Ogopeni kusoma kombi dhaifu

Ogopeni kusoma kombi dhaifu

Haya bana,ngoja sie vilaza tuliosoma HGE tujipitie zetu kimya kimya..
Hata Mimi HGE ilihusika hapa na Div 1 yangu ya point 4 Leo ni mchumi mwandamizi serikalini alaf u mtu wa Div 5 ya form 4 anaongea tope inauma. Lakini apuuzwe kwakuwa hajui alisemalo
 
Hata Mimi HGE ilihusika hapa na Div 1 yangu ya point 4 Leo ni mchumi mwandamizi serikalini alaf u mtu wa Div 5 ya form 4 anaongea tope inauma. Lakini apuuzwe kwakuwa hajui alisemalo
Zuzu lile linafikiri HGE kirefu chake ni History..Geography & English
Yaani hajielew
 
Uzi huu hauna mantiki. Na una michango ya ajabu sana. Chukua kombi unayopenda ifanyie kazi matunda utayaona
 
JamiiForums,

Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza form 4 katika kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012.

Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.

Ahsanteni....
kula 55
 
ziliwekwa wasome wazee,alie kuita kichwa maji yuko sahihi hakuwa na chakukusoa zaidi yakukuita boya hujui unacho simamia!!
 
Mdogo wangu kamwe usisome combination ili uonekane we ni nani duniani au kutafta SIFA utapotea unajiangaliaa. .nimesoma na watu walio lazimishwa

kwenda sayansi na wazazi walipata 0 form six ...waliosomea sayansi kwa SIFA pia walipata zero. .elimu haiitaji SIFA ndugu. .soma unachokiweza na unachoona unakimudu kinaweza kukupa future nzuri kuliko kukimbilia kitu ambacho haukiwezi ila umeenda tuu kuwafurahisha watu....nimesoma HKL na sasa hivi ni meneja muajiri kwenye kampuni nzuri tuu sasa kapigane na sayansi ikikushinda njooo nikusaidie ajira
 
nnilishangaa nilipofika chuo kukuta mtu wa hhgl anasoma business...eti kombi zaif inazaa chuo zaif...hahahaha....kubishana na vitoto kazi kweli...hawa ndo wale wanaozana tz kuna chuo kimoja tu
 
JamiiForums,

Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza form 4 katika kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012.

Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.

Ahsanteni....

Uandishi wako ni dhaifu pia.Umeishia kuandika kichwa cha habari tu.Habari yenyewe hakuna.Nahisi umesoma combi dhaifu tu.
 
Back
Top Bottom