Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Ole Naiko amesema kuwa wanawasamehe kodi wachimba madini kwa sababu kule porini kwenye migodi serikali haijapeleka umeme, hivyo serikali inaamua kuwasamehe kulipa kodi kwa sababu wanazalisha umeme wao wenyewe ambao wanautumia huko migodini.
Hivi kwa kuwasamehe kodi wachimba madini tutafika kwenye hayo maisha tuliyoahidwa? I mean Maisha bora kwa kila Mtz.
Source: Channel ten
Hivi kwa kuwasamehe kodi wachimba madini tutafika kwenye hayo maisha tuliyoahidwa? I mean Maisha bora kwa kila Mtz.
Source: Channel ten