Ogopeni kusoma kombi dhaifu

Ogopeni kusoma kombi dhaifu

Mimi ninaonge na ushahidi ninao hizo combination za kijinga sana kitaani watu wapi kibao wanasota na ukitaka kuamini hivyo angalia wanaolalamika humu jf wengi ni science au art ?? Hkl hii ndo bats kabisa kuna jamaa alipata one yeye alikuwa ni kulala tu sasa PCB Fanya huo ujinga uone tuheshimuni basi jamani

Mark my words to what i did post early.... One day you will rember me
 
Sawa Mkuu ntakutafuta nikikosa ajira nasoma b.com



Kijana suala la ajira tanzania ni gumu saba ukiwa chuo huwezi kujua ngoja umalize chuo utaona kwa macho yako.... Nasema tena epuka kuwadharau wenzako kwa kozi zao.... Tunza haya maneno yangu utaniambia
 
JamiiForums,

Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza form 4 katika kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012.

Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.

Ahsanteni....
Nahisi umekosea !! HGE ? U mean HGL ? Eti comb dhaifu duh unaijua Economics wewe? Acha masihara
 
Kijana suala la ajira tanzania ni gumu saba ukiwa chuo huwezi kujua ngoja umalize chuo utaona kwa macho yako.... Nasema tena epuka kuwadharau wenzako kwa kozi zao.... Tunza haya maneno yangu utaniambia
Mkuu kazi najua ni ngumu sana ila za arts ni zaidi asee
 
JamiiForums,

Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza form 4 katika kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012.

Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.

Ahsanteni....
Mkundu wewe jinga kabisa kaongelee choni
 
JamiiForums,

Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza form 4 katika kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012.

Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.

Ahsanteni....
Kumbe maisha na mchepuo wa Elimu vina uhusiano?
 
JamiiForums,

Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza form 4 katika kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012.

Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.

Ahsanteni....
Zao la BRN (Boost Result Network) katika ubora wako tena kumbuka Mama Ndalichako kafuta GPA ...nenda kapige hiyo PCM utuletee Heshima ya division ZIRO Kitaani
 
Back
Top Bottom