Oh, weekend imeshawaendea vibaya!

Oh, weekend imeshawaendea vibaya!

Sijaona la maana hapa, habari gani isiyo na kichwa wala miguu. Weka vitu wazi tukuelewe, sasa unaleta taarabu wamfumba nani sasa. Kama umelewa kalale, habari gani ya kibinti dume zima. aibu hiyo, ng'ombe wewe!


Kama hujaona la maana unafwata nini? rudi ukapewe haki yako na mkeo akili zako hapa haziwezi kitu.
 
Sijaona la maana hapa, habari gani isiyo na kichwa wala miguu. Weka vitu wazi tukuelewe, sasa unaleta taarabu wamfumba nani sasa. Kama umelewa kalale, habari gani ya kibinti dume zima. aibu hiyo, ng'ombe wewe!

Hujitambui......Yaani ni sawa na uende mbele ya FFU walioruhusiwa kutumia nguvu alafu uwatukane......lazima wewe kama mavumbi urudi mavumbini......
 
Thubutuuuuu!! watu washapigiwa SIMU warejeshe v8 zetu....

ha ha ha kwa joto lilivyo JK hana ubavu Wa kumwacha MTU maana angewaacha kungerudisha mjadala bungeni kitu ambacho hakitamaniwi tena.....
hii kitu kwa presha ya bunge wangekuwa na uwezo wa kupuuzia,ila presha ya nje seems ina nguvu kuliko ya ndani
 
Mambo sio shwari hata kidogo........Huko Duniani wameamua kubadilika na kuamua liwalo na liwe.......lazima damu ya mtu itoke ili kumpooza mizimu inayotakiwa kunywa damu Mbichi ........Cheki pics tommorow on media ..........
 
Hahaa haaa sasa kama alijiandaa kuwasafisha kazi kwake
Obama is watching ...

kama obama pamoja na republicans kukomaa ile ripoti ya CIA TORTURE isitoke na kaamue na liwalo liwe itakuwa ESCROW?
 
Samahani mkuu ili ni jukwaa la siasa wala si la mafumbo tunaomba fumbo lako lihamishiwa kwenye jukwaa la habari mchanganyiko ama sport entertaiment. No double standard rule in JF hopeful u will held it responsibly

wewe unamtania BIG BROTHER siyo?
 
Tatizo watu wanamu-underestimate JK... kama JK aliweza kumtosa Lowassa, hawezi kushindwa kumtosa yeyote yule miongoni mwa hawa walio kwenye serikali yake!

Hakuna hata mmoja miongoni mwao anayemkaribia EL kwa vile alivyokuwa na JK... Membe, ni kama ana-force tu lakini sio kivile!
 
Nitasikitika sana kama BREAKING NEWS itatoka nje ya JF! JF is not only where we dare, it is where NEWS BREAKS!!
cc: Invisible.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo watu wanamu-underestimate JK... kama JK aliweza kumtosa Lowassa, hawezi kushindwa kumtosa yeyote yule miongoni mwa hawa walio kwenye serikali yake! Hakuna hata mmoja miongoni mwao anayemkaribia EL kwa vile alivyokuwa na JK... Membe, ni kama ana-force tu lakini sio kivile!

Kwa maneno mepesi tu ni kwamba JK hawezi kukabiliana na upepo hata kidogo...

Hutenda kulingana na upepo unapoelekea....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom