OMARI OMARI afariki dunia

OMARI OMARI afariki dunia

Inna lillah wa inna illah rajiun!
 
ni omari omari mwimbaji wa mchiriku kafariki usiku wa kuamkia jana.msiba uko kwao temeke.rest in peace brother


source power breakfast.clouds radio!
 
....(source clouds fm).....bila shaka JK atahudhuria mazishi yake.

JK ni Rais wa misiba ya Wasanii.

Anapenda kwenda kwenye majanga kama haya lakini kwenye matatizo mfano ya kuchomwa kwa makanisa na uharibufu wa mali, kujeruhiwa na mauaji ya watumishi wa Kanisa, hapo JK yupo kimya kabisa, na ikizingatiwa ni Waumini wenzie wanaotenda mambo hayo.

Ushauri kwa JK abadilke asifikiri kushiriki misiba ya wasanii ni kujidanganya kwa kujiweka akribu na vijana akijua kuwa atapendwa na vijana.

HATUDANGANYIIIIIIII.

Akitaka tumuelewe ashughulikie matatizo yanayogusa vijana mfano Ajira kwa vijana, vitendo vya unyanyasaji vya askari wa jiji na manispaa kuhusu Wamachinga, na kudhibiti mfumuko wa bei nchini.

Labda labda tutamuelewa!!!!!!!!!!!!!!!



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!!
 
Itakuwa ngwengwe. RIP

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Lakini ni tofauti na Omari Mkali,si ndiyo?
Nami nimesikia sikumfahamu maana haukupigwa wimbo angalau kutukumbusha.
 
atakuwa yule aloimba "kazi yangu ya dukani inaniweka matatani". r.i.p omar. mia
 
JK Mwenyewe msanii ndio maana wasanii wenzake wakipatwa na matatizo anakua mstari wa mbele kuwasaidia...R.I.P Omari
 
....RIP!
Sisi wote ni wa Allah, na kwake sote tutarejea!
 
polen wafiwa, RIP omar

mwenye picha yake hebu atuwekee hapa kwanza tumjue lol!
 
Aiseeeee babayangu kwanza mungu aiweke roho ya marehemu sehemu inayo stahili

pili baba riz anazeeka vibaya,nimeamini wakwere ni wavivu wanapenda vi2 rais rais 2
 
wekeni picha picha yake na mtueleze ameimba nyimbo gani sababu wasanii wapo wengi,pia ata matapeli nao uitwa wasanii siku hizi,tunaomba picha na nyimbo alizoimba,na nin kimemuua
 
Back
Top Bottom