figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,681
- 59,179
atakuwa yule aloimba "kazi yangu ya dukani inaniweka matatani". r.i.p omar. mia[/QU mia mwenyewe mana toka umeijua hyo mia imekuwa tabu.we nawe mzaramo wa wapi hufahamu hata waimbaji wenu,huyo wa kaz ya dukan anaitwa dogo mfaume,alokufa anaitwa omari omari.
joe5 una mikwala sana, na yule aloimba na nature "hata kikwete angekwenda na maji, vijiko vyote vimekwenda na maji". anaitwa nani?. mia
Last edited by a moderator: