titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,565
- 9,806
Namie narusiwa kujongea huko chembani,au protocol ni first come first serve?![]()
![]()
![]()
naja ...

Namie narusiwa kujongea huko chembani,au protocol ni first come first serve?![]()
![]()
![]()
naja ...

Mpwa, nimecheka sana. Msome BADILI TABIA then uniambie una uzoefu kiasi gani...
Si utafute mwingine mbona wengi sana.Namie narusiwa kujongea huko chembani,au protocol ni first come first serve?![]()
Cc le mutuzzzzbachelor rankings...
18 - 22 yrs - Bachelor I
23 - 26 yrs - Bachelor 2
27 - 29 yrs - Senior Bachelor
30 - 33 yrs - Principal Bachelor
34 - 37 yrs - Deputy Chief Bachelor
38 - 40 yrs - Chief Bachelor
41 - 48 yrs - Bachelor General
49 - 53 sponsor
54 yrs............Field Marshall.
C&P
Bachelor GeneralHahahah upo kundi gani????![]()
![]()
![]()
Mwanamke mzee anaanzia umri gani? Hii thread umenichekesha mnoSichagui ila mwanamke mzee sioi.
Bora niendelee kupata vyeo.
Mhhhh.....Tatizo ni kupata anayehitaji mume katika umri sahihi yaani 18-25yrs.
Humu wengi jua limezama.

Na ulivyo mashuhuri kushauri wana ndoa...
Huna tofauti na kibao kinachoelekeza njia ambayo chenyewe hakijawahi kupita..
Dah mtani wanikenja..yani nimecheka balaa.Imeniuma haswaa...bachelor rankings...
18 - 22 yrs - Bachelor I
23 - 26 yrs - Bachelor 2
27 - 29 yrs - Senior Bachelor
30 - 33 yrs - Principal Bachelor
34 - 37 yrs - Deputy Chief Bachelor
38 - 40 yrs - Chief Bachelor
41 - 48 yrs - Bachelor General
49 - 53 sponsor
54 yrs............Field Marshall.
C&P
Umesahau kuandika katika mambo unayoyafanya hapo ulipo ni pamoja na kupitia jf kuangalia kuna nini ili uweze kusocialize na wana jf na kutupia maoni yako.Kwa kweli kila siku najivunia na naona fahari kukaa kando na pirika pirika za mapenzi....ni kama vile nimeutua mzigo mzito kichwan na moyoni.......
Kuishi kibachela ni raha sana.....kwani kila kitu kinakuwa under your control.......
Sikirii hata kuoa....na sijui kama tena nitaweza kuishi na mwanamke.........
Mwenyewe unapanga ule nini.....unapanga ndani kwako paweje......na mpangilio wa vitu vyako vinakuwa bora sana.....
Chumbani kwako kunakuwa kama paradiso ndogo.....ni mahali ambapo unatuliza moyo wako na pirika pirika za mji na maisha.....
Muda huu nipo zangu ndani kimya....huku nimeshika kitabu nikiongeza maarifa.....nikisindikizwa na mixing kali za wakina BOYZ II MEN.....Joe Thomas.....R Kelly.....bila ya mkuwasahau wakali blue....kama Ken G....na Bryan Adam.....mimi ni ndani tu......jikoni nikisubiri mchanganyiko wa ndizi na nyama viive nishushie na juice ya embe..........
Its lots of funny here......
Akikujibu uniite aiseeeeMwanamke mzee anaanzia umri gani? Hii thread umenichekesha mno
Anaanzia 30yrs mkuu.Mwanamke mzee anaanzia umri gani? Hii thread umenichekesha mno
Dah mpwa, Field Marshall na upo poa tu? Kweli tumeumbwa tofauti..Nadhani mpwa naufukuzia uFIELD MARSHALL.....
Waoe sasa acha kuharibu Dada zetu hata kama hawajitambui.madem wengi wanakuja hom for one night stand hawamini km nipo single.yn kuanzia stting room,kitchen,toilet,bedroom ni km kwa cr7 getto la ukweli kishenzi.Bila kusahau soft drink kwa friji kusema nawagonga dada zenu teh teh napata sana usumbufu kitaa