ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,378
- 118,798
Wenyewe ndio wamechagua kuwa hivyo mtani..
Wakiambiwa "bebi utanioa?" wanakimbia kama wameona nini cha hatari.
Hatari sana, na nyie mmezidi mizinga ndio maana wanakimbia.Wenyewe ndio wamechagua kuwa hivyo mtani..
Wakiambiwa "bebi utanioa?" wanakimbia kama wameona nini cha hatari.
Hatari sana, na nyie mmezidi mizinga ndio maana wanakimbia.Hahahaha lohHahahaaa.....walivyo na roho mbaya wanaweza kukukata vidole....
Eeeh ndioDooh..mkuu hii ni kwa wote(boy and girls au?
Natafuta field marshal mwenzangu tutengeneze jeshi la familiabachelor rankings...
18 - 22 yrs - Bachelor I
23 - 26 yrs - Bachelor 2
27 - 29 yrs - Senior Bachelor
30 - 33 yrs - Principal Bachelor
34 - 37 yrs - Deputy Chief Bachelor
38 - 40 yrs - Chief Bachelor
41 - 48 yrs - Bachelor General
49 - 53 sponsor
54 yrs............Field Marshall.
C&P
Uoga wao tu mtani, mtu anaombwa nauli ya daladala tu analia..![]()
![]()
Hatari sana, na nyie mmezidi mizinga ndio maana wanakimbia.
Hahaha umeona wanavyotubania nafasi. Mpwa anapika hadi ananitisha, mwambie sio vizuri bana. Amkabidhi tu mtu hayo majukumuHahaha, ndio kama hivi mpwa wangu KikulachoChako anaji-brendia zake juice ya embe, huku amepika ndizi nyama, anajisomea majarida ya upishi....
....![]()
![]()
![]()
mpwa usiniue...
ukifika kwenye sponsor nitafuteNatafuta field marshal mwenzangu tutengeneze jeshi la familia
Hehhee ili uniaribie uzee wangu eeeukifika kwenye sponsor nitafute
mimi nadeal na masponsor tu hapaHehhee ili uniaribie uzee wangu eee
Hivi ile movie ya zamani ya huyu jamaa aliigiza amewekwa kwenye chupa na mkewe mwishoni akageuka mbwa inaitwaje, naitafuta ila siijui jina. tafadhali kwa anaejua anijuze,Ukute fidimasho sampo hii kaingia sehemu ambayo warembo BADILI TABIA na friends wanabarizi, you could see those stares za kisaluti saluti na kujiweka sawa kamanda kaingia...hahaha....life goes on
![]()

Siku hizi wameweka kiwango kabisa ni Tsh30,000 sasa mfano unakuta bajeti zimebana mfukoni una Tsh100,000 tu ukiombwa siku tatu kwisha unaanza kukopa.Uoga wao tu mtani, mtu anaombwa nauli ya daladala tu analia..
Huoni kutokaa na mwanamke anafanya viroja vya kama mtoto wa darasa la kwanza.Mbona hamuishi kumnanga lemutuz
80>90 sijalionaHahahah upo kundi gani????![]()
![]()
![]()
Fidel Marshall. .80>90 sijaliona
Achia hapoooooo. Huwezi jua kama adballah yupo kama (Wiki ya pili Abdala hasimami baada ya kutembea na mke wa mtu, haja ndogo inatoka rangi mbalimbali). Kama yupo fiti basi vitimbi vya Le Mutuz angalikuwa navyo. Kuna wengine Senior Bachelor kama Moi ambao ni jina ingawa usiku ni mwendo wa kukumbatia.Baadhi yao wamekua wakifanya mambo poa sana pamoja na kua ni mabachelor,kwa mfano Rais Ian Khama .wa Botswana yeye bado ni Bachelor,na kulingana na rank za mdau humu jf nadhani atakua ni Field Marshal kwani yule Bwana atakua na miaka isiyopungua 63 kwa sasa,na juzi hapa taasisi ya UN Economic & social Council imemtangaza kuwa ni rais bora kabisa duniani na wamempa uwezekano wa kuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa kama akitaka(japo sidhani kama rotation ya mabara itamruhusu) ,kwa hiyo mabachelor wamepata role model.
Isije === Wiki ya pili Abdala hasimami baada ya kutembea na mke wa mtu, haja ndogo inatoka rangi mbalimbaliKwangu mimi maisha haya....ni zaidi ya paradiso.....
Hivi ile movie ya zamani ya huyu jamaa aliigiza amewekwa kwenye chupa na mkewe mwishoni akageuka mbwa inaitwaje, naitafuta ila siijui jina. tafadhali kwa anaejua anijuze,
NB: samahani kwa kufungua thread ndani ya comment![]()
![]()
![]()