mkonomtupu
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 441
- 118
Hata Mimi HGE ilihusika hapa na Div 1 yangu ya point 4 Leo ni mchumi mwandamizi serikalini alaf u mtu wa Div 5 ya form 4 anaongea tope inauma. Lakini apuuzwe kwakuwa hajui alisemaloHaya bana,ngoja sie vilaza tuliosoma HGE tujipitie zetu kimya kimya..