Omnipotence paradox na ukomo wa nguvu za Mungu

Omnipotence paradox na ukomo wa nguvu za Mungu

Averroes alisema haya kuhusu omnipotence;

"Can deity create a rock so heavy that even the deity itself cannot lift it? So then the rock is now unliftable limiting the deity power, but if not then the deity is not omnipotent because it cannot create that rock.

Hii ni sawa na kusema hivi "Je, katika sheria hizi hizi na Euclidean geometry, Mungu anaweza kutengeneza pembetatu ambayo jumla ya angle zake siyo 180?

Au Mungu anaweza kutengeneza gereza ambalo lina ulinzi mkali kiasi kwamba hata yeye mwenyewe hawezi kutoroka?

Si kila kinachosemwa ni rational, alichosema ni ILLOGICALLY na MEANINGLESS kwa sababu kinapingana na msingi mkuu wa logic: LAW OF NON CONTRADICTION, waliosoma philosophy wanaelewa. Ufuatao ni ushubwada unaofanana na hicho alichosema

1. Unaweza kuchora pembetatu ya duara?

2. Unaweza kuwa hai na mfu kwa wakati mmoja?

3. Unaweza kula harufu ya rangi ya njano?

4. Unaweza kupunguza kasi ya gari kwa kukanyaga clutch na accelerator?

5. Unaweza kumeza chakula kwa kutumia macho?

6. Unaweza kupumua kwa kuvuta hewa ya dayoksidi kabonia na kutoa oksijeni?

#ALL THE ABOVE & THE LIKE ARE NONSENSICAL


Sent from my SM-G935L using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Bennie,hapa kitu cha msingi si kutengeneza pembetatu hiyo au rock,cha msingi hapa ni je mungu huyo atatuthibitishia vipi kuwa yeye ananguvu zote

Kama mungu anaweza kutengeneza "unliftable rock" na akashindwa kuunyanyua basi yeye si mwenye nguvu zote,

Na kama akishindwa kutengeneza unliftable rock,basi pia hana nguvu zote kwasababu kashindwa kufanya hivyo.
Hapa hoja ni nini? Kwamba kuna kitu kinaweza kumshinda Mwenyezi Mungu ambacho kakiumba mwenyewe?
 
Soma tena mara ya pili ndio utoe jibu.
Maana hapa unaonekana bado hujasoma umetoa tu jibu kwa kukurupuka
Jaribu kufafanua swali, ilinlilete maana la sivyo hata mwenye falisafa hiyohajui najiuliza nini.

Maanani mwanadamutu ndio anasifa ya kutengeneza kitu ambacho anaweza asikithibiti yaani ukomo wake hufikia mwisho . Sasa swali nin lipi?
 
Back
Top Bottom