Tatizo watu wanamu-underestimate JK... kama JK aliweza kumtosa Lowassa, hawezi kushindwa kumtosa yeyote yule miongoni mwa hawa walio kwenye serikali yake!
Hakuna hata mmoja miongoni mwao anayemkaribia EL kwa vile alivyokuwa na JK... Membe, ni kama ana-force tu lakini sio kivile!
Tatizo watu wanamu-underestimate JK... kama JK aliweza kumtosa Lowassa, hawezi kushindwa kumtosa yeyote yule miongoni mwa hawa walio kwenye serikali yake!
Hakuna hata mmoja miongoni mwao anayemkaribia EL kwa vile alivyokuwa na JK... Membe, ni kama ana-force tu lakini sio kivile!
Hahahaha.....hata MaGT wanajifanya hawajaelewa ili Invisible afunguke zaidi kiduchu.....
Endelea hivyo hivyo kuamini kwamba dhaifu huku akina Mbowe kila wakati wakipigwa bao na huyo dhaifu dhaifu!!! Tatizo watu tunahadaika sana na wapiga kelele na mikwala kama akina Mkapa na ndio tunawaona jasiri lakini hata wewe nikikuuliza, Mkapa katika miaka kumi aliyokaa madarakani ameonesha ujasiri gani kwa mafisadi sijui kama unaweza kunitajia unless kama unataka kusema serikali yake ilikuwa safi... au labda kama unamaanisha ujasiri wa kuwanyamazisha wabunge wa CCM kama siku alipopanda ndege hadi Dodoma kwenda kuwachimba mkwara pale walipotaka kuleta nyoko wakati anaipeleka NBC mnadani...siyo kumu-underestmate jk ni dhaifu tena mwandamizi kabsaaa, hatua atakazo chukua ni kwa hisani ya watu wa marekani.
Braza nini kinaendelea hapa? Manake hata sielewi....
Ukiona mada imeanzishwa na Invisible tena usiku. Ujue lipo jambo kuu.
Ya CAG ipo JF kitambo; sema watu waliisoma bila miwani. Iangalie upya thread yangu utaona kuwa ipo kitambo hapa!
Ya CAG ipo JF kitambo; sema watu waliisoma bila miwani. Iangalie upya thread yangu utaona kuwa ipo kitambo hapa!
Tatizo watu wanamu-underestimate JK... kama JK aliweza kumtosa Lowassa, hawezi kushindwa kumtosa yeyote yule miongoni mwa hawa walio kwenye serikali yake!
Hakuna hata mmoja miongoni mwao anayemkaribia EL kwa vile alivyokuwa na JK... Membe, ni kama ana-force tu lakini sio kivile!
.......I can't wait kuona watu wazima chaliiii!!
Endelea hivyo hivyo kuamini kwamba dhaifu huku akina Mbowe kila wakati wakipigwa bao na huyo dhaifu dhaifu!!! Tatizo watu tunahadaika sana na wapiga kelele na mikwala kama akina Mkapa na ndio tunawaona jasiri lakini hata wewe nikikuuliza, Mkapa katika miaka kumi aliyokaa madarakani ameonesha ujasiri gani kwa mafisadi sijui kama unaweza kunitajia unless kama unataka kusema serikali yake ilikuwa safi... au labda kama unamaanisha ujasiri wa kuwanyamazisha wabunge wa CCM kama siku alipopanda ndege hadi Dodoma kwenda kuwachimba mkwara pale walipotaka kuleta nyoko wakati anaipeleka NBC mnadani...
Wenye macho wameona, miwani kama hujanunua basi vuta subira... Jumatatu "Si mbali"
Endelea hivyo hivyo kuamini kwamba dhaifu huku akina Mbowe kila wakati wakipigwa bao na huyo dhaifu dhaifu!!! Tatizo watu tunahadaika sana na wapiga kelele na mikwala kama akina Mkapa na ndio tunawaona jasiri lakini hata wewe nikikuuliza, Mkapa katika miaka kumi aliyokaa madarakani ameonesha ujasiri gani kwa mafisadi sijui kama unaweza kunitajia unless kama unataka kusema serikali yake ilikuwa safi... au labda kama unamaanisha ujasiri wa kuwanyamazisha wabunge wa CCM kama siku alipopanda ndege hadi Dodoma kwenda kuwachimba mkwara pale walipotaka kuleta nyoko wakati anaipeleka NBC mnadani...