vitaacha kuwepo. Vitapotea vuup! Ndiyo unakuwa mwisho. Lakini usisahau kwamba wazo lolote li nje ya huo uvitu, uhasi na uchanya though!

Uzima wa milele: Lakini kwa kuwa wazo ni tofauti na vitu na linao uwezo wa kuwepo pasi na vitu[hasi/chanya] bali tu kuwe na WAZO linalowaza hilo wazo. Basi mawazo mazuri yanayojielewa yatasavaivu hizo material na energy death😊. Yataendelea kuishi pamoja na Mungu wao ambaye ndio WAZO kuu. Hayatakuwa Mungu bali yataendelea kuwa sehemu ya Mungu. Labda yataenda katika hatua nyingine[tunaita mbinguni uweponi mwa Mungu] [another dimension] maana unajuaje labda sifuri haikugawanywa mara mbili? labda iligawanywa mara tatu tukapata matokeo saba[0, +3, +2, +1,-1,-2,-3]! au iligawanywa mara saba, au mara arobaini elfu na zaidi !!!? ad infinitum!

Tukirudi kwenye baibo kujaribu kusynchronize hizi concept zetu zote angalia inavyokaa kiutamu hapa.

Tunasema Yesu ni NENO[LOGIC] ni mwana wa MUNGU [IDEA] pasipo yeye hakikufanyika kitu, kila kitu cha chini huku ulimwenguni kwetu kilifanyika kupitia yeye NENO/LOGIC.

Utatu mtakatifu: Kama ambavyo mantiki[logic] na wazo sahihi/zuri[good idea] vinavyoleta taabu kuvitofautisha hadi mtu anaweza kusema tu ni kitu kimoja, Ndivyo ambavyo BABA na MWANA wanavyokuwa ni MMOJA na ROHO MTAKATIFU pia!. Suala la nafsi kuwa tatu litaeleweka pale ukitambua kwamba kiuhai/kibaiolojia/kiuwepo moja jumlisha moja mara nyingi ni tatu! Hii part ni kwa ajili ya Kisai na nani yule mwenye avatar ya Yesu kashika bastola?

BioMathematically;
A + B = A + B + AB [Three items] yaani baba jumlisha mama sawasawa na baba, mama na mtoto [3] na wote ni mwili mmoja yaani familia.

Na ni kweli yeye[LOGIC] ndio NJIA, KWELI na UZIMA. Kutokeza hizo hasi na chanya ni kazi za kimantiki UWEPO na KUTOKUWEPO. Energy na negative energy. Na vyote BABA yao ni mmoja ni lile WAZO HAI. The I AM THAT I AM 👊💪.

Ndugu zangu wa dini nyingine sijawaacha mbali ni kwamba haikatai hata tukisema kwamba Yesu kama mtu au Nabii/Mtume wa Mwenyezi Mungu alikuja duniani kuwasilisha/kulingania na kuwakilisha NENO/LOGIC ya Mwenyezi Mungu. Aliishi vizuri na kikamilifu hadi waliokuwa karibu naye wakakiri kuwa kwa kweli tumeona ambavyo huyu mwamba ni NENO/LOGIC iliyochukua mwili na ikakaa kwetu. Huyu ni Mwana wa Mungu [wakimaanisha huyo NENO alochukua mwili wa Yesu] ambaye vyote viliumbwa naye.

Vile Mungu anaweza kusema kuwa na ikawa basi lile neno 'kuwa na iwe' ndiyo lipo kimantiki inayozungumzwa hapa sheikh wangu. Wooote tunamtii Mungu ambaye ni mmoja tu na hakuna mwingine. The IDEA is the father of all including LOGIC and ENERGY and EVERYTHING that is seen or not seen. God is Great.

UPDATE: Suala la ENERGY tusilitoe umuhimu wala kulishusha thamani hata kidogo hasa tukiwa katika hii material universe. Maana kwa kuwa hakuna matter bila energy [E = mC2]. To a materialist energy is everything, but it is chaotic. Because he recognizes nothing beyond this. Energy guided logically following a good idea is all that thereis to a believer, it is purposefully orderly. Au energy ndio Roho Mtakatifu katika utatu nini? Wajuzi mnisaidie, binafsi naona inakujakuja. Nipeni go ahead hapa nisummarize kuwa IDEA, LOGIC and ENERGY are..... no, not are IDEA, LOGIC and ENERGY IS ONE.!!!?

Mini UPDATE: Kama ambavyo sisi ni vyoote vinavyoundaa miili yetu[MIKONO, MIGUU, UBONGO, MACHO] na zaidi yake nje na ndani ya mwili[can you locate your consciousness?] basi pia hata huo mkusanyiko itakuwa Mungu ni vyoote hivyo[IDEA,LOGIC,ENERGY] na zaidi yake ndani na nje ya creation[GOD]! Sisi finite creatures tuna ukomo. Our highest concept of God will remain smaller than his true Greatness. God is the greatest🙏.

UPDATE II: Baada ya majadiliano na Draga, amefanikiwa kurudisha umsingi wa energy kupower hayo mambo yote. Basi tumeweza kutengeneza hali ya 'kuku na yai kipi kilianza?🐣'. Na mi umsingi wa wazo lenye mantiki ili energy imake sense, ijiexpress au iwepo kweli. Tungeendelea kujisumbua kung'angana kuwa ilianza WAZO, au ilianza ENERGY, au ilianza LOGIC tusingemaliza. Basi tumeishia ni vyote vipo ni 'MOJA' na haikuanza wala haitakwisha. Basi hiyo sifuri ziro ilogawanywa mwanzo wetu ni ENERGY pia ilokuja kujigawanya kupata nishati hasi-1 na nishati chanya+1 [hapa ulimwenguni] na NISHATI 0[of which we can not comprehend] pia ambalo hilo tayari ni WAZO lenye MANTIKI. Tunagundua shida yetu ipo kwenye kuanza kuwaza mwanzo ulikuwaje kwa vitu ambavyo kiuhalisia havina mwanzo wala mwisho ndio maana inakuja ku-make sense both directions [which is the definition of not making sense🤭]. AKILI mtu wangu akili tu.

NB: Natambua Mungu hafananishwi na hata hizi concept tunazitunga ili kujaribu kumuelewa kwa kiwango chetu hapa duniani. Tunamuomba Mungu atujalie kumjua kwa uzuri zaidi kadri tunavyokua. Maana Yeye ajua zaidi.
 
Kwa hiyo kupitia formula yako ya hesabu ni wazi kwamba njia hiyo inathibitisha Mungu Yehova na habari za utatu mtakatifu ambao haukubaliki na jamii ya kiislamu?

Najua point yako ilikuwa kuweka hoja ku challenge atheists lakini since umemtaja Yesu na utatu umejikuta upo katika nafasi ya kujibu maswali ya waislamu wenye itikadi kali

Kwa hiyo sio atheists tu ambao watapinga kanuni yako, kuna waislamu pia. Hiyo inakupa tafsiri gani?

So unashaurije?

Kwanini tusiwape nafasi nyinyi kwa nyinyi believers mkae chini mfikie muafaka wa pamoja kukubaliana jibu moja ambalo mtasimamia kwa pamoja kwenye mjadala dhidi yetu?
 
mada nizipendazo mimi😊
Me too! huwa najaribu kuviunganisha vyote vya kweli ninavyovijua, na vile vipya vinavyojitokeza kufit katika uhalisia mmoja tunaouishi.

A kind of personalized THEORY OF EVERYTHING [TOE] na naamini kila mmoja anayo yake binafsi pia.
 
Kwa hiyo kupitia formula yako ya hesabu ni wazi kwamba njia hiyo inathibitisha Mungu Yehova na habari za utatu mtakatifu ambao haukubaliki na jamii ya kiislamu?

Najua point yako ilikuwa kuweka hoja ku challenge atheists lakini since umemtaja Yesu na utatu umejikuta upo katika nafasi ya kujibu maswali ya waislamu wenye itikadi kali

Kwa hiyo sio atheists tu ambao watapinga kanuni yako, kuna waislamu pia. Hiyo inakupa tafsiri gani?

So unashaurije?

Kwanini tusiwape nafasi nyinyi kwa nyinyi believers mkae chini mfikie muafaka wa pamoja kukubaliana jibu moja ambalo mtasimamia kwa pamoja kwenye mjadala dhidi yetu?
Mr Scars, mimi sijawahi kutaja jina la Mungu maana sioni mantiki hata ya kuwepo jina.

Jina hutolewa kwa vitu ambavyo vipo zaidi ya kimoja ili kuvitofautisha. Mungu ni mmoja sasa jina la nini?

Na bado akipewa jina anapewa la kikabila ili kumbinafsisha/kumtaifisha. Na Mungu hana upendeleo unambinafsishaje?

Kutokana na msimamo huo basi huwa kutokea moyoni sitaji jina, naonaga kutaja majina ni kukubali subconsciously kuwa kuna mwingine pia.

Na kuhusu waislamu, nimeligundua hilo na kujaribu kuliadress vyenye ambavyo Yesu kama mtu ni nabii wa Mungu. Aliyepresent Neno na kuliishi kikamilifu. Neno ni Mwana wa Wazo. Neno/Logic na WazoZuri/GoodIdea ni MMOJA na ni ukweli kwamba Neno[Mwana] latokana na Wazo[Baba].......................Simple🐣. Na Mwenyezi Mungu amebakia kuwa mmoja tu na hakuna mwingine.
 
Allaah the creator, ndio aliyeumba dunia na vilivyomo kisayansi na kuwapa viumbe (binadamu) uwezo wa kufasiri sayansi na kuifanyia kazi ndio leo unaona binadamu wakitengeneza Majengo, magari, ndege na vitu vingi huu wote ni uwezo wa Mungu kumpa binadam aweze kuitawala dunia na kwake tutarejea......
 
Mr Scars, mimi sijawahi kutaja jina la Mungu maana sioni mantiki hata ya kuwepo jina.

Jina hutolewa kwa vitu ambavyo vipo zaidi ya kimoja ili kuvitofautisha. Mungu ni mmoja sasa jina la nini?

Na bado akipewa jina anapewa la kikabila ili kumbinafsisha/kumtaifisha. Na Mungu hana upendeleo unambinafsishaje?

Kutokana na msimamo huo basi huwa kutokea moyoni sitaji jina, naonaga kutaja majina ni kukubali subconsciously kuwa kuna mwingine pia.

Na kuhusu waislamu, nimeligundua hilo na kujaribu kuliadress vyenye ambavyo Yesu kama mtu ni nabii wa Mungu. Aliyepresent Neno na kuliishi kikamilifu. Neno ni Mwana wa Wazo. Neno/Logic na WazoZuri/GoodIdea ni MMOJA na ni ukweli kwamba Neno[Mwana] latokana na Wazo[Baba].......................Simple🐣. Na Mwenyezi Mungu amebakia kuwa mmoja tu na hakuna mwingine.
Hata ukikwepa kutaja jina ila utatu mtakakatifu tunajua unawakilishwa na Mungu mwenye jina gani na dini gani

Umemtaja Yesu ambaye naye ni part ya Mungu, ambaye katika uislamu hatambuliki
 
Allaah the creator, ndio aliyeumba dunia na vilivyomo kisayansi na kuwapa viumbe (binadamu) uwezo wa kufasiri sayansi na kuifanyia kazi ndio leo unaona binadamu wakitengeneza Majengo, magari, ndege na vitu vingi huu wote ni uwezo wa Mungu kumpa binadam aweze kuitawala dunia na kwake tutarejea......NAWASILISHA
I totally agree.... I just tried to elaborate how creation came to be out of nothing.

Allah, Arabic Allāh (“God”), the one and only God in Islam. Etymologically, the name Allah is probably a contraction of the Arabic al-Ilāh, “the God.” The name's origin can be traced to the earliest Semitic writings in which the word for god was il, el, or eloah, the latter two used in the Hebrew Bible

So haikatai hata ukirejea kwenye uzi na kuamua kureplace pote nilipoweka neno 'BABA' au 'Mungu' kuwa Allah, haikatai kabisa. Go ahead and do it.
 
Hata ukikwepa kutaja jina ila utatu mtakakatifu tunajua unawakilishwa na Mungu mwenye jina gani na dini gani

Umemtaja Yesu ambaye naye ni part ya Mungu, ambaye katika uislamu hatambuliki
Wewe kuielewa hii kitu itakuwa ngumu, watu walioweza kun'gamua uwepo wa Mungu mmoja sina kesi nao. Tumebakia tu kujadili nao kuwa huyo Mungu mmoja yupojepoje. Au mambo yapojepoje kiuhusiano. Difinisheni yenyewe tu ya Mungu kama ungeikubali utaona hairuhusu uwepo wa mibadala/alternatives. Kwa maana hiyo haimake sense kabisa kusema sentesi eti 'Unamaanisha Mungu gani?' hili swali haliwezi toka kwa muamini wa kweli naamini hivyo.

Kumtaja Yesu mbona nimeshafafanua kuwa siyo yeye kama mtu bali nazungumzia kilichokuwa ndani yake yaani NENO. Sina shida nao hata kama wakin'gang'ana kumbakiza YESU kama nabii tu, nabiy ISSA. Sema kutokana na kwamba mtu ni wazo linalomjenga huyo mtu ndiyo imekuwa Yesu ni NENO aliexpress Neno kila alichofanya hapa duniani. Mwana yu ndani ya Baba na naye Baba ndani ya Mwana! Na haikatai maana hata sisi sote tu ndani ya Mwana na Mwana ndani yetu so kiotomati ndani ya Mungu na Mungu ndani yetu😊
BABA NA MWANA.jpg
 
Leo nilikuwa natafuta swali la jumla ya idadi ya nishati ulimwenguni, imepelekea kunistua na kuyumbisha concept ya draga ya God is the ENERGY na kuipaisha concept ya a4afrika ya God is the LOGIC. Na kuibakisha imara kabisa concept ya Uhakika Bro ya kwamba God is the IDEA!!

Someni hii scientific fact from livescience:
''.....it seems that the total energy in the universe must be an inconceivably vast quantity. But it's not; it's probably zero.

Light, matter and antimatter are what physicists call "positive energy." And yes, there's a lot of it (though no one is sure quite how much). Most physicists think, however, that there is an equal amount of "negative energy" stored in the gravitational attraction that exists between all the positive-energy particles. The positive exactly balances the negative, so, ultimately, there is no energy in the universe at all....
''

Sasa bwana Draga ukibakia na concept yako ya God is energy huoni ambavyo unaruhusu mtu kama Scars na Kiranga kifizikia kuifuta hiyo concept yako na kusema hakuna energy, so hakuna Mungu?

Halafu mimi naendelea; God is the IDEA, the idea that is conscious and intelligent too, that conceived and used[wait, I am somehow wrong bout that, because when an idea is concious and intelligent it is therefore automatically logical too!] LOGIC to devide zero into positive one and negative one ENERGIES so we got something out of nothing, the total of which remains zero. Still logically consistent!! Pure genious, in fact more than genious

Uumbaji: Yaani kwamba Mungu ni WAZO, wazo ambalo linajitambua na lina akili pia, lililotunga na kutumia MANTIKI [No, nimekosea kuhusu kutunga!! maana ukishasema tu ni wazo lenye kujitambua na kuwa na akili inamaanisha kiotomati mantiki ipo pale!] kuigawanya sifuri kuwa NISHATI za hasi moja na chanya moja hivyo tukapata kitu kutoka katika hamna-kitu, jumla yake ikibakia ziro. Bado imebakia na ukamilifu wake wa kimantiki!! Hii ndiyo hekima iliyo kuu kabisa. God is Great, the greatest.

Mathematically;

0 / 2 = +1 + -1 + 0 which is also equal to zero [0]

Proof: +1 + -1 + 0 = 0

Mwisho wa dunia: Wanaosema mwisho wa dunia ni pale dunia itakapokunjwa kama karatasi ni kwamba pale Mungu ataruhusu/atavikusanya na kuviweka pamoja vi hasi na chanya basi vitu vitaacha kuwepo. Vitapotea vuup! Ndiyo unakuwa mwisho. Lakini usisahau kwamba wazo lolote li nje ya huo uvitu, uhasi na uchanya though!

Uzima wa milele: Lakini kwa kuwa wazo ni tofauti na vitu na linao uwezo wa kuwepo pasi na vitu[hasi/chanya] bali tu kuwe na WAZO linalowaza hilo wazo. Basi mawazo mazuri yanayojielewa yatasavaivu hizo material na energy death. Yataendelea kuishi pamoja na Mungu wao ambaye ndio WAZO kuu. Hayatakuwa Mungu bali yataendelea kuwa sehemu ya Mungu. Labda yataenda katika hatua nyingine[tunaita mbinguni uweponi mwa Mungu] [another dimension] maana unajuaje labda sifuri haikugawanywa mara mbili? labda iligawanywa mara tatu tukapata matokeo saba[0, +3, +2, +1,-1,-2,-3]! au iligawanywa mara saba, au mara arobaini elfu na zaidi !!!? ad infinitum!

Tukirudi kwenye baibo kujaribu kusynchronize hizi concept zetu zote angalia inavyokaa kiutamu hapa.

Tunasema Yesu ni NENO[LOGIC] ni mwana wa MUNGU [IDEA] pasipo yeye hakikufanyika kitu, kila kitu cha chini huku ulimwenguni kwetu kilifanyika kupitia yeye NENO/LOGIC.

Utatu mtakatifu: Kama ambavyo mantiki[logic] na wazo sahihi/zuri[good idea] vinavyoleta taabu kuvitofautisha hadi mtu anaweza kusema tu ni kitu kimoja, Ndivyo ambavyo BABA na MWANA wanavyokuwa ni MMOJA na ROHO MTAKATIFU pia!. Suala la nafsi kuwa tatu litaeleweka pale ukitambua kwamba kiuhai/kibaiolojia/kiuwepo moja jumlisha moja mara nyingi ni tatu! Hii part ni kwa ajili ya Kisai na nani yule mwenye avatar ya Yesu kashika bastola?

BioMathematically;
A + B = A + B + AB [Three items] yaani baba jumlisha mama sawasawa na baba, mama na mtoto [3] na wote ni mwili mmoja yaani familia.

Na ni kweli yeye[LOGIC] ndio NJIA, KWELI na UZIMA. Kutokeza hizo hasi na chanya ni kazi za kimantiki UWEPO na KUTOKUWEPO. Energy na negative energy. Na vyote BABA yao ni mmoja ni lile WAZO HAI. The I AM THAT I AM .

Ndugu zangu wa dini nyingine sijawaacha mbali ni kwamba haikatai hata tukisema kwamba Yesu kama mtu au Nabii/Mtume wa Mwenyezi Mungu alikuja duniani kuwasilisha/kulingania na kuwakilisha NENO/LOGIC ya Mwenyezi Mungu. Aliishi vizuri na kikamilifu hadi waliokuwa karibu naye wakakiri kuwa kwa kweli tumeona ambavyo huyu mwamba ni NENO/LOGIC iliyochukua mwili na ikakaa kwetu. Huyu ni Mwana wa Mungu [wakimaanisha huyo NENO alochukua mwili wa Yesu] ambaye vyote viliumbwa naye.

Vile Mungu anaweza kusema kuwa na ikawa basi lile neno 'kuwa na iwe' ndiyo lipo kimantiki inayozungumzwa hapa sheikh wangu. Wooote tunamtii Mungu ambaye ni mmoja tu na hakuna mwingine. The IDEA is the father of all including LOGIC and ENERGY and EVERYTHING that is seen or not seen. God is Great.

UPDATE: Suala la ENERGY tusilitoe umuhimu wala kulishusha thamani hata kidogo hasa tukiwa katika hii material universe. Maana kwa kuwa hakuna matter bila energy [E = mC2]. To a materialist energy is everything, but it is chaotic. Because he recognizes nothing beyond this. Energy guided logically following a good idea is all that thereis to a believer, it is purposefully orderly. Au energy ndio Roho Mtakatifu katika utatu nini? Wajuzi mnisaidie, binafsi naona inakujakuja. Nipeni go ahead hapa nisummarize kuwa IDEA, LOGIC and ENERGY are..... no, not are IDEA, LOGIC and ENERGY IS ONE.!!!?

Natambua Mungu hafananishwi na hata hizi concept tunazitunga ili kujaribu kumuelewa kwa kiwango chetu hapa duniani. Tunamuomba Mungu atujalie kumjua kwa uzuri zaidi kadri tunavyokua. Maana Yeye ajua zaidi.

Kumbuka energy can not be created no destroy but can be transformed from one form to another form (phsical form) . Ila idea lazma Itengenezwe from source of energy na pia inauwezo wakudestroyed , tuchukulie mfano tu ata idea ya kutengeneza ndege haikuweza kutoka tu bila source of energy , kuweka neno idea ni lazma uhusishe akili ambayo ni physical after energy change to phsical form , kumbuka pia iliakili iweze kuwa na intelligence lazma iwe imepata kwanza nishati mbalmbal mfano protein vitamin carbohydrate na electrolytes mbalimbali zilizo mfumo wa energy , akili ni level ya chini sana katika NISHATI ya maumbile, ukisema Mungu anaakili umemlevel Kwenye maumbile yake ya kiwango chake cha chini cha utendaji after change to phsical.

Issue ya kiranga na scar ni wao tu kushindwa kuoperate Kwenye high level ya haya maumbile, kutambua kila kitu kipo connect in high dimension ya maumbile na kufanya kitu kimoja kilichopewa jina la Mungu in physical form ili akili ielewe, mtu kma kiranga anauliza kma Mungu yupo kwa nn kuna mabaya ,syo tatzo lake coz dini haina majibu sahihi ya maswali kma haya, anashindwa tu kuelewa kuwa kuna negative energy na positive energy in order to balance nature , na life in physical form li proceed, kuona jambo fulani ni baya na jingne ni zuri Kwenye level ya physical form, ila kwenye dimension ya juu zaidi ni kubalance nature.

Mfano assume watu wasingekufa apo unapoishi usingeishi leo , watu wanaiba ili police hakimu waishi, kuna njaa ili wakulima walime tushibe, kuna magonjwa ili tuexpirience uponyaji na madaktari waishi, kuna dhulma ili tujue haki ni nini, kuna waovu ili uwajue wema, tabia MUNGU (energy )ni kubance ndo maana anapenda mtu uwe na kiasi, kila kitu kimekamilika na tupo apa kuja kuexperience NISHATI ya maumbile in physical form tukifa in physical form tunakua in energy form na energy form to physical form , yan ni sawa tu na maji mvuke na barafu and vice versa..
 
Wewe kuielewa hii kitu itakuwa ngumu, watu walioweza kun'gamua uwepo wa Mungu mmoja sina kesi nao. Tumebakia tu kujadili nao kuwa huyo Mungu mmoja yupojepoje. Au mambo yapojepoje kiuhusiano. Difinisheni yenyewe tu ya Mungu kama ungeikubali utaona hairuhusu uwepo wa mibadala/alternatives. Kwa maana hiyo haimake sense kabisa kusema sentesi eti 'Unamaanisha Mungu gani?' hili swali haliwezi toka kwa muamini wa kweli naamini hivyo.

Kumtaja Yesu mbona nimeshafafanua kuwa siyo yeye kama mtu bali nazungumzia kilichokuwa ndani yake yaani NENO. Sina shida nao hata kama wakin'gang'ana kumbakiza YESU kama nabii tu, nabiy ISSA. Sema kutokana na kwamba mtu ni wazo linalomjenga huyo mtu ndiyo imekuwa Yesu ni NENO aliexpress Neno kila alichofanya hapa duniani. Mwana yu ndani ya Baba na naye Baba ndani ya Mwana! Na haikatai maana hata sisi sote tu ndani ya Mwana na Mwana ndani yetu so kiotomati ndani ya Mungu na Mungu ndani yetuView attachment 2264102
Ila unatakiwa utambue kwanza unaishi Kwenye matrix umepangiwa cha kufanya na cha kuamua na watu wachache wenye nia ya mtu asijitambue , ukiona nembo ya jicho la tatu kwenye hao wanaoitwa secret society , ujue wao wamejitambua na ndo wao walituweka kwenye matrix fo the purpose.

Ili mtu ujitambue na ujue ukweli wote from univesal memory unatakiwa uwe true seeker wa meditation ya spiritual.
 
Kwa hiyo kupitia formula yako ya hesabu ni wazi kwamba njia hiyo inathibitisha Mungu Yehova na habari za utatu mtakatifu ambao haukubaliki na jamii ya kiislamu?

Najua point yako ilikuwa kuweka hoja ku challenge atheists lakini since umemtaja Yesu na utatu umejikuta upo katika nafasi ya kujibu maswali ya waislamu wenye itikadi kali

Kwa hiyo sio atheists tu ambao watapinga kanuni yako, kuna waislamu pia. Hiyo inakupa tafsiri gani?

So unashaurije?

Kwanini tusiwape nafasi nyinyi kwa nyinyi believers mkae chini mfikie muafaka wa pamoja kukubaliana jibu moja ambalo mtasimamia kwa pamoja kwenye mjadala dhidi yetu?
Watu wanaojua Mungu yupo watakaaje na watu wanaoamini Mungu yupo? Wanaoamini wapo mbali kule wanahisihisi tu yupo , wanaojua , wanajua bila kutegemea hadithi za kale za mashariki ya Kati ,utawezaje kumjua Mungu wakati wewe wenyewe haujui ni nani? Umetoka wapi , upo apa kwa dhumuni gan, na unaenda wapi ? Ipo tofauti ya anae jua na anaeamini na ambae hajui wala aamini tena bora huyu coz amepotezwa na anae amini tu ila hana uhakika.
 
Kumbuka energy can not be created no destroy but can be transformed from one form to another form (phsical form) . Ila idea lazma Itengenezwe from source of energy na pia inauwezo wakudestroyed , tuchukulie mfano tu ata idea ya kutengeneza ndege haikuweza kutoka tu bila source of energy , kuweka neno idea ni lazma uhusishe akili ambayo ni physical after energy change to phsical form , kumbuka pia iliakili iweze kuwa na intelligence lazma iwe imepata kwanza nishati mbalmbal mfano protein vitamin carbohydrate na electrolytes mbalimbali zilizo mfumo wa energy , akili ni level ya chini sana katika NISHATI ya maumbile, ukisema Mungu anaakili umemlevel Kwenye maumbile yake ya kiwango chake cha chini cha utendaji after change to phsical ,. issue ya kiranga na scar ni wao tu kushindwa kuoperate Kwenye high level ya haya maumbile , kutambua kila kitu kipo connect in high dimension ya maumbile na kufanya kitu kimoja kilichopewa jina la Mungu in physical form ili akili ielewe, mtu kma kiranga anauliza kma Mungu yupo kwa nn kuna mabaya ,syo tatzo lake coz dini haina majibu sahihi ya maswali kma haya, anashindwa tu kuelewa kuwa kuna negative energy na positive energy in order to balance nature , na life in physical form li proceed, kuona jambo fulani ni baya na jingne ni zuri Kwenye level ya physical form, ila kwenye dimension ya juu zaidi ni kubalance nature. Mfano assume watu wasingekufa apo unapoishi usingeishi leo , watu wanaiba ili police hakimu waishi, kuna njaa ili wakulima walime tushibe, kuna magonjwa ili tuexpirience uponyaji na madaktari waishi, kuna dhulma ili tujue haki ni nini, kuna waovu ili uwajue wema, tabia MUNGU (energy )ni kubance ndo maana anapenda mtu uwe na kiasi, kila kitu kimekamilika na tupo apa kuja kuexperience NISHATI ya maumbile in physical form tukifa in physical form tunakua in energy form na energy form to physical form , yan ni sawa tu na maji mvuke na barafu and vice versa..
Mkuu umeifanya energy kuwa juu ya intelligence! unaweza kutuambia hiyo energy ilijuaje kwamba ikijigawa into positive energy na negative energy ndio mambo yatawezekanika kuwepo bila intelligence of some form kuhusika?

Energy is part of the material world, the essence of it, materialist believe in the primacy of matter over idea. Energy is a material too [E=mc2], an equivalent. Are you a materialist too? Mimi kwa upande wangu naamini umsingi wa kiroho/idea kisha material.

Na je unakubali kwamba nishati/energy yoote ilianza kwa big bang na kanuni ilivyo chenye mwanzo kitakuwa na mwisho right?

Umesema energy can not be destroyed........ mfano nikafanikiwa kuziunganisha negative energy na positive energy fulani je hapo sitakuwa nimeua energy? Kibiblia na Qur'an wametumia picha ya kukusanya/kukunja kiganjani labda kuashiria mwisho utakavyokuwa?
 
Mkuu umeifanya energy kuwa juu ya intelligence! unaweza kutuambia hiyo energy ilijuaje kwamba ikijigawa into positive energy na negative energy ndio mambo yatawezekanika kuwepo bila intelligence of some form kuhusika?

Energy is part of the material world, the essence of it, materialist believe in the primacy of matter over idea. Energy is a material too [E=mc2], an equivalent. Are you a materialist too? Mimi kwa upande wangu naamini umsingi wa kiroho/idea kisha material.

Na je unakubali kwamba nishati/energy yoote ilianza kwa big bang na kanuni ilivyo chenye mwanzo kitakuwa na mwisho right?

Umesema energy can not be destroyed........ mfano nikafanikiwa kuziunganisha negative energy na positive energy fulani je hapo sitakuwa nimeua energy? Kibiblia na Qur'an wametumia picha ya kukusanya/kukunja kiganjani labda kuashiria mwisho utakavyokuwa?
Nmekuelewa sana mkuu, ngoja niiweke concept hii Kwenye mfano .

Tuchukulie wewe ni nyumba na Mungu ni umeme, wewe ndani yako kuna Mungu ambae ni umeme, kumbuka pia kuna nyumba nyingi ambazo pia zina umeme , ambao umeme huo chanzo chake ni kimoja , nyumba moja ikikata umeme haimaanishi umeme kwa mwingne haupo , concept hi haina tofauti na ukisema Mungu yupo ndani ya maumbile yote katika mfano wa NISHATI , ukisema Mungu ni idea (wazo au dhumuni) ndani ya wazo kumbuka pia kuna nguvu , ndo maana kuna watu huwa upenda kusma unatambua nguvu ya wazo ?

Inaanza kwanza nguvu then wazo ndo linafuta wazo haliwezi KUMANIFEST in physical form lisipo kuwa na nguvu flani, ila nguvu inaweza tengeneza wazo (idea) lazma sperm ziwe na nguvu ili ziweze KUMANIFEST phsical form wazo la sperm kuwepo lazma Liwe na nguvu ili sperm ziwepo.
 
Nmekuelewa sana mkuu, ngoja niiweke concept hii Kwenye mfano .Tuchukulie wewe ni nyumba na Mungu ni umeme, wewe ndani yako kuna Mungu ambae ni umeme, kumbuka pia kuna nyumba nyingi ambazo pia zina umeme , ambao umeme huo chanzo chake ni kimoja , nyumba moja ikikata umeme haimaanishi umeme kwa mwingne haupo , concept hi haina tofauti na ukisema Mungu yupo ndani ya maumbile yote katika mfano wa NISHATI ,
Katika kipande hiki cha kwanza nitakubaliana waziwazi na suala la kuwa miilinya sisi ni kama nyumba tulio na nguvu [umeme]ya kimungu ndani yetu. Na hiyo nguvu ya kimungu ndiyo inayotu 'power' sisi. Na miili ndiyo inayotuwezesha tuchangamane na maada za kidunia[material world]. Lakini wazo la Mungu ndio linalowezesha yoooote haya yawepo kimpangilio na NISHATI ya kuyashikilia/maintain order. In him we live, move and have our being. Nasisitiza kuwa sisi ni wazo hai tunaoishi kwa nguvu za mungu tu [hiyo energy] na wote ni sehemu ya wazo lake.
ukisema Mungu ni idea (wazo au dhumuni) ndani ya wazo kumbuka pia kuna nguvu , ndo maana kuna watu huwa upenda kusma unatambua nguvu ya wazo ? Inaanza kwanza nguvu then wazo ndo linafuta wazo haliwezi KUMANIFEST in physical form lisipo kuwa na nguvu flani, ila nguvu inaweza tengeneza wazo (idea) lazma sperm ziwe na nguvu ili ziweze KUMANIFEST phsical form wazo la sperm kuwepo lazma Liwe na nguvu ili sperm ziwepo.
Kaka draga hapa kuwa honest kisarufi tu: ukisema nguvu ya wazo, mojakwa moja ina maana wazo ndio limebeba nguvu. Mfano hili ni yai la kuku. Wazo linaanza ndiyo nguvu inafuata. Wazo linaweza kuwepo hata kama hakuna nguvu. Nguvu inakuja baadaye. Lakini pia nisijiblind hata mi naona ugumu wa wazo kuwepo bila nishati yoyote!🤔. Amaa kweli hii ni kuku na yai situation.

Ngoja nikuoneshe kitu kimoja: Nishati huwa haiwezi kujionesha au kuwa expressed kama hakuna utofauti. Mfano joto litatembea kutoka katika high temperature to low temperature. Ikitokea kuna energy iliyo sawa na kila kitu kikawa kiko sawa pote hiyo energy ni sawa na haipo[wanaita chaos]. Inahitajika akili/'wazo lenye mantiki' ili kugawa hasi na chanya, mwanga na giza ndio kila kimoja kiwepo[order]. Ni kama tu tunavyoyafungia maji upande mmoja ili kucreate potential energy. Wazo na mantiki vinajiexpress halafu nguvu ni kama matokeo japo ilikuwepo tangu mwanzo pia ni vile tu imekuwa sasa fully expressed by being differentiated. I mean am I the only one here who see that they are one in one!?

Lakini ukikubali kusema kuwa vyote vipo kwa pamoja basi ubishi utaisha papo hapo. Ni kukubali tu kwamba nguvu hapohapo iko na akili [IDEA/LOGIC/ENERGY] is one thing tunapata utatu mtakatifu. Does this make sense?
 
Katika kipande hiki cha kwanza nitakubaliana waziwazi na suala la kuwa miilinya sisi ni kama nyumba tulio na nguvu [umeme]ya kimungu ndani yetu. Na hiyo nguvu ya kimungu ndiyo inayotu 'power' sisi. Na miili ndiyo inayotuwezesha tuchangamane na maada za kidunia[material world]. Lakini wazo la Mungu ndio linalowezesha yoooote haya yawepo kimpangilio na NISHATI ya kuyashikilia/maintain order. In him we live, move and have our being. Nasisitiza kuwa sisi ni wazo hai tunaoishi kwa nguvu za mungu tu [hiyo energy] na wote ni sehemu ya wazo lake.

Kaka draga hapa kuwa honest kisarufi tu: ukisema nguvu ya wazo, mojakwa moja ina maana wazo ndio limebeba nguvu. Mfano hili ni yai la kuku. Wazo linaanza ndiyo nguvu inafuata. Wazo linaweza kuwepo hata kama hakuna nguvu. Nguvu inakuja baadaye. Lakini pia nisijiblind hata mi naona ugumu wa wazo kuwepo bila nishati yoyote!. Amaa kweli hii ni kuku na yai situation.

Ngoja nikuoneshe kitu kimoja: Nishati huwa haiwezi kujionesha au kuwa expressed kama hakuna utofauti. Mfano joto litatembea kutoka katika high temperature to low temperature. Ikitokea kuna energy iliyo sawa na kila kitu kikawa kiko sawa pote hiyo energy ni sawa na haipo[wanaita chaos]. Inahitajika akili/'wazo lenye mantiki' ili kugawa hasi na chanya, mwanga na giza ndio kila kimoja kiwepo[order]. Ni kama tu tunavyoyafungia maji upande mmoja ili kucreate potential energy. Wazo na mantiki vinajiexpress halafu nguvu ni kama matokeo japo ilikuwepo tangu mwanzo pia ni vile tu imekuwa sasa fully expressed by being differentiated. I mean am I the only one here who see that they are one in one!?

Lakini ukikubali kusema kuwa vyote vipo kwa pamoja basi ubishi utaisha papo hapo. Ni kukubali tu kwamba nguvu hapohapo iko na akili [IDEA/LOGIC/ENERGY] is one thing tunapata utatu mtakatifu. Does this make sense?
Yap lazma vyote viwe pamoja wazo linazaa nguvu nguvu inazaa wazo .
 
Wazo ili liweze KU be manifest to another form lazma wazo Hilo Liwe na nguvu.
 
Katika kipande hiki cha kwanza nitakubaliana waziwazi na suala la kuwa miilinya sisi ni kama nyumba tulio na nguvu [umeme]ya kimungu ndani yetu. Na hiyo nguvu ya kimungu ndiyo inayotu 'power' sisi. Na miili ndiyo inayotuwezesha tuchangamane na maada za kidunia[material world]. Lakini wazo la Mungu ndio linalowezesha yoooote haya yawepo kimpangilio na NISHATI ya kuyashikilia/maintain order. In him we live, move and have our being. Nasisitiza kuwa sisi ni wazo hai tunaoishi kwa nguvu za mungu tu [hiyo energy] na wote ni sehemu ya wazo lake.

Kaka draga hapa kuwa honest kisarufi tu: ukisema nguvu ya wazo, mojakwa moja ina maana wazo ndio limebeba nguvu. Mfano hili ni yai la kuku. Wazo linaanza ndiyo nguvu inafuata. Wazo linaweza kuwepo hata kama hakuna nguvu. Nguvu inakuja baadaye. Lakini pia nisijiblind hata mi naona ugumu wa wazo kuwepo bila nishati yoyote!. Amaa kweli hii ni kuku na yai situation.

Ngoja nikuoneshe kitu kimoja: Nishati huwa haiwezi kujionesha au kuwa expressed kama hakuna utofauti. Mfano joto litatembea kutoka katika high temperature to low temperature. Ikitokea kuna energy iliyo sawa na kila kitu kikawa kiko sawa pote hiyo energy ni sawa na haipo[wanaita chaos]. Inahitajika akili/'wazo lenye mantiki' ili kugawa hasi na chanya, mwanga na giza ndio kila kimoja kiwepo[order]. Ni kama tu tunavyoyafungia maji upande mmoja ili kucreate potential energy. Wazo na mantiki vinajiexpress halafu nguvu ni kama matokeo japo ilikuwepo tangu mwanzo pia ni vile tu imekuwa sasa fully expressed by being differentiated. I mean am I the only one here who see that they are one in one!?

Lakini ukikubali kusema kuwa vyote vipo kwa pamoja basi ubishi utaisha papo hapo. Ni kukubali tu kwamba nguvu hapohapo iko na akili [IDEA/LOGIC/ENERGY] is one thing tunapata utatu mtakatifu. Does this make sense?
Mr uhakilka bro naona tuko Kwenye mstari mmoja wa utambuzi wa kiroho, scar na kiranga tusiwaache nafkiri ipo nguvu inawasukuma kuutambua ukweli, awapo kupinga kibahati mbaya tu , kupinga kwao kuna sababu nzuri tu na zenye mantic sahihi kabsa kulingana na upofu tuliotiwa na dini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom