GE2025 OKTOBA 29 tunatoka
Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
20251025_153854.jpg


Kijana aliyeketi na Rais Yoweri Museveni ni Abdul Halim Hafidh Ameir, mtoto wa Rais Samia Suluhu Hassan. Anahudumu kama mkuu wa Idara ya Ujasusi na Usalama Tanzania (TISS) na inasemekana ndiye anayeongoza kikundi maarufu kinachojulikana kama "Watu Wasiojulikana." Anadaiwa kuendesha kikosi cha utekaji Tanzania! Credit: The Kenyan Vigilante

The young man seated with President Yoweri Museveni is Abdul Halim Hafidh Ameir, the son of President Samia Suluhu Hassan. He serves as the de facto head of the Tanzania Intelligence and Security Service (TISS) and is reportedly directing the notorious group known as “Watu Wasiojulikana.” He is accused of running an abduction squad in Tanzania!
Credit: The Kenyan Vigilante

#Oktoba29Tunatoka #SamiaMustGo #FreePolepoleNow #FreeTunduLissu #wakeupTanzania #struggle_for_africa #riseupTanzania
 
20251025_194208.jpg


#Tanzania #HakiYaKujumuika #SiriNiNumbers #Oktoba29Tunatoka 📌 🇹🇿 #SamiaMustGo #FreePolepoleNow #FreeTunduLissu #wakeupTanzania
 
Mambo ni faya.. Mahitaji ya nyakati yamefanikiwa kutuundia makundi mawili kinzani
1. Wa kutiki
2. Wa kutoka

Leo ni October mosi.. Kilele kitakuwa October 28.. Siku ambayo itatupa uhalisia wa 29.10.2025
Namna ya kupiga kura
1. Tunatiki
2.Tunatoka

Au
1. ⚒
2.✌🏿
NB: Kura za mitandaoni huamua uhalisia katika ground.. Piga kura yako sasa!
#OktobaTunatoka ⚠️📌🇹🇿
 

JamiiForums




Mo29-Oktoba29Tunatoka siku 3!​

Jump to newUnsubscribe
•••
[IMG alt="Matovu Godfrey"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/823/823182.jpg?1759869722[/IMG]

Matovu Godfrey

JF-Expert Member​

Number 3 is a magical number 🔥
Bafo siku 3 na nina imani kila mtanzania amejiandaa ni mwendo wa #OktobaTunatoka
#MO29 is a movement 💪🏽
20251026_062717.jpg

20251026_062908.jpg

20251025_201201.jpg

20251025_201156.jpg

20251025_194208.jpg

20251025_190410.jpg





[IMG alt="Matovu Godfrey"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/823/823182.jpg?1759869722[/IMG]

Matovu Godfrey

JF-Expert Member​

20251026_074136.jpg


Utu umepotea, Ubinadamu umepotea, Tanzania imegeuka uwanja wa kuwinda roho za Watanzania

Mambo kama haya kufanyika kwenye nchi ambayo inatakiwa kutawala kidemokrasia ni hatari sana



[IMG alt="Matovu Godfrey"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/823/823182.jpg?1759869722[/IMG]

Matovu Godfrey

JF-Expert Member​

‼️IMPORTANT‼️
MADAI YETU 👇🏾 MAANDAMANO SI VURUGU‼️
Ndo maana tuliandaa madai yetu mapema! Hawa wahariri na ma celeb waliokuja na tamko sijui onyo hawajajibu hata ishu moja! Ongeleeni haya madai!
Tulijua mtakuja kutufanyia GASLIGHTING sasa mmekwama! Hamjajibu hoja hata moja! Maandamano ni kwa sababu MMEPUUZA wananchi!

These are our demands in a nutshell as the people of Tanzania
We demanded these BEFORE election and the response of @SuluhuSamia and her cabal was more repression
That is why citizens are planning to protest!

20251026_074818.jpg
20251026_074814.jpg
 
Back
Top Bottom