MWANAWAVITTO
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 258
- 220
- Thread starter
- #161
nimekusoma mkuu :A S 100:
Nadhani kuna mtu ameshauliza hili...Hivi ni nchi gani za africa zenye mahusiano na OIC na zimenufaika vipi kwa kuwa mwanachama wa OIC? Wenye facts...
Hizo nafasi ni kwa waislamu tu au hata wakatoliki kama akina siye tunaweza kupata nafasi??Scholarships na sponsorship nafasi za masomo .. katika nchi wanachama... Ama college nyingine yeyote! Uganda wanafaidika hilo Tanzania wanetugaia nafasi ya kusoma Turkey .. though bachelor tu! Sababu si wanachama..
Ni kama unavyoona uhusiano wa Tanzania na China katika swala zima la elimu
Hizo nafasi ni kwa waislamu tu au hata wakatoliki kama akina siye tunaweza kupata nafasi??
Sasa mbona unatoka nje ya mada? Kama Ukatoliki ni ushetani basi peleka vithibitisho vyako jukwaa la dini na watu watajadili. Sisi hata ukituambia ni mashetani, tunajionyesha kwa matendo yetu...Tena wakatoliki ndio tunawapa kipa umbele ili waujuwe ukweli, kuwa ukatoliki siyo dini ni ushetani, na ushahidi upo! nikuwekee?
Umasikini wa akili ni kitu kibaya sana. Huyu kama JK bado wanaota ndoto za kusaidiwa, kusaidiwa, kusaidiwa. Halafu mnawasumbua akina Marehem Matonya na jamii yake. Karne hii bado mpo kwenye njozi za kuomba misaada? Mmekuwa taifa la tatu duniani kwa kupewa misaada mingi, wakati hakuna janga lolote wala vita, huo umasikini umeisha? Umasikini unaletwa na wewe, JK, na wajinga wengine wengi msiojitambua kwamba ni wanadamu kamili, wenye akili na uwezo wa kujiondolea matatizo yenu kwa kufanya kazi kwa juhudi na maarifa. Kwa akili za kijinga za kudhani kwamba OIC ni mjomba atakayewaletea utajiri na matumaini ya maisha kwa watu masikini, ama kuna watu wengine mahala fulani duniani walio tayari kuwamegea utajiri wao ili mfanane nao, basi ninyi hamna tofauti na mfu. Sisi ni binadam kamili wenye fikra kamili na sahihi, hao mnaokimbilia kuomba omba kwao wapo kama ninyi kwa kila kitu, tofauti tu ni kwamba wao wamewahi kujitambua. Leo tunanunua sehemu kubwa ya mahitaji yetu toka china, wakati tunapata uhuru walitugroup pamoja, leo ni taifa la pili kwa uchumi mkubwa duniani, taifa la tatu kwa nguvu za kijeshi. Sisi tumebaki kutegemea wafadhili weeeeeee. AibuuuuuuuKuna nchi nyingi hapa duniani zimejiunga na oic na wala hakuna matatizo,kwanini watanzania mna chuki? Acheni oic iwanufaishe watanzania hasa wananchi maskini
Hizo nafasi ni kwa waislamu tu au hata wakatoliki kama akina siye tunaweza kupata nafasi??
Algeria kila mwaka wanakwenda wanafunzi wa dini mbali mbali.. usiogope kuomba...! ...
pia hawahawa waturuki wanamiliki feza schools je zile shule wanasoma waislam peke yao..?
I think tatizo ni ELIMU! Hivi mzee mpaka leo hujui tofauti ya hiyo unayoiita mikataba ya mapapa na kujiunga na OIC? Hivi hiyo mikataba ya mapapa imesainiwa kinchi au kikanisa? Kwani kuna mtu amewakataza nyinyi kama BAKWATA AU UAMSHO kujiunga? Kama serikali inamikataba na ISRAEL ni kwasababu israel ni nchi sio jumuiya! Ni kama unavyoona serikali inamahusiano na wapendwa wenu WAIRAN hakuna tatizo hapo!Lakini NCHI KUJIUNGA NA JUMUIYA YA OIC (uamsho wa kimataifa) no way brother! forget about it! Mtachoma makanisa mpaka mchoke lakini haitatokea coz HII NI NCHI YETU SOTE!peke yako ndo utakuwa huna akili, OIC ni kama Ukatoliki na mikataba ya kipapa na Israel, sasa kama nanyi hamtaki waislamu wawe na OIC basi Nanyi mjiandae kufuta mikataba ya kipapa, nchi iwe haina mashikamano ya aina yoyote kidini. lkn kupigia kelele suala la OIC hasa kwa propaganda za usingizini ni kutaka kutega bomu ambalo siku likilipuka hakuna wa kunusurika Mkuu. kuwa na busara usikoment kwa mihemko ya kidini, nchi ni yetu sote, unachihisi wewe unastahili basi kumbuka na mwenzie naye anastahili hichox2/.
Algeria kila mwaka wanakwenda wanafunzi wa dini mbali mbali.. usiogope kuomba...! ...
pia hawahawa waturuki wanamiliki feza schools je zile shule wanasoma waislam peke yao..?
Serikali imewahi kutamka kuwa imefanya utafiti wa kina na kubaini kuwa hakuna madhara kwa tanzania kujiunga na oic kwa hiyo tuache uchadema na kejeli za kijinga humu ndani
ukiongea na mtu ambae haelewi au ana mihemko ya itikadi fulani basi itaonekana kama mnabishana na sio kuelimishana, tatizo ninaloona kwako ni ubinafsi wa itikadi uliyoishikilia. na unajifanya wewe ni serikali hadi kutoa maamuzi ambayo yapo nje ya uwezo wako, nikuulize misaada inayoletwa na papa kuja tanzania inasaidia watu gani>? kama sio makanisa, na hiyo misaada hailipiwi kodi kumbuka lkn wenzenu wanalipa kodi bado hapo mnapata hela kutoka serikalini regardless na kusamehewa kodi, hiyo fursa ya misaada kutoka kwa waislamu wenzao ndo waislamu wameikosa kutokana na ubinafsi wenu. sitaki kuongea sana kwa sababu naitakia nchi yangu aman lkn huku kujifanya ninyi mna haki ya kupata hayo, na waislamu hawastahili kwa sababu mmewabana hadi kwenye katiba na kisera halafu mnawabeza etu hawana elimu, huu ndo ufa mkubwa sana ninauona ktk aman ya nchi yetu na usipozibwa basi juhudi zote zitakuwa ni bure, bado waislam wawe na subira kupambana na uonevu huu.I think tatizo ni ELIMU! Hivi mzee mpaka leo hujui tofauti ya hiyo unayoiita mikataba ya mapapa na kujiunga na OIC? Hivi hiyo mikataba ya mapapa imesainiwa kinchi au kikanisa? Kwani kuna mtu amewakataza nyinyi kama BAKWATA AU UAMSHO kujiunga? Kama serikali inamikataba na ISRAEL ni kwasababu israel ni nchi sio jumuiya! Ni kama unavyoona serikali inamahusiano na wapendwa wenu WAIRAN hakuna tatizo hapo!Lakini NCHI KUJIUNGA NA JUMUIYA YA OIC (uamsho wa kimataifa) no way brother! forget about it! Mtachoma makanisa mpaka mchoke lakini haitatokea coz HII NI NCHI YETU SOTE!
kwani papa yupo kwa ajili waislamu au ukiristo? ni wazi yupo kwa ajili ya ukiristo na wakiristo, na misaada inayoletwa kupitia balozi wa papa nchini hapa inaenda makanisani na siyo misikitini, sasa unataka kunifanya niamini nchi hii ni ya kikiristo na uislamu waislamu hawana nafasi kimataifa kama walivyo wakiristo.Na wewe pia una tatizo la uelewa, kama mikataba uliyoitaja inahusiana na mahusiano baina ya taasisi za kidini hakuna shida, na kama waislamu watatafuta mechanism itakayowafanya wanufaike na misaada inayosemwa wao kama waislamu pia si tatizo nionavyo. Shida ni pale suala na OIC linapotakiwa llijadiliwe kama suala la kitaifa ilhali suala lipo wazi kabisa kwamba OIC ipo kwa ajili ya maslahi ya waislamu na uislamu!
oic, mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo.
Jumuiya ya nchi za kiislam oic[ organization of islamic conference] iliasisiwa mwaka wa 1969,
jumuiya hii ilianzishwa nchini morocco tarehe 21agust 1969 ad, au 12 rajab 1389 h,
*. Jumuiya hii ilianzishwa kutokana na mashabulizi ya israel yaliyofanywa dhidi ya nchi za kiarabu, na kutekwa kwa mji wa yerusalem,[ al-quda], katika vikao viwili kile cha morocco tarehe 25 september 1969, na kile cha mjini jeddah cha mwezi machi 1970 kiliweka maazio ya kuuteuwa kwa muda mji jeddah kuwa makao makuu ya muda ya oic ambapo kikao hicho kiliazimia kuwa makao makuu ya kudumu ya oic yatakuwa ni yerusalemu.
Moja ya kipaumbele kikuu na lengo kuu la kuasisiwa kwa oic ni kuikomboa yerusalemu kutoka mikononi mwa israeli pamoja na msikiti mtakatifu wa al-aqsa ulio sehemu muhimu kwa imani ya kiislam kwani al-aqsa ndiyo qibla cha kwanza cha waislam kabla hakijageukia al-kaaba. Hivyo yaliwekwa maazimio matatu muhimu,
1. Kujijengea uwezo kwa kufanya yafuatayo. [a] kujenga mshikamano miongoni mwa waislam,
kujenga mashirikiano ya jamii nzima ya kiislam,
[c] kuupigania uislam kwa kulindamaeneo matakatifu pamoja kulinda vitabu vitakatifu,
2. Kuunganisha nguvu ili [a] kupigania sehemu takatifu.
kuunga mkono harakati za wapalestina kujikomboa,
3.kufanya kazi kwa pamoja
[a] kuondoa ubaguzi miongoni mwa waislam na
kueneza dini na utamaduni wa kiarabu. Nk.
Ili kufanikisha azma na malengo ya jumuiya vilianzishwa vyombo mbalimbali vya kusimamia shughuli zote kulingana na vipaumbele husika, ili kuyafikia malengo hayo kikao kiligusia maeneo haya. Elimu, siasa, uchumi na dini , mambo haya yaliwekwa chini ya katibu mkuu ili kuhakikisha kuwa malengo yanafanikiwa
1-kuhakikisha kuwa zinaanzishwa shule za kidini[madrassa ] zitakazo toa elimu ya dini-siasa kazi kubwa ya shule hizi ni kujenga uadui kati ya utawala wa kizayuni[israel ] uliolikalia kwa nguvu eneo takatifu la yerusalem ulipo mskiti wa al-aqsa , mbinu hii imesaidia sana kwani baada vijana wengi kufunzwa katika madrasa hizi za dini siasa[ udini] tumewashuhudia wakitamka hadharani kuwa utawala wa kizayuni unapaswa kufutwa kwenye ramani ya dunia na palestina liwe taifa huru,
chini ya mwamvuli huu mara kadhaa tumewasikia wahubiri wadini ya kiislam kama vile abood mohamedy rogo, anwar al awalaki, abu qatada, na wengineo wakiwahamasisha vijana wa kiislam kwenda palestina kuwapigania ndugu zao.
Kivuli hiki cha dini siasa kimeendelea kukua hasa pale mataifa ya magharibi kuonekana wakiingua mkono israel, mafundisho haya ya dini siasa sasa yanazigusa hata nchi hizi zinazoonekana kuwa ni washirika wa utawala wa kizayuni,
katika mafundisho haya ya dini siasa yaliyoasisiwa na oic yamefanikiwa kuzalisha makundi ya kigaidi na misimamo mikali ya dini-siasa[udini] ndiyo maana nchi ambazo zilikuwa za mwanzo kujiunga na jumuiya hii kwa sasa zinakabiliwa na mfumuko wa siasa kali za udini,
udini ulionwa kuwa ndiyo njia pekee ya kuyayafikia malengo, yaani kuwafundisha vijana wa kiislam kuwa adui yao ni yule anayewanyima haki ya kuwa na yerusalem.
Hapa ndipo yalipoanza madai ya kile kinachoitwa mfumo kristo, yaani washirika wa utawala wa mazayuni
unaowanyima haki waislam, kwa kutumia mbinu za hali ya juu za kutengeneza mazingira wamefanikiwa kuziteka nyoyo za wengi.
Madhumuni ni mamoja tuu, kukusanya nguvu na kuikomboa yerusalem ili iwe ni makao makuu ya oic.
Hata hapa kwetu mafundisho haya tayari yamekwisha kupenyezwa.
tunazungumzia OIC na siyo Turkey