umeona jinsi HUKAWA ulivyo pata wingi wa mitaa kwenye uchaguzi?nakama wewe ni mfuatiliaji esabu idadi ya kura walizopata chadema na alizopata ccm bila kujali mitaa utagundua kwamba idadi ya wanachadema ni nyingi kulinganisha na ccm, hivyo kama ingekuwa urais basi mshindi angekuwa wa chadema, kama huoni hilo basi wewe si mfuataliaji kama tulivyo sisi kina gogo la shamba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.