Wana JF nashukuru kwa kunipongeza kwa kazi ninayofanya, inanipa faraja kwa baadhi kuniongoza pa kuelekea katika suala hili. mmoja wetu alitamani kujua zaidi kuhusu Oil com ingawa maelezo yake yanaashiria kuwa anataarifa zake kwa kiasi fualani. alihoji kuhusu tetesi zilizokuwepo kwamba kampuni hiyo iliomba tenda ya kusafirisha mafuta ya ndege.
Hiyo ni kweli na kwa taarifa nilizopata ni kwamba kampuni hiyo ilipata tenda hiyo na hata leo gari moja la kampuni hiyo limeondoka jijini Dar es Salaam kupeleka mafuta hayo ya ndege.
Mmoja wa madereva wa kampuni hiyo ambaye ameiburuza kampuni hiyo kwa kumpunja malipo yake ya mshahara kwa miaka miaka tisa na kutomlipia michango NSSF ambaye amejulikana kwa jina moja la George, kumbukumbu zinaonyesha kuwa amewahi kusafirisha nishati hiyo mikoa mbalimbali nchini.
Kwa ufupi kampuni hiyo ni mali za urithi wa familia ya kiarabu. mzee aliyerithi mali hiyo anaishi jijini Dar es Salaam Kariakoo, anao watoto wake wa kiume wanne, mmoja anasimamia Oil Com Tanzania, mwingine Kenya na mwingine Malawi. Mmoja hana idara maalumu kutokana na kuwa mtumiaji zaidi ya uwajibikaji. kama tujuavyo mtu wa aina hiyo katika familia hakosekani. Nawafahamu wote kwa majina.
Namuunga mkono Kabwege kwamba huu ni mtandao mkubwa ambao ili JK aukabili ni lazima abwage manyanga ya kuthamini uswahiba.
kumbukumbu zinaonyesha pia kuwa "wakubwa" wengi wanakunywa mafuta kwenye vituo vya kunywea mafuta vinavyomilikiwa na kampuni hii-siyo mafuta ya kwenye magari tu bali hata ya mifukoni. Hata hivyo hilo halitatuzuia kuanika tunayofanikiwa kuyafahamu kwa sababu hata tone la maji likidondokea mwamba kwa miaka mingi hatimaye ufa hutokea na mwishowe mwamba kuvunjia. ipo siku atatokea mwenye kuthubutu, atakamilisha ndoto za watanzania kuwa huru.
Wana JF nashukuru kwa kunipongeza kwa kazi ninayofanya, inanipa faraja kwa baadhi kuniongoza pa kuelekea katika suala hili. mmoja wetu alitamani kujua zaidi kuhusu Oil com ingawa maelezo yake yanaashiria kuwa anataarifa zake kwa kiasi fualani. alihoji kuhusu tetesi zilizokuwepo kwamba kampuni hiyo iliomba tenda ya kusafirisha mafuta ya ndege.
Hiyo ni kweli na kwa taarifa nilizopata ni kwamba kampuni hiyo ilipata tenda hiyo na hata leo gari moja la kampuni hiyo limeondoka jijini Dar es Salaam kupeleka mafuta hayo ya ndege.
Mmoja wa madereva wa kampuni hiyo ambaye ameiburuza kampuni hiyo kwa kumpunja malipo yake ya mshahara kwa miaka miaka tisa na kutomlipia michango NSSF ambaye amejulikana kwa jina moja la George, kumbukumbu zinaonyesha kuwa amewahi kusafirisha nishati hiyo mikoa mbalimbali nchini.
Kwa ufupi kampuni hiyo ni mali za urithi wa familia ya kiarabu. mzee aliyerithi mali hiyo anaishi jijini Dar es Salaam Kariakoo, anao watoto wake wa kiume wanne, mmoja anasimamia Oil Com Tanzania, mwingine Kenya na mwingine Malawi. Mmoja hana idara maalumu kutokana na kuwa mtumiaji zaidi ya uwajibikaji. kama tujuavyo mtu wa aina hiyo katika familia hakosekani. Nawafahamu wote kwa majina.
Namuunga mkono Kabwege kwamba huu ni mtandao mkubwa ambao ili JK aukabili ni lazima abwage manyanga ya kuthamini uswahiba.
kumbukumbu zinaonyesha pia kuwa "wakubwa" wengi wanakunywa mafuta kwenye vituo vya kunywea mafuta vinavyomilikiwa na kampuni hii-siyo mafuta ya kwenye magari tu bali hata ya mifukoni. Hata hivyo hilo halitatuzuia kuanika tunayofanikiwa kuyafahamu kwa sababu hata tone la maji likidondokea mwamba kwa miaka mingi hatimaye ufa hutokea na mwishowe mwamba kuvunjia. ipo siku atatokea mwenye kuthubutu, atakamilisha ndoto za watanzania kuwa huru.
Asante sana Dadake.
Hee, sasa sijui tushitaki wapi? Maana hata EWURA naona ni joka la kibisa tu.
Halina hata jino moja!!! Kuna kitu tu........
Wana JF nashukuru kwa kunipongeza kwa kazi ninayofanya, inanipa faraja kwa baadhi kuniongoza pa kuelekea katika suala hili. mmoja wetu alitamani kujua zaidi kuhusu Oil com ingawa maelezo yake yanaashiria kuwa anataarifa zake kwa kiasi fualani. alihoji kuhusu tetesi zilizokuwepo kwamba kampuni hiyo iliomba tenda ya kusafirisha mafuta ya ndege.
Hiyo ni kweli na kwa taarifa nilizopata ni kwamba kampuni hiyo ilipata tenda hiyo na hata leo gari moja la kampuni hiyo limeondoka jijini Dar es Salaam kupeleka mafuta hayo ya ndege.
Mmoja wa madereva wa kampuni hiyo ambaye ameiburuza kampuni hiyo kwa kumpunja malipo yake ya mshahara kwa miaka miaka tisa na kutomlipia michango NSSF ambaye amejulikana kwa jina moja la George, kumbukumbu zinaonyesha kuwa amewahi kusafirisha nishati hiyo mikoa mbalimbali nchini.
Kwa ufupi kampuni hiyo ni mali za urithi wa familia ya kiarabu. mzee aliyerithi mali hiyo anaishi jijini Dar es Salaam Kariakoo, anao watoto wake wa kiume wanne, mmoja anasimamia Oil Com Tanzania, mwingine Kenya na mwingine Malawi. Mmoja hana idara maalumu kutokana na kuwa mtumiaji zaidi ya uwajibikaji. kama tujuavyo mtu wa aina hiyo katika familia hakosekani. Nawafahamu wote kwa majina.
Namuunga mkono Kabwege kwamba huu ni mtandao mkubwa ambao ili JK aukabili ni lazima abwage manyanga ya kuthamini uswahiba.
kumbukumbu zinaonyesha pia kuwa "wakubwa" wengi wanakunywa mafuta kwenye vituo vya kunywea mafuta vinavyomilikiwa na kampuni hii-siyo mafuta ya kwenye magari tu bali hata ya mifukoni. Hata hivyo hilo halitatuzuia kuanika tunayofanikiwa kuyafahamu kwa sababu hata tone la maji likidondokea mwamba kwa miaka mingi hatimaye ufa hutokea na mwishowe mwamba kuvunjia. ipo siku atatokea mwenye kuthubutu, atakamilisha ndoto za watanzania kuwa huru.