Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Sasa hivi ni rushwa na pesa yako ndio itakufanya usiende gerezani.
Dpp na mahakama ndio imekuwa kitovu cha kuachia wenye pesa hata kama wanamakosa.
Hayati JPM alidhibiti kabisa hii hali ya rushwa hasa mahakamani na ofisi ya Dpp.
Dpp anafuta kila siku kesi za watu ambao ipo wazi kabisa wana makosa.
Mwaka mmoja tu, tunashuhudia mabadiliko makubwa. Huko polisi ndio hovyo kabisa
Dpp na mahakama ndio imekuwa kitovu cha kuachia wenye pesa hata kama wanamakosa.
Hayati JPM alidhibiti kabisa hii hali ya rushwa hasa mahakamani na ofisi ya Dpp.
Dpp anafuta kila siku kesi za watu ambao ipo wazi kabisa wana makosa.
Mwaka mmoja tu, tunashuhudia mabadiliko makubwa. Huko polisi ndio hovyo kabisa