Wanawake na hulka ya kujipa kipaumbele kwenye mahusiano

Vesper-valens

JF-Expert Member
Mar 6, 2020
5,282
7,377
Habari wakuu,

Nawatakia maandalizi mema ya sikukuu ya pasaka , na kwa ndugu zangu islamic niwatakie mfungo mwema

Iko hivi hawa viumbe kiasili ni wabinafsi na kwakua hawapendi kuteseka basi kimbilio lao kubwa ni kuangukia kwenye mahusiano ili kupunguza mzigo , asilimia kubwa ya wanawake mpaka akubali kuwa kwenye mahusiano basi ameshapima kuwa lazima afaidike , iwe kifedha, au kihisia .

Na akishakua kwenye mahusiano ni lazima ahakikishe kuwa anapata hitaji lake. Akiingia kwenye mahusiano na akaona aliyoyakuta ni kinyume na matarajio basi ujue lazima ageuze njia

Mwanamke kwavile ana ubinafsi wa hali ya juu , ukishakua naye kwenye mahusiano basi ni lazima atake utimize mahitaji yake yote . hata kama yeye upande wake hana msaada wowote kwako
Ndo maana unakuta kwenye mahusiano mengi wanaongoza kulalamika ni wanawake

Utaskia analalamika mara siku hizi hunijali, mara hauko romantic , mara mwanaume unakosaje hela ya kumtunza mwanamke n.k

Hakuna siku hata moja utakuta mwanamke kwenye mahusiano analalamikia jambo ambalo kama litafanyiwa utatuzi basi litakua na faida kwa wote wawili yani mwanaume na mwanamke
Malalamiko yote ni kuhusu mambo yake binafsi na sio mambo yenye faida kwenu wawili

Mara nyingi ukijaribu kutatua changamoto anazozilalamikia mwanamke basi ujue yeye anapata na wewe unapoteza, ndo wako hivyo na hawawezi kubadilika

Hii hali ya kujiangalia nyie tuu , inawakatisha tamaa wanaume wengi wenye nia ya dhati kuingia kwenye mahusiano.

Wanawake ifike mahali mtambue kuwa mahusiano na ndoa ni kwa ajili ya ustawi wa familia na sio taasisi za kuwatatulia shida zenu za kiuchumi.
Kila kitu mkikigeuza fursa na mkitaka kiwanufaishe kwanza basi mjue fika mnazidi kuleta maafa makubwa kwenye familia mpaka ngazi ya jamii na taifa kwa ujumla
 
Mleta mada uko sahihi sana. Japo wanatofautiana levels. Wengine wana kahuruma kidogo. Wengine wana ka huruma kwa mbaliiiiiiiii sana. Wengine wana ubinafsi wa ajabu sana. Yaani kipaumbele ni yeye tu, yeye apate hata kama wewe utakufa fresh.
Ni kweli mkuu
 
Kuna manzi nilimuona nikamuelewa ila yeye muda wote anaomba pesa , mara nasikia njaa mara gesi imeisha mara mama anaumwa mara kodi imiesha mara mzigo ofisini kwangu umeisha niongee pesa
Sasa huwa najiuliza hvi hyu tofauti yake na ombaomba ipo wapi ana mikono ana miguu ana akili ana ofisi kajiajiri ila tu yeye ni kuomba tu pesa.
 
Ni kuishi nao kwa akili tu..

"Mwanamke, mbwa na paka ndio viumbe pekee vinavyopendwa "unconditionally". Mwanaume anapendwa kwa condition kwamba kuna kitu anaweza ku provide" - Chriss Rock
Inafikirisha sana
 
Tatizo kubwa ni kwamba wanaume tunawasikiliza sana wanawake wakati 90% ya wanayoongea ni ya uongo vitu vingi ambavyo wanapenda au wanataka wanawake wafanyiwe hawasemi kwa aibu na kuna njemba zinaingia kichwa kichwa.
 
Tatizo kubwa ni kwamba wanaume tunawasikiliza sana wanawake wakati 90% ya wanayoongea ni ya uongo vitu vingi ambavyo wanapenda au wanataka wanawake wafanyiwe hawasemi kwa aibu na kuna njemba zinaingia kichwa kichwa.
Ukitaka kufa Masikini endekeza hvi viumbe hawajui na wewe kama una wategemezi ni ubinafsi na ujinga kukaa unategemea boyfriend wako akuhudumie kila kitu ilihali wewe una mikono na miguu na akili za kuweza kujipatia kipato
 
Hahahahahahahahahaha
Kuna kitu hakiepukiki duniani
Financial stabily
Hii kama huna lazima botton ya kulalamika iwashwe sio tu kwenye mahusiano ya kimapenzi bali kwenye kila kitu duniani
Ni kweli kaka bila ya kuwa strong financially hapa duniani patakua pagumu mno
 
Back
Top Bottom