BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
HahahaNgoja nihifadhi hii list kwa matumizi ya baadae.
Asante
BTW...Le Mutuz ni Rais wa Field Marshals
Nyie babu keanu akija hapa mzee wa downtown sijui itakuwaje
HahahaNgoja nihifadhi hii list kwa matumizi ya baadae.
Asante
BTW...Le Mutuz ni Rais wa Field Marshals
Ujue mtani huyu mzee mwenzangu huwa anajawa busara sana linapokuja suala la kushauri kuhusu ndoa huku jukwaani...
Kumbe hata mguu hajatiamo...
But ninamheshimu sana, kama alivyosema "kuishi kwingi ni kuona mengi" nakubali pasina kupepesa macho.
Lakini mwenzako anakaribia uField Marshall. Usiseme mzee mwenzako, we bado sana!!Mkuu yataka moyo kuishi na mwanamke ana 30+ ujue kuna umri mzuri wa kufyatua watoto.Utasemaje huchagui wakati tayari umeshaweka masharti?
hahahahhaha ushapika !!Karibu sana mpwa![]()
hahahahhaha ushapika !!
soon anaingia kwenye usponsorNgoja babu keanu akusikie.....atashusha mistari utashangaa
Ha ha ha hakiNa ulivyo mashuhuri kushauri wana ndoa...
Huna tofauti na kibao kinachoelekeza njia ambayo chenyewe hakijawahi kupita..
Hii post inakuhusu sana mkuu.Juice ndiyo hiyo....![]()
Fumba macho na tuombe...Imeniuma haswaa...
Ndo naaga usenior kuingia principal Bachelor, na sioni dalili za kustaaf.
Ee mola tenda muujiza.
Kwa sasa ni sawa kwa sababu unaweza kufanya kila kitu ila ukianza kuingia uzeeni ndio utakumbuka ule msemo wa 'nobody wants to die alone'Kwa kweli kila siku najivunia na naona fahari kukaa kando na pirika pirika za mapenzi....ni kama vile nimeutua mzigo mzito kichwan na moyoni.......
Kuishi kibachela ni raha sana.....kwani kila kitu kinakuwa under your control.......
Sikirii hata kuoa....na sijui kama tena nitaweza kuishi na mwanamke.........
Mwenyewe unapanga ule nini.....unapanga ndani kwako paweje......na mpangilio wa vitu vyako vinakuwa bora sana.....
Chumbani kwako kunakuwa kama paradiso ndogo.....ni mahali ambapo unatuliza moyo wako na pirika pirika za mji na maisha.....
Muda huu nipo zangu ndani kimya....huku nimeshika kitabu nikiongeza maarifa.....nikisindikizwa na mixing kali za wakina BOYZ II MEN.....Joe Thomas.....R Kelly.....bila ya mkuwasahau wakali blue....kama Ken G....na Bryan Adam.....mimi ni ndani tu......jikoni nikisubiri mchanganyiko wa ndizi na nyama viive nishushie na juice ya embe..........
Its lots of funny here......
Jamaniii mweee, Mungu na akutane na haja ya moyo wakoImeniuma haswaa...
Ndo naaga usenior kuingia principal Bachelor, na sioni dalili za kustaaf.
Ee mola tenda muujiza.
Hii post inakuhusu sana mkuu.
Duuuuh wewe hufai sasa.Juice ndiyo hiyo....![]()
HahahahajKwa kufuata hii rank, mtoa mada anatuchafulia tu.
Kwa sasa ni sawa kwa sababu unaweza kufanya kila kitu ila ukianza kuingia uzeeni ndio utakumbuka ule msemo wa 'nobody wants to die alone'
Si umeskia mwanamke mzee anaanzia 30? Wewe sema tu "shkamoo bibi" yaishe.![]()
Lakini mwenzako anakaribia uField Marshall. Usiseme mzee mwenzako, we bado sana!!