Ogopa ma senior bachelor

Ogopa ma senior bachelor

bachelor rankings...

18 - 22 yrs - Bachelor I
23 - 26 yrs - Bachelor 2
27 - 29 yrs - Senior Bachelor
30 - 33 yrs - Principal Bachelor
34 - 37 yrs - Deputy Chief Bachelor
38 - 40 yrs - Chief Bachelor
41 - 48 yrs - Bachelor General
49 - 53 sponsor
54 yrs............Field Marshall.

C&P
Natafuta field marshal mwenzangu tutengeneze jeshi la familia
 
Ukute fidimasho sampo hii kaingia sehemu ambayo warembo BADILI TABIA na friends wanabarizi, you could see those stares za kisaluti saluti na kujiweka sawa kamanda kaingia...hahaha....life goes on
2596368_barr_mofericharddamijocommissionerforcultureandtourism_jpeg0f58e63fc1758020ec6b23531aa06b93
Hivi ile movie ya zamani ya huyu jamaa aliigiza amewekwa kwenye chupa na mkewe mwishoni akageuka mbwa inaitwaje, naitafuta ila siijui jina. tafadhali kwa anaejua anijuze,
NB: samahani kwa kufungua thread ndani ya comment
 
Uoga wao tu mtani, mtu anaombwa nauli ya daladala tu analia..
Siku hizi wameweka kiwango kabisa ni Tsh30,000 sasa mfano unakuta bajeti zimebana mfukoni una Tsh100,000 tu ukiombwa siku tatu kwisha unaanza kukopa.
Hizi nauli za daladala zimepanda bei.
 
Baadhi yao wamekua wakifanya mambo poa sana pamoja na kua ni mabachelor,kwa mfano Rais Ian Khama .wa Botswana yeye bado ni Bachelor,na kulingana na rank za mdau humu jf nadhani atakua ni Field Marshal kwani yule Bwana atakua na miaka isiyopungua 63 kwa sasa,na juzi hapa taasisi ya UN Economic & social Council imemtangaza kuwa ni rais bora kabisa duniani na wamempa uwezekano wa kuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa kama akitaka(japo sidhani kama rotation ya mabara itamruhusu) ,kwa hiyo mabachelor wamepata role model.
Achia hapoooooo. Huwezi jua kama adballah yupo kama (Wiki ya pili Abdala hasimami baada ya kutembea na mke wa mtu, haja ndogo inatoka rangi mbalimbali). Kama yupo fiti basi vitimbi vya Le Mutuz angalikuwa navyo. Kuna wengine Senior Bachelor kama Moi ambao ni jina ingawa usiku ni mwendo wa kukumbatia.
 
Hivi ile movie ya zamani ya huyu jamaa aliigiza amewekwa kwenye chupa na mkewe mwishoni akageuka mbwa inaitwaje, naitafuta ila siijui jina. tafadhali kwa anaejua anijuze,
NB: samahani kwa kufungua thread ndani ya comment
emoji13.png
emoji13.png
emoji13.png

Suicide Mission.
 
Back
Top Bottom