Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Matovu Godfrey

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2025
Posts
808
Reaction score
519
INUKA TANZANIA! πŸ‡ΉπŸ‡Ώ AMKA TANZANIA! TANZANIA HURU! SAMIA LAZIMA AENDE! ACHA UTEKAJI MIMI MTANZANIA! POLE POLE BURE! TUNDU LISU BURE! HAKUNA MAREKEBISHO HAKUNA UCHAGUZI!



#Oktoba29Tunatoka
πŸ“ Watanzania lazima wainuke na kupigania uhuru wao, dhuluma lazima iishe
πŸ’ͺ🏿
 

Attachments

  • 20251013_122649.jpg
    61.6 KB · Views: 19
  • 20251012_143357.jpg
    49.7 KB · Views: 20
  • 20251012_145346.jpg
    332.9 KB · Views: 19
  • Screenshot_20251012-193353.png
    681.7 KB · Views: 21


Nchini Tanzania Rais dikteta Samia Suluhu anajichubua mwenyewe katika Uchaguzi Mkuu ujao baada ya kuwafungia wapinzani wake, kuwatishia na kuwaua wakosoaji wake.

#Oktoba29Tunatoka πŸ‡ΉπŸ‡Ώ ⚠️πŸ’ͺ🏿
 
#TANZANIA: MSIGWA: 'BORA JESHI LA POLISI LIMETOA TAARIFA KUHUSU MADAI YA KUTEKWA KWA POLEPOLE, SIO LAZIMA NISEME MIMI'
"Bora Jeshi la polisi limetoa taarifa kuhusu madai ya kutekwa kwa kwa Humprey Polepole, sio lazima niseme mimi. Jeshi la Polisi ni Chombo la serikali, ndicho Chombo husika. Mimi ntakupa tu taarifa za juu. Ni vizuri kukiacha Chombo kinachohusika kikamilishe uchunguzi wake kitoe taarifa" Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akizungumzia swala la kutoweka kwa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humprey Polepole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…