Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,119
- 136,866
Ushaambiwa mawaziri wote wameambiwa warudishe V8 dar haraka iwezekanavyo.
Nimeambiwa na nani...?
Ushaambiwa mawaziri wote wameambiwa warudishe V8 dar haraka iwezekanavyo.
Hivi kwani yeye majordomo hahusiki kabisa au ndo mambo ya smoke screen tu?
hakuna jiwe litakalo salia juu ya jiwe jingine.
Naomba nijue walioongezeka ukiacha wale tunaowajua waziwazi na wenye
mbwembwe!
hii kitu kwa presha ya bunge wangekuwa na uwezo wa kupuuzia,ila presha ya nje seems ina nguvu kuliko ya ndani
==========Hiki kitu sikipendi....kwa nini tunashidwa kujitegemea kwenye masuala yanayotuhusu sisi...!? Yaani mpaka watoa mikopo/misaada kandamizi watushikie bango ndo tuwajibishane...?! Lazima tujenge utamaduni wa kujitegemea kwa kila jambo linalotuhusu sisi wenyewe. Kukamata wezi, na kuwashughulikia haihitaji msukumo wa watoa grants kandamizi vinginevyo anayehusika kuwa kamata, kuwawajibisha naye anahusika kwenye wizi na ubadhirifu wa mali za umma wa watanzania. TUJITEGEMEE.
Na lililochomwa moto boko lilitakiwa kurudishwa...!?Ushaambiwa mawaziri wote wameambiwa warudishe V8 dar haraka iwezekanavyo.
Kwa maneno mepesi tu ni kwamba JK hawezi kukabiliana na upepo hata kidogo...
Hutenda kulingana na upepo unapoelekea....
Ushaambiwa mawaziri wote wameambiwa warudishe V8 dar haraka iwezekanavyo.
JK angekuwa ni mtu wa kutikiswa na upepo angekuwa ameng'oa wengi; tena zamani.Kwa maneno mepesi tu ni kwamba JK hawezi kukabiliana na upepo hata kidogo...
Hutenda kulingana na upepo unapoelekea....