Ogopa ma senior bachelor

Ogopa ma senior bachelor

bachelor rankings...

18 - 22 yrs - Bachelor I
23 - 26 yrs - Bachelor 2
27 - 29 yrs - Senior Bachelor
30 - 33 yrs - Principal Bachelor
34 - 37 yrs - Deputy Chief Bachelor
38 - 40 yrs - Chief Bachelor
41 - 48 yrs - Bachelor General
49 - 53 sponsor
54 yrs............Field Marshall.

C&P
Cc le mutuzzzz
 
Ofcoz being a bachelor sio jambo baya hilo halina ubishi then once a bachelor kujipenda ni jambo zuri. Being smart, attractive, mwenye kujijali + kujitambua makes ur personality high
 
Kwa hiyo Lembebez ni Field Marshal??? Jina safi kabisa. Ninakumbuka Field Masrshal Radi ya Umeme.
 
bachelor rankings...

18 - 22 yrs - Bachelor I
23 - 26 yrs - Bachelor 2
27 - 29 yrs - Senior Bachelor
30 - 33 yrs - Principal Bachelor
34 - 37 yrs - Deputy Chief Bachelor
38 - 40 yrs - Chief Bachelor
41 - 48 yrs - Bachelor General
49 - 53 sponsor
54 yrs............Field Marshall.

C&P
Imeniuma haswaa...

Ndo naaga usenior kuingia principal Bachelor, na sioni dalili za kustaaf.

Ee mola tenda muujiza.
 
Kwa kweli kila siku najivunia na naona fahari kukaa kando na pirika pirika za mapenzi....ni kama vile nimeutua mzigo mzito kichwan na moyoni.......
Kuishi kibachela ni raha sana.....kwani kila kitu kinakuwa under your control.......
Sikirii hata kuoa....na sijui kama tena nitaweza kuishi na mwanamke.........

Mwenyewe unapanga ule nini.....unapanga ndani kwako paweje......na mpangilio wa vitu vyako vinakuwa bora sana.....

Chumbani kwako kunakuwa kama paradiso ndogo.....ni mahali ambapo unatuliza moyo wako na pirika pirika za mji na maisha.....

Muda huu nipo zangu ndani kimya....huku nimeshika kitabu nikiongeza maarifa.....nikisindikizwa na mixing kali za wakina BOYZ II MEN.....Joe Thomas.....R Kelly.....bila ya mkuwasahau wakali blue....kama Ken G....na Bryan Adam.....mimi ni ndani tu......jikoni nikisubiri mchanganyiko wa ndizi na nyama viive nishushie na juice ya embe..........

Its lots of funny here......
Umesahau kuandika katika mambo unayoyafanya hapo ulipo ni pamoja na kupitia jf kuangalia kuna nini ili uweze kusocialize na wana jf na kutupia maoni yako.
 
madem wengi wanakuja hom for one night stand hawamini km nipo single.yn kuanzia stting room,kitchen,toilet,bedroom ni km kwa cr7 getto la ukweli kishenzi.Bila kusahau soft drink kwa friji kusema nawagonga dada zenu teh teh napata sana usumbufu kitaa
 
Hii ni kiashiria tosha kuwa tunahitaji Ndoa za mikataba....mwaka mmoja au miwili mna renew au kila mtu anachukua ustaarabu wake.
 
madem wengi wanakuja hom for one night stand hawamini km nipo single.yn kuanzia stting room,kitchen,toilet,bedroom ni km kwa cr7 getto la ukweli kishenzi.Bila kusahau soft drink kwa friji kusema nawagonga dada zenu teh teh napata sana usumbufu kitaa
Waoe sasa acha kuharibu Dada zetu hata kama hawajitambui.
 
Back
Top Bottom