Omari Omari msanii maarufu wa mchiriku amefariki dunia, ....(source clouds fm).....bila shaka JK atahudhuria mazishi yake.
kupata ni majaaliwa ndo naijua.. Upo mia? Mic you
How could he miss that, ni mtu wa 'watu' you know!
Kama kuhudhuria misiba ndo kuonekana mtu wawatu,bora nionekane mbaya kabisa khaaaa
Mizambwa:habari ya saizi kwanza nakusalimiaaa! Adim sana ndugu.Hili nalo NENO
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Mhh haya sasa. Jamani mwacheni huyu mtu apumzike kama angekua wa kusikia.jamani uongozi tabu! Kaacha safari kahamia misibani lol ama kweli huyu kiumbe ni chaguoOmari Omari msanii maarufu wa mchiriku amefariki dunia, ....(source clouds fm).....bila shaka JK atahudhuria mazishi yake.
kuna haja ya kumention kuwa JK atahudhuria?
acha dhihaka
mi nipo. tulipanga vizuri ile jumapili furani ilipofika nikakupigia simu ikawa haipatikani. vipi mambo yako?. mia
Pumzika kwa amani
bila shaka rais kashaunda tume ya kwenda kuandaa sehemu yake ya kukaa viti meza na maji ya kunjwa
mzikaji huzikwa pia
hayo maneno ya mwisho hayakua na ulazima..........R.I.P.OmariOmari Omari msanii maarufu wa mchiriku amefariki dunia, ....(source clouds fm).....bila shaka JK atahudhuria mazishi yake.
Pumzika kwa amani
bila shaka rais kashaunda tume ya kwenda kuandaa sehemu yake ya kukaa viti meza na maji ya kunjwa
mzikaji huzikwa pia