physician2023
JF-Expert Member
- Dec 15, 2023
- 343
- 462
Juzi tu hapa huko Nigeria dhehebu la kikristo,limeua watu wengi tu,wacha hapo Kenya waliouawa na dhehebu la kikristo,na nyuzi zimo humu.Mwanafunzi ni juzi tu huko Moshi,ameuliwa na waalimu,kwa kuchelewa namba,na nyuzi zimo humu,lakini matukio haya yqngetokea maeneo yenye uislamu,au maeneo ya waarabu,ungetukanwa uislamu.Kuna watu mnashindwa kutofautisha kati ya uislamu na uarabu mnaishia kutukana dini bila sababu .
Mkae mkijua kwamba si kila muarabu ni muislamu waarabu wana dini zao nyingi tu na pia matendo ya mtu binafsi hawa reflect dini nzima kwa ujumla MUWE MNATUMIA AKILI JAPO KIDOGO.