Mbona kichwa cha habari hakiendani na content? Maelezo yanaonyesha uzuri wa oic lakini ww kwa chuki zako umeamua kupotosha
Anapotosha au ni kweli? Umeshasoma Katiba ya OIC? Hata wanaong'ang'ania Oic kwa Tanzania ni kweli wana udini wa wazi kwani hiyo ni taasisi ya kidini kabisa na malengo yake yako wazi kabisa. Hakuna sababu ya kuficha kwa sababu katiba yake ipo na malengo yako. Ni organization ya nchi za kiislamu hata kama kuna nchi nyingine zilizojiunga. Ni vema watanzania tukabaki na utanzania wetu ambao umetuweka pamoja. Ogopa sana watu wanaotaka mambo kwa nguvu. Wana lao jambo.