Ofisi za muda za TAMISEMI Dodoma

Ofisi za muda za TAMISEMI Dodoma

Jengo la Wizara ya Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) linalojengwa katika Mji wa Serikali jijini Dodoma. Rais John Magufuli amesema wizara hiyo imeshindwa kukamilisha ujenzi wa ofisi hizo kwa muda uliopangwa hivyo amemtaka Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo na watumishi wa wizara hiyo kuahamia hivyo hivyo
View attachment 1072478

HatariiiView attachment 1072336View attachment 1072337View attachment 1072338View attachment 1072339

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mvua ikanyesha ya nguvu hizo fail au laptop na destop zitakuwa salama. Mie naona ni drama tu za cinema. Hakuna aliehamia wamebandika makaratasi ili ionekane huyo anaeogopwa apate kiki kuwa akisema lzm wafuate wakati yapo kibao yaliyowashinda. Kama Magufuli anasimamia vizuri neha za serikali imekuwaje ikatokea wizi wa matrillion kuliko hata kipindi cha Kikwete
 
Mambo ya kijinga kabisa hayo sasa wamefanya hivyo ili iwe nini hivyo mambo mengine inabidi ufikirie siyo kila unachoambiwa unafanya tu ili mradi kisa Rais amesema wakati mwingine ni kauli anatoa ili muongeze kasi ya utekelezaji kwa viwango siyo ili mradi. Sasa hizo ofisi kweli uwaweke watu hapo na jua la Dodoma lilivyo kutakuwa na utendaji kazi kweli humo, mwekezaji wa kiwanda cha 2b kwa mfano naye aingie kwenye ofisi ya mabanda kweli tuko serious hivi walifikiria impact ya hicho walichofanya?

Viongozi wetu wana tatizo mahali siyo bure

Si ajabu kwa malengo ya kutafuta posho kuliko kukagua mazingira, hila hiyo ofisi ya TAMISEMI ni unyenyekevu na woga uliopitiliza hayo si mazingira yakufanyia kazi.

Lakini hii si ndio ilikuwa wizara ya kwanza kuhamia Dodoma tangu enzi za Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Pinda au nachanganya mafaili?
Sifa za kijinga hizo!!! Na utakuta tatizo ni jiwe mwenyewe, kutopereka pesa kwa wakati na kutumia hao wakandarasi ambao hakuna mchakato wa tender!! Leo anataka kuonekana shujaa!!!
Wizara zote walipewa pesa sawa, Tamisemi wakatafuta njia njia kujenga ghorofa ambali limechukuwa muda mrefu kumalizika, sasa Mh Rais akasema wefanyekazi humo humo. Nafikiri ilikuwa "figuratively speaking" wangeweza hata kujenga kibanda cha mbao kwa siku tatu na kujihifadhi hapo huku ujenzi ukiendelea.
 
Tamisemi wana ofisi zao kali tu mjini tangu enzi hizo... sijaelewa kwa nini waache majengo yao town...

Nahisi tu wanazuga ili jamaa ajisikie vizuri.
Watu wako ofisini town.

Sent using LF Electromagnetic Waves
 
Jengo la Wizara ya Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) linalojengwa katika Mji wa Serikali jijini Dodoma. Rais John Magufuli amesema wizara hiyo imeshindwa kukamilisha ujenzi wa ofisi hizo kwa muda uliopangwa hivyo amemtaka Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo na watumishi wa wizara hiyo kuahamia hivyo hivyo
View attachment 1072478



Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hili jengo bado halijaisha tu...!!!
 
Back
Top Bottom