Ogopeni kusoma kombi dhaifu

Ogopeni kusoma kombi dhaifu

JamiiForums,

Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza form 4 katika kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012.

Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.

Ahsanteni....

Mtoa hoja wewe ndo dhaifu 100%. Hujajenga hoja kutuconvise nani alisoma strong course Tanzania na katufikisha wapi kama nchi?
 
Mtoa hoja wewe ndo dhaifu 100%. Hujajenga hoja kutuconvise nani alisoma strong course Tanzania na katufikisha wapi kama nchi?

Kwanza haya maswala ya Combibation siku izi hayako ..ww soma KlF soma JKM ,soma PPL ..mwisho wa siku yeyote anaweza kua chochote . ! .
 
JamiiForums,

Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza form 4 katika kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012.

Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.

Ahsanteni....

mtoa mada una umri gani?
kama umehitim na akili hii naomba rudi shule ukaanze form1
 
JamiiForums,

Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza form 4 katika kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012.

Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.

Ahsanteni....

Dogo upo right.maana comb kama HKL,HGL,KLF ni kama viti maalum bungeni zimewekwa kuwasaidia akina Dada wafike chuoni.sasa nashangaa dume zima limevaa suruali anasoma comb za viti maalum
 
watakaaa tu wanaona sifa mtaani kuona wanasona kombination naarufu eee

Hawajielewi cha msingi kila mtu na matarajio yake na sio kudanganyana kwani kila mtu anasababu za kumfanya afanye jambo na kuacha jambo huwezi jua mana uwezo kiujumla tunatofautiana.

Mwisho.
 
Hajui asemalo, wala uhalisia wa Maisha, asamehewe.
 
Dogo upo right.maana comb kama HKL,HGL,KLF ni kama viti maalum bungeni zimewekwa kuwasaidia akina Dada wafike chuoni.sasa nashangaa dume zima limevaa suruali anasoma comb za viti maalum


Acha kuongea vitu usivoelewa. walimu watatoka wap bila izo combi. unalalamika mishahara wizara ya utumishi wasome PCB. vipi kuhusu wanaofundisha walemavu wasome PCM. wanasheria wasome nn? kama sio unachoita dhaifu.kaaa chini fikiria.
 
mtoto kiazi wewe...hta TCU hujaiona unajua nini kuhusu combination? soma TCU book labda utapata mwanga.
 
Wakuu hiyo thread niliamua kujitoa ufahamu nikatumia fake ID sasa naona mods wakaamua kuniumbua.

Samahani sana wakuu kwani uungwana ni vitendo, note: Mimi sio zao la BRN. Stay blessed
 
Wakuu take not seriously folks, hii thread ni ya zamani sio ya mwaka huu.
 
wajinga nliokuwa nasoma nao wakinicheka why nimesoma HGL kwa sasa wako mitaani
form 6 walichemka vibaya sana wakijisifu na PCM,PGM zao
kwa sasa nina vidigree vyangu vitatu yaani undergraduate na post 2 sio phd
life iko super kiasi chake siombi kwa mtu wala sijafisadi cha mtu
kwa akili zenu za kitoto mnaandika upuuzi humu kakojoeni mlale hamna adabu kuandika ujinga kama huu.
soma kitu unachoweza na sio kufuata mkumbo..

that's a point
 
You are wrong on this. Jipange and think big. Kama huko mbele hupajui basi usipazungumzie bali uliza kwanza. Alaf "comb" ndo nini? Sema "combination". Kwa kiasi kikubwa maandishi yako yanaweza kutoa definition ya wewe uko katika hali gani akilini. Ni hayo tu..

"Imode"
 
Mtoa hoja hana alilokosea. Vitu vingine ni fact kwa jinsi hali ilivyo hivi sasa ongezeko la wanafunzi wa art ni kubwa especiall frm 2005 to now. Ivyo basi ata inapokuja suala la kupata vyuo kunakua na matatzo mengi na competition kubwa.kiukweli kama wewe ni advance ni bora ukasoma EGM. HGE. ECA na combination za SAYANSI. huo ndo ukweli wengi wa wachangiaji humu ni wale walionaliza vyuo vikuu miaka 3 had 5 iliyopita wanahisi hali ilivyokua jana basi inafanana na leo hapana mambo yamechange. ELIMU IMEYUMBA (BRN) sasa imekua BIG REACTOR NOW
 
Attention seeker, jana aliandika mada kama hii akapata wachangiaji wengi, pages kadhaa, leo kaandika the same shit, kapata wachangiaji wengi, mpuuzeni na mada zake za kitoto..
 
Attention seeker, jana aliandika mada kama hii akapata wachangiaji wengi, pages kadhaa, leo kaandika the same shit, kapata wachangiaji wengi, mpuuzeni na mada zake za kitoto..

Hahahaha stroke angalia tarehe ya thread yenyewe mkuu, Pia mbona na wewe umeshindwa kunipuuzia na hatimaye umechangia kujaza pages..

Cheers....!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom