M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
utoto tu huu..Jengo la Wizara ya Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) linalojengwa katika Mji wa Serikali jijini Dodoma. Rais John Magufuli amesema wizara hiyo imeshindwa kukamilisha ujenzi wa ofisi hizo kwa muda uliopangwa hivyo amemtaka Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo na watumishi wa wizara hiyo kuahamia hivyo hivyo
View attachment 1072478
HatariiiView attachment 1072336View attachment 1072337View attachment 1072338View attachment 1072339
Sent using Jamii Forums mobile app