OIC: Mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo

OIC: Mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo

waislam jiungeni OIC kupitia jumuiya zenu mpewe misaada mnavyotaka lakini si serikali kujiunga,huo mtego tumeustukia!
Lakini Mjarumani alotutawala ameingia nchini kupitia kanisa inakubalika sio?
 
Na yule balozi wa Vatican anamuwakilisha nani? hapa nchini? acheni fitina zenu

Kuna wakati huwa najiuliza kama kuna uwezekano mtu akawa illiterate kwa vipindi. We mtu, umeshaambiwa zaidi ya mara tatu kwenye thread hii hii na mara zisizohesabika huko nyuma kuwa VATICAN NI NCHI kama ilivyo kwa Iran au Saudi Arabia! Kwa hivyo balozi wa Vatican anaiwakilisha nchi yake kama wanavyofanya mabalozi wa nchi nyingine, got it now?
 
hivi ile kesi ya yule ustaadhi wa Mbeya aliyelawiti watoto 16 wa kiume wa madrasa yake vipi?

Wewe unaongelea ustaadhi wa dunia hii ya leo! Mtume wao angekuwa anaishi leo hii angekuwa jela, kuoa kabinti ka miaka 9!!!??
 
Kuna nchi nyingi hapa duniani zimejiunga na oic na wala hakuna matatizo,kwanini watanzania mna chuki? Acheni oic iwanufaishe watanzania hasa wananchi maskini
Hayo uliyobandika ndiyo unayo mfundisha hata mwanao? Mbona Hunufaiki na utajiri wa mali zilizopo nchini kwako, oic itakunufaisha vipi? Taja nchi moja ambayo maskini wamenufaika kwa kujiunga na oic! Acha mentality ya kupata mafanikio bila kupafanya kazi!
 
Lakini Mjarumani alotutawala ameingia nchini kupitia kanisa inakubalika sio?
daa, Mkuu! Ni wewe kweli uliyebandika hayo au kuna kibaka kakuibia pass word yako!Huku uswazi kuna msemo kuwa "Hanith mara wahed!" Yaani leo umelewa wamefungua buti, kesho tena, mtondogoo ni mzoefu! Huo ndio ushauri wako tuige ya jahilia wakati huu?
 
achani kuweweseka kwanini msiende mkapange ratiba ya misa, mnakaa mnajadili kitu msichokijua, OIC kama hamhitaki sisi tunaitaka, yaani tatizo mnapenda kurukia rukia mambo, mpiga mayowe weeee ya mahakama ya kadhi hamjachoka tu, mnatuboa bwana
Mbona wamekuelewesha vizuri kuwa Tanzania haina dini ila watu wake wana dini hivyo kama ni kujiunga na OIC basi mjiunge waislamu na si Tanzania kama nchi,Nashauri Tufanye kazi hakuna Mtu wa kubadili maisha yetu zaidi ya sis wenyewe kujituma na si kutegemea VATICAN wala OIC maendeleo ni kazi
 
bora ukimwi kuliko OIC, waislamu mpo 28% na wakristo 78 sasa hapo hamuwez wachache kutulazimisha ss wakristo wengi
 
Shule nyingi kama sii zote na Hospital zilizotaifishwa na Nyerere zilijengwa wakati wa UTAWALA wa Mjarumani, sasa Soma historia ya CSSC


" The consultation was a culmination point of a dialogue process that had been going on for some time between leaders of the German Churches, the Government of Tanzania and German Churches respectively their agencies."
Hii ni nukuu kutoka ulichoweka kwenye post yako.

Hivi Mkandara, ni kiingereza kinachokupa taabu au ni chuki zako dhidi ya Wakristo na Ukristo. Hivi kwa sababu Waarabu wanajitoa muhanga kwa kujilipua, tuamini kwamba Uislam ni kujilipua kwa kuwa Uislam ulitokea Arabuni? Kama hivyo ndivyo wewe utajilipua lini?

Uislam wako unatia mashaka.
 
Wanaotaka tz ijiunge oic wana akili timamu kweli?

Wanazo akili timamu ila kwa kuwa ndugu zao ni majini - ndo shida inapoanzia. Binadamu hawezi kuwa na ushirika na majini akaenenda sambamba na binadamu asiyekuwa na ushirika na mambo ya kishetani.
 
Shule nyingi kama sii zote
na Hospital zilizotaifishwa na Nyerere zilijengwa wakati wa UTAWALA wa
Mjarumani, sasa Soma historia ya
CSSC


sasa tatizo liko wapi mkandara ikiwa miradi hiyo haijawa specified kufaidisha kundi fulani tu la watz?
 
Shule nyingi kama sii zote
na Hospital zilizotaifishwa na Nyerere zilijengwa wakati wa UTAWALA wa
Mjarumani, sasa Soma historia ya
CSSC


mkandara,ngoja kesho nikiwa kwenye computer ofisini ntakujibu vizuuri hoja yako.ila nimeipenda.
 
naomba wale wanaoifahamu vizuri OIC, tuwekeeni hapa malengo ya OIC kama taasisi, lkn sio blabla, oooh!!! mara wasiotaka tujiunge nayo hawatutakii mema MUSLIMS, tuwekeeni malengo ya hiyo OIC
 
tatizo kitu kisiwe najina la kiislamu utadhani ukristo umeanzishiwa hapa tz.kuna msumbiji wamejiunga ,uganda wamejiunga wanafaidika mikopo isio nariba ukikopa mia unalipa mia .wakristo wa tz wanaunda zimwi lisilokuwepo kuhusu oic.madai ya ugaidi ktk madrasa ni uzushi nchi ina usalama wa taifa na vyombo mbalimbali yva ulinzi ina maana watakuwa wamelala.kuhusu alkaeda hiyo ni sinema ya marekani naosama na telebani walimng,o mrusi kwa pamoja pale afghanistan alipotoka marekani kwageuka alkaeda na talebani ndiyo vita ikaanzia hapo.acheni chuki ya kutubagua .kwa kua bwana yesu aliwaambia mpende adui yako nyie mbona mnaenda kinyume.
 
watz hasa ndg waislam kuna mambo meng yamefichika nyuma ya pazia.OIC sio jumuia ya kiuchumi au yenye malengo ya kiuchumi,hii ni jumuia ya kidin yenye malengo na mikakat ya kiiman zaid.ktk malengo na maazimio yao hukuna masuala ya kiuchumi.hata nchi zilizojiunga na zenye waislam wachache,walilubuniwa viongoz wao,walikurupuka kama akina mangungo wa msovero.pia wanaonufaika ni viongoz hasa wakati wa mchakato wa kujiunga,ni nchi ipi imepiga hatua kutokana na uwezweshaj wa jumuia hiyo?mfano ktk nchi kumi maskin zaid dunian mauritania na niger zipo na ni wanachama tena zenye karib raia wake wote waislam mbona hazijakombolewa na OIC????uganda na msumbiji uchumi wao unakua kwa sabab ya ugunduzi wa mafuta na ges pamoja na raslimali nyngne si OIC.twambien ni nchi ip imeonndokana na umaskin tu kwa kujiunga na OIC pasipo juhud za makusud kama taifa kkujipanga na kufanya kaz pia kutumia vzuri raslimali za nchi.tushinde vijiwen vya kahawa na bao tusubl OIC ituletee maendeleo!OIC ni umoja ulianzishwa na nchi zenye hasira za kushindwa vibaya vita ya siku sita dhid ya israel.oic huwez kuitenganisha vita dhidi ya israel au vita hiyo.wanajipanga kurud tena vitan dhidi ya israel na washirika wao.fanyez kaz watanzania achen uvivu na kulalama.
 
Back
Top Bottom