Ndunguru
Member
- Mar 1, 2011
- 14
- 2
Yes, acheni siasa chafu za kusafishana nyie wote mnaojifanya wanaharakati uchwara wanasiasa midomo bila kichwa, zitto AMERAMBA MKENGE katika hili, amejikwaa mh. Ni binadamu.
Ameacha maslah ya watanzania maskin sana, ameunga mkono maslah ya wabunge ambao ni well off, iitwe ni posho au isiitwe, badala yake ikaunganishwa kwenye mishahara ni the same tu haimsaidii maisha ya mwanatanganyika wa nyasa au ngudu. . Jaman Nyeusi ibaki kuwa nyeusi, vivyo hivyo kwa rangi bluu.. Bro ameenda chaka
Ameacha maslah ya watanzania maskin sana, ameunga mkono maslah ya wabunge ambao ni well off, iitwe ni posho au isiitwe, badala yake ikaunganishwa kwenye mishahara ni the same tu haimsaidii maisha ya mwanatanganyika wa nyasa au ngudu. . Jaman Nyeusi ibaki kuwa nyeusi, vivyo hivyo kwa rangi bluu.. Bro ameenda chaka