Maandamano Bila kikomo - Oktoba Tunatoka

Matovu Godfrey

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2025
Posts
957
Reaction score
645
Kitendo kinatokana na neno GO 🔥 buti ardhini 💪🏿
20251027_080121.jpg

Na
👇🏿
ujasiri,
uthabiti,
Uamuzi,
kujitolea,
kuzingatia,
Itikadi,
Ustahimilivu,
Mwendelezo,
Chanya,
Umoja,
Umoja,
Mtazamo wa kawaida

Dikteta #Samia_Suluhu hastahili muda wa kujiandaa wala kupata kasi,,,kwa sababu tu alikataa kusikiliza kilio cha wanamapinduzi kuhusu mambo yenye umuhimu wa kitaifa, umechelewa. Hakuna mawe yatabaki bila kugeuzwa! Tulikuwa na muda wa kutosha wa kujiandaa, sasa ni wakati wa kwenda Mstari wa mbele, kupigania haki zetu hata iweje 🔥

Sura kuu ni kuirejesha nchi yetu Tanzania kipindi tukiweka kanuni na masharti yetu sawa!!!

NO negotiations, No dialog No (NO REFORMS NO ELECTIONS) upuuzi wakati wowote, ni sisi wananchi (GENZ-ZS) tunamkabili DIKTETA @SuluhuSamia na genge lake.

Kumkamata mmoja wetu kusituzuie kuendelea na harakati za kupigania uhuru/ukombozi, kwa kweli kunapaswa kutuchoma moto au kututia moyo, kututia hasira zaidi na kudhamiria kumfukuza dikteta na wapenzi wake 🚮

🏃Karibu kwenye TANZANIA MPYA.
🍓
#MG #UG #SA #EA
#Unitedpeopleofafrika 🌍💕
#STRUGGLE_FOR_AFRICA 📍

20251027_080125.jpg
 
Screenshot_20251027-082509.png


Maandamano Bila kikomo
Action comes from the word GO 🔥
Boots on ground 💪🏿
With
👇🏿❥︎𝑴𝒈 ✯‎
courage,
consistency,
commitment,
focus,
Determination,
Idealogy,
Persistence,
Continuity,
Positivity,
Togetherness,
Unity,
Common perception,
❥︎𝑴𝒈 ✯‎
The dictator #Samia_Suluhu deserves no time to prepare or gain momentum,,,simply because she refused to listen to the out cry of the revolutionaries concerning the matters of national importance, it's too late.
❥︎𝑴𝒈 ✯‎
No stones will remain unturned!
We had enough time to prepare, now it's time to go to the Frontline, fight for our rights no matter what 🔥
❥︎𝑴𝒈 ✯‎
The main chapter is to reclaim our country Tanzania period keeping our terms and conditions constant!!!
❥︎𝑴𝒈 ✯‎
NO negotiations, No dialog No (NO REFORMS NO ELECTIONS) nonsense at any point in time, it's we the people (GENZ-ZS) facing the DICTATOR @SuluhuSamia and her gang
❥︎𝑴𝒈 ✯‎
Arresting one of us should not stop us from continuing the struggle for freedom / liberation, in fact it should ignite or inspire us, make us more angry and determined to dislodge the dictator and her boyfriends 🚮

Welcome to the NEW TANZANIA 🇹🇿
#MG #UG #SA #EA
#Unitedpeopleofafrika 🌍💕
#STRUGGLE_FOR_AFRICA 📍
 
‼️🚨SIRARI NA TARIME UTEKAJI UMEKUWA JANGA🚨‼️
Wana Sirari wanasema Utekaji sasa basi! Wametekwa wana CCM na wanaCHADEMA
Tarime yote ni kilio ila wahanga haswa ni Sirari! Na huu utekaji wa Juma Idd ndo umedhihirisha @tanpol ndo wahusika

Ujumbe wa Wana Sirari 👇🏾

Familia nzima ya
Juma idd chacha WA kata ya mbogi
Yeye
Mke wake na mtoto bado wanashikiliwa na polisi
1-Juma Iddy
2-mke wa Juma Iddy
3-Kimune Juma mtoto WA shule
4-Nyakohanda Gesere mfanyabiashara Tarime

Tarime
Mke wake na mtoto wake baada ya Baba kutekwa na genge la watekaji waliokuwa wanaongozwa na mkuu WA watekaji ambaye NI RCO Tarime Rorya
Maskamo
Kwa kutumia nguvu Nyumbani katika kijiji cha ghetenga ..Tarime
Mama na mtoto walipoona Aina ya uchukuaji na Kwa kuzingatia history ya watu zaidi ya 20 waliobebwa Tarime
Waliona nao waage dunia wakapanda kwenye gari la watekaji
Wananchi walipoziba kutaka kujua Nani Wana juma iddy
Gari lilipoelemewa na nguvu ya umma likaingia polisi kujihami

Mpaka sasa ukweli NI kwamba Juma iddy na familia Yake hawakuwa na kosa lolote isipokuwa sasa anatungiwa makosa na mke wake ana kosa la kukataa mumewe asitekwe

Wafanyakazi wake pia wako katika hatari

Mmoja WA WA ndugu zake pia mfanyabiashara mwenye hardware nyakohanda gesere naye alikamatwa na mji wote WA sirari sasa NI mawindano Kati ya polisi na Raia
Hakuna Amani

Na za ndani zinasema jeshi liko pia Doria kutisha Raia

Itakumbukwa kuwa iko sintofahamu wananchi WA sirari wameshuhudia uonevu sasa Kwa zaidi ya miaka miwili utekaji
Watu wengi wakiwamo
Mgombea udiwani CCM
Kata ya sirari ...Samson sinda mseti alitekwa
Diwani 2020 - 2025 na mgombea WA udiwani kata ya ganyange na mfanyabiashara sirari (
Siza keheta na mwenzake Antony mseti wote wawili walitekwa )

Wakala WA forodha
Sconslaus nyangoko alitekwa

Chonchorio Daniel mjumbe WA mkutano mkuu CCM alitekwa

Mussa Juma tall alitekwa

Gimase bwiru gimase alitekwa

Isaya William mfanyabiashara alitekwa

Wote hao NI wachangiaji ama wanahusika Moja kwa moja na mzunguko WA uchumi WA mji WA sirari hawakupaswa kudhuliwa Haki Yao ya kuishi kwa papara kiasi hiki tunachoshuhudia

Taharuki NI kubwa wafanyabiashara wengi wamekimbia mji WA sirari kwa mamia
Akiwemo masafa , na wengine

Kadhalika
Kitendo cha maafisa WA polisi kuwa wanazunguka na mipini ya majembe na mapanga licha ya kuwa na bunduki nzito kupiga watu hovyo kuvunja vijana migongo na miguu imesababisha watu wote WA jamii ya wakurya na wakazi WA sirari kuweka kando tofauti zao za kisiasa sasa kupigania uhai wao kwa sauti Moja

Hivyo hili la mwisho la kuja kumchukua Juma iddy ilikuwa NI kama kupasha Moto kwenye petrol

Hivyo tufikishie ujumbe wasione tuko kimya

Mioyo unavuja damu
Mke wa nyangoko anaishi kwa kuchagiwa chakula Jambo Baya Sana na ana watoto mapacha wawili anayetuletea haya NI RCO maskamo si mwingine



Hatuna furaha kabisa

Ujumbe WA Wana sirari

20251027_115541.jpg
20251027_115538.jpg
 
Wanajeshi na hata polisi wanaomba wananchi wotr tutoke ! Yaani we toka tu Oktoba 29
Wamechoka na hawataki tena kupokea maagizo HARAMU ya kuumiza wananchi
Watakaotuumiza ni wachache ambao wanaogopa utekaji, mauaji na ufiraji walioyafanya yatawaanika!
Mafwele mwenyewe haamini baada ya kuwachimba mkwara polisi wamevujisha hotuba yake 😀
Ndo mjue hakuna machafuko - wametuelewa watumishi
Mkwara wa magari sijui doria ni mkwara tu!
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
Hatuwezi kuishi kama manamba ndani ya ardhi yetu kisa Abdul na mama yake
#MO29 #Oktoba29Tunatoka

20251027_123624.jpg
20251027_123627.jpg
20251027_123629.jpg
20251027_123631.jpg
 
Screenshot_20251027-141650.png

#XSPACES
Leo #MariaSpaces tunajadili: Kuelekea #MO29 - tunaelewa siri ni namba?
Usikose masaa haya ya mwisho - kumbuka kuwasha VPN na kujipanga vilivyo leo tujadili kwa nini wazalendo ndani ya mfumo wamesema tutoke wote
Nini maana ya siri ni namba?
Saa 2 uck!

#Oktoba29Tunatoka #SamiaMustGo #FreePolepoleNow #FreeTunduLissu #wakeupTanzania #struggle_for_africa #riseupTanzania 🇹🇿 ⚠️
@mariastsehai 📍
 
View attachment 3494647
#XSPACES
Leo #MariaSpaces tunajadili: Kuelekea #MO29 - tunaelewa siri ni namba?
Usikose masaa haya ya mwisho - kumbuka kuwasha VPN na kujipanga vilivyo leo tujadili kwa nini wazalendo ndani ya mfumo wamesema tutoke wote
Nini maana ya siri ni namba?
Saa 2 uck!

#Oktoba29Tunatoka #SamiaMustGo #FreePolepoleNow #FreeTunduLissu #wakeupTanzania #struggle_for_africa #riseupTanzania 🇹🇿 ⚠️
@mariastsehai 📍
#OPENMIC 🎙️ #X_SPACE MARIASPACES 📌

🔗 https://x.com/i/spaces/1MYxNlOrqbnGw

📌
Screenshot_20251027-195937.png


#Oktoba29Tunatoka 🇹🇿 ⚠️ #MO29 #SamiaMustGo
 
20251028_081257.jpg


#EnforcedDisappearance #Tanzania
This young man Mwita @EJ_Mwita was abducted yesterday by people who claimed to be police but is not at any police station! @tanpol is responsible for the safety of all citizens instead it is seen as a menace!
@SuluhuSamia is busy abducting instead of campaigning - thinking that spreading fear and terror is the answer!
#FreeAllPoliticalPrisonersInTanzania
#Oktoba29Tunatoka 🇹🇿📌
 
VIJANA MSIKUBALI HUU UJINGA
Nashauri kila kijana mwenye akili abaki nyumbani huu mtego wa CCM ni mbaya mtakuja kuonekana maadui wa Haki na jamii huku wadhalimu waovu wamejificha nyuma yenu kwa jina la TAHILISO!
Na location imeshajulikana! Mtachukiwa na kuonekana nyie pia ni watekaji mnaoshabikia vitendo viovu vya kudhulumu uhai wa wenzenu!
Acheni! Kama hamtaki kuandamana kaeni ndani ila si huu ujinga!

20251028_101346.jpg


#Oktoba29Tunatoka 🇹🇿 ⚠️
 
Kazi njema ya @C_NyaKundiH
Tuhakikishe tunazitembeza kwenye magroup
Ma Admin watulie 😀🔥
#SiriNiNamba
#MO29 #OktobaTunatoka
20251028_101615.jpg
20251028_101622.jpg
20251028_101628.jpg
20251028_101634.jpg


#Oktoba29Tunatoka 🇹🇿⚠️
 
Kitendo kinatokana na neno GO 🔥 buti ardhini 💪🏿
View attachment 3494399
Na
👇🏿
ujasiri,
uthabiti,
Uamuzi,
kujitolea,
kuzingatia,
Itikadi,
Ustahimilivu,
Mwendelezo,
Chanya,
Umoja,
Umoja,
Mtazamo wa kawaida

Dikteta #Samia_Suluhu hastahili muda wa kujiandaa wala kupata kasi,,,kwa sababu tu alikataa kusikiliza kilio cha wanamapinduzi kuhusu mambo yenye umuhimu wa kitaifa, umechelewa. Hakuna mawe yatabaki bila kugeuzwa! Tulikuwa na muda wa kutosha wa kujiandaa, sasa ni wakati wa kwenda Mstari wa mbele, kupigania haki zetu hata iweje 🔥

Sura kuu ni kuirejesha nchi yetu Tanzania kipindi tukiweka kanuni na masharti yetu sawa!!!

NO negotiations, No dialog No (NO REFORMS NO ELECTIONS) upuuzi wakati wowote, ni sisi wananchi (GENZ-ZS) tunamkabili DIKTETA @SuluhuSamia na genge lake.

Kumkamata mmoja wetu kusituzuie kuendelea na harakati za kupigania uhuru/ukombozi, kwa kweli kunapaswa kutuchoma moto au kututia moyo, kututia hasira zaidi na kudhamiria kumfukuza dikteta na wapenzi wake 🚮

🏃Karibu kwenye TANZANIA MPYA.
🍓
#MG #UG #SA #EA
#Unitedpeopleofafrika 🌍💕
#STRUGGLE_FOR_AFRICA 📍

View attachment 3494403

Meta point. I don't expect everybody to understand.

Ukitaka maandamano, ukisema huutambui uchaguzi, halafu maandamano yako ukawa unasubiri siku ya uchaguzi, hiyo ni contradiction.

Kusubiri siku ya uchaguzi ili uandamane ni aina fulani ya kuutambua uchaguzi.

Kama huutambui uchaguzi wewe andamana tu, usingoje siku ya uchaguzi ambao huutambui ili uandamane.

Andamana tu Oktoba yote usingoje siku ya uchaguzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom