Oman Wafanyakazi wa Ndani Toka Afrika Wapitia Magumu

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,318
24,218

Trapped in Oman - BBC Africa Eye documentary


View: https://m.youtube.com/watch?v=fJTh4Gdn_B8
BBC Africa Eye investigates the plight of Malawian women lured to Oman with offers of domestic work, only to be trapped in a cycle of exploitation, with little hope of escape.
Wakipewa ahadi kemkem kuwa ajira za ndani nchini Oman zitabadilisha maisha yao, lakini mara wakifika huko hupokonywa hati zao za kusafiria na mikataba.

Baada ya hapo hufanyishwa kazi masaa mengi, kufanyiwa ukatili wa kijinsia na hushindwa kuondoka maana passport zao hushikiliwa na waajiri katili na pia huwekewa kigezo na masharti kuwa kuuvunja mkataba wa kazi lazima wawalipe waajiri wao kitita cha fefha kabla ya kuruhusiwa kuondoka ...

Kufuatia vitendo hivyo vinavyofananishwa na kuwageuza wafanyakazi kuwa 'watumwa', BBC News Africa imefanya uchunguzi na kuongea na wahanga pia watetezi wa haki za binadamu waliooingilia kati na kuripotiwa kulipa maelfu ya pesa sarafu ya Rial ya Oman kuwakomboa wafanyakazi wa ndani wanaotesa na baadhi ya waajiri makatili ili waachikliwe huru kurudi nyumbani.

Hii ni sawa na biashara haramu ya kusafirisha binadamu kwa mawakala kuwahadaa wafanyakazi za ndani mishahara minono Oman lakini wengine wanaishia kudhalilishwa, kubaka, kupigwa na waajiri wao bila kupata msaada wowote toka kwa mawakala waliowashawishi kusafiri kwenda Oman kufanya kazi za ndani ....

Asasi maalum (charity) imejitokeza kuokoa wafanyakazi waliojikuta katika hali ngumu nchini Oman, na tayari kazi zake zimetambuliwa na watetezi wa haki za binadamu. Serikali ya Malawi nayo imejitosa kuwaokoa baadhi ya raia wake na kuiomba asasi hiyo kusaidia raia wake waweze kuachiwa na waajiri makatili, ili warudi nyumbani ...

Oman kuna wimbi kubwa la wafanyakazi wa kutoka nchi za Afrika kama Malawi, Kenya, Uganda, Tanzania n.k waliopelekwa huko na mawakala huku kukipatikana habari baadhi ya wafanyakazi hao wanapitia magumu na serikali za baadhi ya nchi za kiAfrika kujaribu kuweka mifumo ya ufuatiliaji wa hali za raia wao zipo vipi ......

Source: BBC News Afrika
 
Hawa watu nadhani akili yao baada ya kuahidiwa mabikira huko peponi yao, wakiwa bado duniani, matendo yao haya ya kiharifu, wao huwa ni kama mafunzo ya jinsi gani watawashudhurikia hao mabikira wa pepo

Na ndiyo maana kwao kubaka, kunyanyasa wanawake, ni jambo la kawaida kabisa kwao

Alaaniwe aliyewaahidi mabikra
 
Hawa watu nadhani akili yao baada ya kuwa waliahidiwa mabikira huko peponi yao, wakiwa bado duniani, matendo yao haya ya kiharifu, wao huwa ni kama mafunzo ya jinsi gani watawashudhurikia hao mabikira wa pepo

Na ndiyo maana kwao kubaka, kunyanyasa wanawake, ni jambo la kawaida kabisa kwao

Alaaniwe aliyewaahidi mabikra
Ambacho hakiko wazi jinsia ya KE imeahidiwa nini baada ya maisha ya dunia hii! Au ndio huenda kugeuzwa bikra za kuwahudumia ME?
 
Tumesema mara nyingi humu kwamba waarabu sio watu ni mashetani tu wenye sura ya mwanadamu, angalia wale magaidi wa Hamas walivyowauwa watanzania eti halafu wapumbavu fulani humu wanataka waonewe huruma..!!

Hawa waarabu Israel ndio inawaweza kwa sababu ni jamii ya watu wakatili ni hakuna mfano, bado tunakumbuka vitendo vya kinyama walivyo wafanyia mababu zetu wakati wa biashara yao haramu ya utumwa. Bure kabisa.
 
Ndio huko nasikia mwanafamilia ya kiarabu akijisikia kujamba wanamwita yule slave wanamwambia panua mdomo Kisha "MBUUUUUU!" au choo kipo mbali mwanafamilia anataka kukata gogo basi anaambiwa panua mdomo Kisha "MBUUUU MBANDAMBANDAMBANDA" mara aaakhhh!!! We're pumbav sana hakuna kutema shenzi utatema kesho! Ukiuliza kilichompeleka huko eti anaitwa Khadija Khafiidh Mwanamfilwate nae anajiita mwarabu kisa dini Moja.
 
Habari hi ni uwongo mtupu huyo anasema aliambiwa anaenda Dubai na kapelekwa Oman kwani alipo ondoka hakuona ticket yake na visa kuwa anaenda Oman? Hakusoma? Air port ya Malawi hawajui tofouti ya Dubai na Oman? Mkiambiwa wafrika ni wajinga mnabisha
 
Mwarabu mwarabu mwarabu! Ndo maana Hamas walibaka kule Israel tarehe 7/10. Nazani na style ya Boko haram kuteka watoto wa shule na kuwabaka wametoa kwa ndugu zao wa kidini Warabu
Hamas ushahidi wa kubaka haukupatikana na Israel aliambiwa athibitishe akaingia mitini.
Usijumlishe watu wote kisa WaOman wanafany ushenzi.
Mbona Qatar na falme za kiarabu watu wanaishi vizuri kwa hizo kazi za ndani?
 
OMAN UKIONGEA KINDENGEREKO HAWANA SHIDA NA WEWE.MIMI NAONA SANA SANA WAKENYA NDIO WANAPATA TABU SIO WALE WA SINGIDA WAKIENDA KULE
 
Hawa watu nadhani akili yao baada ya kuahidiwa mabikira huko peponi yao, wakiwa bado duniani, matendo yao haya ya kiharifu, wao huwa ni kama mafunzo ya jinsi gani watawashudhurikia hao mabikira wa pepo

Na ndiyo maana kwao kubaka, kunyanyasa wanawake, ni jambo la kawaida kabisa kwao

Alaaniwe aliyewaahidi mabikra
Uarabu usiufananishe na uislam.
Nasisitiza,zipo nchi za kiislam na zimestaarabika hazina hayo mambo.
Hizo ni tabia za kiarabu sio za kiislam.
Kaifuatilie Bosnia ina waislam wengi ona walivyostaarabika kafuatilie na Azerbaijan ina waislam wengi kaone walivyostaarabika.
Shida ni jamii ya kiarabu sio uislam ninyi majamaa.
 

Trapped in Oman - BBC Africa Eye documentary


View: https://m.youtube.com/watch?v=fJTh4Gdn_B8

Wakipewa ahadi kemkem kuwa ajira za ndani nchini Oman zitabadilisha maisha yao, lakini mara wakifika huko hupokonywa hati zao za kusafiria na mikataba.

Baada ya hapo hufanyishwa kazi masaa mengi, kufanyiwa ukatili wa kijinsia na hushindwa kuondoka maana passport zao hushikiliwa na waajiri katili na pia huwekewa kigezo na masharti kuwa kuuvunja mkataba wa kazi lazima wawalipe waajiri wao kitita cha fefha kabla ya kuruhusiwa kuondoka ...

Kufuatia vitendo hivyo vinavyofananishwa na kuwageuza wafanyakazi kuwa 'watumwa', BBC News Africa imefanya uchunguzi na kuongea na wahanga pia watetezi wa haki za binadamu waliooingilia kati na kuripotiwa kulipa maelfu ya pesa sarafu ya Rial ya Oman kuwakomboa wafanyakazi wa ndani wanaotesa na baadhi ya waajiri makatili ili waachikliwe huru kurudi nyumbani.

Hii ni sawa na biashara haramu ya kusafirisha binadamu kwa mawakala kuwahadaa wafanyakazi za ndani mishahara minono Oman lakini wengine wanaishia kudhalilishwa, kubaka, kupigwa na waajiri wao bila kupata msaada wowote toka kwa mawakala waliowashawishi kusafiri kwenda Oman kufanya kazi za ndani ....

Asasi maalum (charity) imejitokeza kuokoa wafanyakazi waliojikuta katika hali ngumu nchini Oman, na tayari kazi zake zimetambuliwa na watetezi wa haki za binadamu. Serikali ya Malawi nayo imejitosa kuwaokoa baadhi ya raia wake na kuiomba asasi hiyo kusaidia raia wake waweze kuachiwa na waajiri makatili, ili warudi nyumbani ...

Oman kuna wimbi kubwa la wafanyakazi wa kutoka nchi za Afrika kama Malawi, Kenya, Uganda, Tanzania n.k waliopelekwa huko na mawakala huku kukipatikana habari baadhi ya wafanyakazi hao wanapitia magumu na serikali za baadhi ya nchi za kiAfrika kujaribu kuweka mifumo ya ufuatiliaji wa hali za raia wao zipo vipi ......

Source: BBC News Afrika

Siyo kweli hizi ni poropaganda tu. Hakuna shida yoyote wanapata. Ni matatizo yao tu ya mtu mmoja mmoja. Uarabuni wanakimbilia wadada wengi kutafuta maisha.
 
Hamas ushahidi wa kubaka haukupatikana na Israel aliambiwa athibitishe akaingia mitini.
Usijumlishe watu wote kisa WaOman wanafany ushenzi.
Mbona Qatar na falme za kiarabu watu wanaishi vizuri kwa hizo kazi za ndani?
Ndugu yangu! How can you prove beyond reasonable doubt an offence of rape kwenye yale mazingira ya tarehe7/10? Victim wa rape in some cases can be a sole witness,and the judge can find the accused guilty and convict him accordingly with out corroboration evidence depending on the facts of the scenario .
 
Ndugu yangu! How can you prove beyond reasonable doubt an offence of rape kwenye yale mazingira ya tarehe7/10? Victim wa rape in some cases can be a sole witness,and the judge can find the accused guilty and convict him accordingly with out corroboration depending on the facts of the scenario .
Bro in every part or city of Israel there are sophisticated CCTV cameras.
Those CCTV cameras captured Hamas doing insurgency but no footages seen Hamas raping and killing children.
Ya kuambiwa changanya na ya kwako.
 
Bro in every part or city of Israel there are sophisticated CCTV cameras.
Those CCTV cameras captured Hamas doing insurgency but no footages seen Hamas raping and killing children.
Ya kuambiwa changanya na ya kwako.
Kwa hiyo hata watoto hawakuuwawa on that particular day? Simply kwa sababu hakuna footage captured.?
 
Habari hi ni uwongo mtupu huyo anasema aliambiwa anaenda Dubai na kapelekwa Oman kwani alipo ondoka hakuona ticket yake na visa kuwa anaenda Oman? Hakusoma? Air port ya Malawi hawajui tofouti ya Dubai na Oman? Mkiambiwa wafrika ni wajinga mnabisha
1000026803.png
 
Ndio huko nasikia mwanafamilia ya kiarabu akijisikia kujamba wanamwita yule slave wanamwambia panua mdomo Kisha "MBUUUUUU!" au choo kipo mbali mwanafamilia anataka kukata gogo basi anaambiwa panua mdomo Kisha "MBUUUU MBANDAMBANDAMBANDA" mara aaakhhh!!! We're pumbav sana hakuna kutema shenzi utatema kesho! Ukiuliza kilichompeleka huko eti anaitwa Khadija Khafiidh Mwanamfilwate nae anajiita mwarabu kisa dini Moja.
😂😂😂
 
Kwa hiyo hata watoto hawakuuwawa on that particular day? Simply kwa sababu hakuna footage captured.?
HIlo siwezi thibitisha kama wenyewe Israel walivyoshindwa thibitisha madai.
Ila wenyewe Israel walisema in every city corner of Israel there are CCTV cameras tena sophisticated ndio maana hata wale raia wa WestBank wakifanya uhalifu wanagundulika na kufatwa hadi kwao mkuu.
 
Back
Top Bottom