Ogopeni kusoma kombi dhaifu

Ogopeni kusoma kombi dhaifu

Huu uzi naona wachangiaji wote walisoma au wanasoma hizo comb unazoziita "dhaifu", utakula za uso hadi utoe mboji
 
Dogo acha kuishi kama mfalme Juha. Kukariri kuna shida sana,jaribu kuwa na wigo mkubwa wa uelewa itakusaidia.
 
Acha kupotosha watu kijana sas kama woote watakua komb za sayansi nani ata naniliaa
 
huyu dogo asaidiwe kimawazo jamani tusije tuka mlaumu kumbe ndio uwezo wake wakufikiri umeishia hapo
 
huyu dogo asaidiwe kimawazo jamani tusije tuka mlaumu kumbe ndio uwezo wake wakufikiri umeishia hapo
 
PCB ,PCM,CBG,na PGM....twende sawa maana lazima ubungo uwe timamu kwa hayo mawe
 
sawa ila mjini hapa hao wa hkl, klf tena failure wako vizur wengine form 4 walofeli
 
PCB ,PCM,CBG,na PGM....twende sawa maana lazima ubungo uwe timamu kwa hayo mawe
CBG unaongelea nini hapo haina tofauti na HKL,HGL ukishaona haipo math wala phy ktika kombi ujue n dhaifu kwa mujibu wa mtoa mada
 
Mind keeper...! Sina maana hiyo ila nilichofanya mimi ni kuwainspire vijana wenzangu tusiogope kusoma comb ngumu kama CBG PCB PCM ECA etc ili kuepuka wote kuja kuwa mzigo huko mbeleni hasa ukiangalia na mfumo wa soko la ajira nchini kwani comb ndiyo inayozaa taaluma utakayosomea chuoni.

Inspiration can't be delivered in that way. What you did is despise the other group while feeding arrogance to your favorite group. Na hapo ndipo mnapopotezana. Kusema comb flan dhaifu ni uthibitisho tosha kuwa hajakomaa kimawazo.
 
Waliosoma arts utawajua tu wanamwaga sumu hapa kubalini mkatae hizo ni combination za wadada wanaume njoo pcm PCB cbg na EGM kwa mbali sasa hkl na PCB wapi na wapi simbilisi nyinyi
 
Shardcole upo sahihi Mkuu wasikutishe hao

hahhahahaha mawazo ya watoto ya kijinga kijingaaaaaa.... Mimi nimesoma ART course na nipo vizur.... Subirin mkiingia kwenye soko la ajira ndio mtajua hayo mawazo ya kuzarau kozi za wengine ni mambo ya kizaman
 
hahhahahaha mawazo ya watoto ya kijinga kijingaaaaaa.... Mimi nimesoma ART course na nipo vizur.... Subirin mkiingia kwenye soko la ajira ndio mtajua hayo mawazo ya kuzarau kozi za wengine ni mambo ya kizaman
Mimi ninaonge na ushahidi ninao hizo combination za kijinga sana kitaani watu wapi kibao wanasota na ukitaka kuamini hivyo angalia wanaolalamika humu jf wengi ni science au art ?? Hkl hii ndo bats kabisa kuna jamaa alipata one yeye alikuwa ni kulala tu sasa PCB Fanya huo ujinga uone tuheshimuni basi jamani
 
Back
Top Bottom