Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,341
hawawezi kutokea hahahahaha
sidhani kama maamuzi yamefanyika,bado nasubiri confirmed tamko.
hawawezi kutokea hahahahaha
sidhani kama maamuzi yamefanyika,bado nasubiri confirmed tamko.
Better late than never.
Hata hivyo, nae wanaweza kuja kumlipua mbele ya safari.
hawawezi kutokea hahahahaha
Amechelewa sana jumapili uchaguzi serikali za mitaa wangetumia kama hoja ya kuombea kura the damage has been done!
Afanye tu kuwafurahisha wafadhili hao ndo wanaogopwa kwa sasa kuliko wananchi na bunge lao!
unadhani lile tamko la US mchezo? Hawezi kuzikosa 1 trillion kwa ajili ya kuwalinda maswahiba.
Sijaona la maana hapa, habari gani isiyo na kichwa wala miguu. Weka vitu wazi tukuelewe, sasa unaleta taarabu wamfumba nani sasa. Kama umelewa kalale, habari gani ya kibinti dume zima. aibu hiyo, ng'ombe wewe!
Mkuu, msamehe bure tu huyu ni mgeni hapa jamvini.Sijaona la maana hapa, habari gani isiyo na kichwa wala miguu. Weka vitu wazi tukuelewe, sasa unaleta taarabu wamfumba nani sasa. Kama umelewa kalale, habari gani ya kibinti dume zima. aibu hiyo, ng'ombe wewe!
Hata hawakutarajia ingekuwa hivi!
Wengine hata najua wazi hawana taarifa na kinachoendelea juu yao. Lakini kaamua, liwalo na liwe.
Mmefanya vema mliofanikisha juhudi za kumpa majina ya ziada; atakuwa aliudhika kukuta aliowaamini nao ni nyoka.
Kafanya jambo jema; lakini kama atafanya hivi bado wale jamaa watalegeza kamba? Kuongezeka kwa watuhumiwa kutaleta neema kwetu kama nyumba?
Naam, weekend imewaendea vibaya; ambao hawakutarajiwa ndo watalia na kusaga meno. Mwaka unaisha vibaya kwao!
Lakini, kilio chao ni kicheko cha wengine! Wenye macho wameona... Wengine vaeni miwani mtaweza soma!
Kwani si atawaambia warudishe tu walichopora na hata wasiporudisha hawezi wafanya kitu labda danganya wafadhili kwa wawili watatu kupelekwa mahakamani kwa kesi zisizo na mwisho haswa akizingatia anahesabu tu miezi ya kumalizia ngwe yake.
Nina uhakika wasio tegemewa wataondoka na walio tegemewa watabaki!