Canabian Rasta
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 776
- 1,722
- Thread starter
- #41
Bado hujasema
Macho ya kazi hayoKila mtu anasema lakeee😂
Kama yakoMacho ya kazi hayo
Anajiamini kukuzidi na bila shaka uoga wako unamaanishi maovu unayomtendea ilihali ukitambua kuwa ni uovu.Naombeni ufafanuzi inakuwaje mwanamke anakutizama Sana machoni yaani hadi kero ??
Mkazie macho yeye ndio aangalie chiniNaombeni ufafanuzi inakuwaje mwanamke anakutizama Sana machoni yaani hadi kero ??
Eti nasetiwa niamini upupu mimi😂😂 🤣 shukrani nyingi mkuu si unaelewa😘Hahahhebu hebu anza leo kuniamin sasa, we ni Mwema sana mkuu 😘😘..
Kuna vitu umeachaKama unahitaji amani kwenye mahusiano yako basi zingatia sana macho ya uyo mwanamke, ogopa wanawake wenye macho madogo yakujifinya, wastani yalivoshuka pembeni, makubwa ila hasiyo sexy.
No offens.
Madogo yakujifinya
Hawa wengi ni wembamba, wanatunza vitu moyoni hawajui kusamehe,visilani,wakiongea hadi mishipa ya mabegani inatoka.
wastani yaloshuka pembeni
Hawa hupenda utawala, wajuaji, wababe kweli kweli, ukitaka amani nae kua fala, wanaroho za kikatiri sana ukingia 18zao, hawa hua wanauwezo wakuua kabisa.
Makubwa yasio sexy
Hawa usiombe uwakute masokoni, usiponunua kwake mboga unaweza usiku usilale, wabinafsi haswa, wapenda magomvi ila nguvu hawana, wachonganishi saana.
Kama unabisha chunguza hapo ulipo.
View attachment 2826798
View attachment 2826798View attachment 2826799View attachment 2826800View attachment 2826801View attachment 2826802
Hiyo pic ya kwanza ndo yangu😂😂
Bado hujasema
Naombeni ufafanuzi inakuwaje mwanamke anakutizama Sana machoni yaani hadi kero ??
hapo hua kuna wale wakiongea pua zinatuna iv OGOPA sana
Kwakweli amedanganya Mimi mbonayangu makubwa na Sina roho mbaya😂😂😂Mkuu yani kwa staili hii ndo kuoa bai bai kabisa😁😁😁😁
Wangu huyu mbona ana macho makubwa yasiokuwa seksi 😂😂😂
lakini ana roho nzuri au ndo false possesion nijiandae kwa kitu kizito hapo baadae😂
Sawa ntafanyia kazi ushauri wakoUyo yupo comfident sana juu yako, Siku nyingine ukiwa nae akikungalia ivo nawe mwangalie kifuani sana au mdomoni akiwa anaongea, utanishukuru
Sawa sawa mkuu ntalifanyia kaziMkazie macho yeye ndio aangalie chini
Hamna hata uovu niliowahi kumfanyia sema tu ni mtu ananionaga na simpi attention hata ko navuta picha labdah anataka kunidadisi au kuwa karibu tu namiAn
Anajiamini kukuzidi na bila shaka uoga wako unamaanishi maovu unayomtendea ilihali ukitambua kuwa ni uovu.
Mboni km Biden.View attachment 2826850
Zingatia macho ya mpenzi wako kwa makini..maumbo ya macho yana siri kubwa juu yatabia zaa muhusika, chunguza.