KOGELO
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 204
- 361
Sasa huyo panya atakuwa dhaifu.Hili ndilo Jiwe haswa
Hapo usiku panya anatimba masijala abatafuna file zote dadeki.....
Hapo tumeweka tu hayo makaratasi tunasubiri Mzee arudi mjini kumuuguza MamaUsalama wa nyaraka za ofisi utakuwaje, computer zitafanyaje kazi, sidhani kama kuna umeme kwenye hayo mabanda!
Ha ha haaaa! Magu bana, anawafanya hata walioonekana kuwa na akili kuonekana vichaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jengo la Wizara ya Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) linalojengwa katika Mji wa Serikali jijini Dodoma. Rais John Magufuli amesema wizara hiyo imeshindwa kukamilisha ujenzi wa ofisi hizo kwa muda uliopangwa hivyo amemtaka Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo na watumishi wa wizara hiyo kuahamia hivyo hivyo
View attachment 1072478
HatariiiView attachment 1072336View attachment 1072337View attachment 1072338View attachment 1072339
Sent using Jamii Forums mobile app
Utumwa ktk namna nyingineJiiwe ana visa. Nilidhani anatania duh! Hapo ukienda kuapply kazi unapata fasta.
Uposahihi mkuu.Lakini ndio wazembe kuliko wizara nyingine.Lakini hii si ndio ilikuwa wizara ya kwanza kuhamia Dodoma tangu enzi za Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Pinda au nachanganya mafaili?
Sent using Jamii Forums mobile app
umenikumbusha kesi ya SALIMU na Mbwa wa Mwenye mbwa kwenye kitabu cha mfalme Juha cha Farouk Topani! Sijui kwanini wamekifuta kitabu hiki sekondari? nilikuwa nakipenda sana asee!!Ha ha haaaa! Magu bana, anawafanya hata walioonekana kuwa na akili kuonekana vichaa!
Sent using Jamii Forums mobile app