Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,960
- 11,221
Hakuna mtu kati yao anaeweza kumwambia raisi kuna sheria za health and safety ambazo haziruhusu kufanya kazi katika mazingira hayo.
Only in Tanzania
Only in Tanzania
Ha ha haaaa! Magu bana, anawafanya hata walioonekana kuwa na akili kuonekana vichaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
OSHA wapoHakuna mtu kati yao anaeweza kumwambia raisi kuna sheria za health and safety ambazo haziruhusu kufanya kazi katika mazingira hayo.
Only in Tanzania
Awaoni hizo hazards zilizojaa hapo kwenye building site sio tu ni risk kwa wafanyakazi bali ata kwa wateja wao.
Wale hua wanaenda site za wachina na wahindi tuu, tena zile za mjiniAwaoni hizo hazards zilizojaa hapo kwenye building site sio tu ni risk kwa wafanyakazi bali ata kwa wateja wao.
Huu unyenyekevu mwingine unapitiliza kama kitu akiwezekani hao OSHA wanatakiwa waseme hili aliwezekani
Si ajabu kwa malengo ya kutafuta posho kuliko kukagua mazingira, hila hiyo ofisi ya TAMISEMI ni unyenyekevu na woga uliopitiliza hayo si mazingira yakufanyia kazi.Wale hua wanaenda site za wachina na wahindi tuu, tena zile za mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hali ya hewa ya DodomaSi ajabu kwa malengo ya kutafuta posho kuliko kukagua mazingira, hila hiyo ofisi ya TAMISEMI ni unyenyekevu na woga uliopitiliza hayo si mazingira yakufanyia kazi.

Wanao sema kwa kufanya kazi kwenye hayo mazingira hizo sifa sasa zimezidi awajakosea
We are in the right track....Tutembee kifua mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Maskini jaffoHa ha haaaa! Magu bana, anawafanya hata walioonekana kuwa na akili kuonekana vichaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Malizia tuko vizurii mataga yataga
Kwa Tamisemi ndio mnasema sheria za safety haziruhusu mazingira kam hayo kufanyia kazi,Kwa walimu mnaonaga sawa tu na dharau nyiiingiiiii.....Hakuna mtu kati yao anaeweza kumwambia raisi kuna sheria za health and safety ambazo haziruhusu kufanya kazi katika mazingira hayo.
Only in Tanzania