Ogopa wanawake wenye macho ya hivi kwenye mahusiano

Canabian Rasta

JF-Expert Member
Aug 18, 2022
771
1,707
Kama unahitaji amani kwenye mahusiano yako basi zingatia sana macho ya uyo mwanamke, ogopa wanawake wenye macho madogo yakujifinya, wastani yalivoshuka pembeni, makubwa ila hasiyo sexy.
No offens.

Madogo yakujifinya
Hawa wengi ni wembamba, wanatunza vitu moyoni hawajui kusamehe,visilani,wakiongea hadi mishipa ya mabegani inatoka.

wastani yaloshuka pembeni
Hawa hupenda utawala, wajuaji, wababe kweli kweli, ukitaka amani nae kua fala, wanaroho za kikatiri sana ukingia 18zao, hawa hua wanauwezo wakuua kabisa.

Makubwa yasio sexy
Hawa usiombe uwakute masokoni, usiponunua kwake mboga unaweza usiku usilale, wabinafsi haswa, wapenda magomvi ila nguvu hawana, wachonganishi saana.

Kama unabisha chunguza hapo ulipo.

920FFC18-4116-4FBC-94C4-653D5FCEB528.jpeg

920FFC18-4116-4FBC-94C4-653D5FCEB528.jpeg
E9C28DD1-1CF7-496B-9CEB-D2B35C1A2A4C.jpeg
5BDF7A61-94CE-4287-B2D4-E3707FFA208E.jpeg
89F9D580-FBC4-4199-87B2-B48E7597ADD5.jpeg
8DA97CEB-6BC4-4942-B726-BD2F288E4756.jpeg
 
Kama unahitaji amani kwenye mahusiano yako basi zingatia sana macho ya uyo mwanamke, ogopa wanawake wenye macho madogo yakujifinya, wastani yalivoshuka pembeni, makubwa ila hasiyo sexy.
No offens.

Madogo yakujifinya
Hawa wengi ni wembamba, wanatunza vitu moyoni hawajui kusamehe,visilani,wakiongea hadi mishipa ya mabegani inatoka.

wastani yaloshuka pembeni
Hawa hupenda utawala, wajuaji, wababe kweli kweli, ukitaka amani nae kua fala, wanaroho za kikatiri sana ukingia 18zao, hawa hua wanauwezo wakuua kabisa.

Makubwa yasio sexy
Hawa usiombe uwakute masokoni, usiponunua kwake mboga unaweza usiku usilale, wabinafsi haswa, wapenda magomvi ila nguvu hawana, wachonganishi saana.

Kama unabisha chunguza hapo ulipo.

View attachment 2826798
View attachment 2826798View attachment 2826799View attachment 2826800View attachment 2826801View attachment 2826802
Naombeni ufafanuzi inakuwaje mwanamke anakutizama Sana machoni yaani hadi kero ??
 
Back
Top Bottom