OMARI OMARI afariki dunia

OMARI OMARI afariki dunia

kupata ni majaaliwa ndo naijua.. Upo mia? Mic you

yeah nikweli mkuu. kaimba ng'ombe amekosa ndevu lakini mbuzi kapewa, usinione mnyonge kupata ni majaliwa. Gobore kathibitisha kifo chake. mazishi yatafanyika leo pale kwa baba yake mikoroshini maeneo ya mwembe yanga temeke. ukifika pale kisumu bar ulizia tu utaelekezwa coz pale mwembe yanga ndo kijiwe chake cha nyumbani. R.I.P. Mia
 
atakuwa yule aloimba "kazi yangu ya dukani inaniweka matatani". r.i.p omar. mia

Aliyeimba kazi yangu ya dukani ni Dogo Mfaume, nyimbo zake ni maharufu ktk miaka ya 90 kama Kinyago msela (shamba langu), Baba Asha (Sungusungu hakulinda), Hereni, Upo wapi mama, na baadaye kuibuka tena miaka 2000 kwa kibao kupata ni Majaliwa.
 
Kuna ubaya gani asimention,wakti JK ni bingwa wa kuhudhuria misiba?!!!!! hasa ya wasanii"
Hakuna ubaya lakini hakuna ulazima.
TUheshimu misiba jamani,na pia tumheshimu kiongozi wa nchi.

na hiyo facti ya Ubingea wa kuhudhuria misiba haswa ya wasanii unaipimaje?
Je ni misiba mingapi ambayo JK anahudhuria na wewe na mimi hatuijui?
 
"usifatishe wapambe,mim nawajua,
na wala ucjgambe,kwa kufanikiwa,
ndevu amekosa ng'ombe,lakin mbuz kapewa"..

RIP NLIKUA NAUKUBALI SANA HUO MCHIRIKU..
 
msiba huu jk haendi, mmemsema sana! haendi nawahakikishia labda awe hana mshipa wa aibu.
 
Mtu wa watu husaidia watu watoke kwenye hali duni, kwenda kwenye hali nzuri walau kidogo. Naona yeye anafaa kuitwa mtu wa wafu; samahani lkn.


Kaunga hapa umenena


MIZAMBWA
INANIUMASANA!!!
 
Last edited by a moderator:
Omari Omari msanii maarufu wa mchiriku amefariki dunia, ....(source clouds fm).....bila shaka JK atahudhuria mazishi yake.

Hakika hawezi kosa kwenye msiba wa msanii mwenzake na akikosa atatuma wawakilishi na kutoa salam za rambirambi
 
JK ni Rais wa misiba ya Wasanii.

Anapenda kwenda kwenye majanga kama haya lakini kwenye matatizo mfano ya kuchomwa kwa makanisa na uharibufu wa mali, kujeruhiwa na mauaji ya watumishi wa Kanisa, hapo JK yupo kimya kabisa, na ikizingatiwa ni Waumini wenzie wanaotenda mambo hayo.

Ushauri kwa JK abadilke asifikiri kushiriki misiba ya wasanii ni kujidanganya kwa kujiweka akribu na vijana akijua kuwa atapendwa na vijana.

HATUDANGANYIIIIIIII.

Akitaka tumuelewe ashughulikie matatizo yanayogusa vijana mfano Ajira kwa vijana, vitendo vya unyanyasaji vya askari wa jiji na manispaa kuhusu Wamachinga, na kudhibiti mfumuko wa bei nchini.

Labda labda tutamuelewa!!!!!!!!!!!!!!!



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!!

Jk hakwenda kumjulia hali yule padri wa znz?
Jk hakwenda mbagala kwenyenuchomaji wa makanisa?
Sometimes tuwe tunafikiria vya kuongea wakuu tutakua lini?
 
Rip Omary Omary, jaman mbona mada mmemgeuzia baba Mwana Asha topic sehemu asiyostahili? Mwenye picha yake atuwekee.
 
JK Mwenyewe msanii
ndio maana wasanii wenzake wakipatwa na matatizo anakua mstari wa mbele
kuwasaidia...R.I.P Omari

Huvi nyinyi na kile kibabu chenu (Paroko) aliyefeli, mnaona shida kuzika mpaka mkazike wenye mahela tu sio! acheni hizo,JK ana utu.
 
Back
Top Bottom