Sio huu uchawi feki wa Mshana Jr, nataka uchawi wa kuwaadhibù wote wenye dharau na mashauzi nchini.
Naanza na wale waliochota mahela ya umma na uchafu wao umeorodheshwa kwenye CAG report.
Siwatoi mabusha, nawamaliza kwa mateso makali.
DPP ni nani hadi anawakumbatia wezi wasichunguzwe na...
DPP AMFUTIA KESI ALIYEJIPATIA BILIONI 5 KWA UDANGANYIFU
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) amemfutia kesi Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JATU PLC, Peter Gasaya, aliyekuwa anakabiliwa na mashtaka ya kujipatia Tsh. Bilioni 5.1 kwa njia ya udanganyifu
Ni baada ya kuwasilisha hati ya...
Sasa hivi ni rushwa na pesa yako ndio itakufanya usiende gerezani.
Dpp na mahakama ndio imekuwa kitovu cha kuachia wenye pesa hata kama wanamakosa.
Hayati JPM alidhibiti kabisa hii hali ya rushwa hasa mahakamani na ofisi ya Dpp.
Dpp anafuta kila siku kesi za watu ambao ipo wazi kabisa wana...
Tumeshuhudia watu wengi wasio na ufahamu wakisema eti kesi ya Mbowe tuiachie Mahakama iamue na kusiwekwe shinikizo la serikali kuiondoa kwa vile ni ya kubumba.
Tumeona pia Bunge la EU lililaumiwa eti liache kumshinikiza Rais Samia kuondoa kesi hii kwa vile tayari iko mahakamani. Tukumbuke...
Si jambo la kulikalia kimya. Lazima niseme ukweli juu ya jambo hili. Ukweli wa heri na si wa shari. Ingawa ni jambo linaloruhusiwa kikatiba na kisheria kuwepo kwa uwezekano wa mtu binafsi kumshtaki mwingine kijinai, masuala yote ya kijinai yapo chini ya Ofisi ya Mashtaka ya Taifa iliyo chini ya...
Nakumbuka ni kipindi ambacho afisi ya DPP iligeuka kuwa TRA yani mtuhumiwa anakili kosa kisha analipa fidia mambo yanaisha. Hii iliwahusu wale wenye kesi za uhujumu uchumi.
Lakini ghafla tukasikia ofisi imevunjwa na nyaraka zimeibwa.
Sasa nauliza vipi hili sakata liliishaje?
Vipi watuhumiwa...
Rais Samia ana kila sababu ya kuivunja ofisi ya DPP na kuisuka upya kwa sababu imeshindwa kukidhi mahitaji ya Taifa na kuonyesha umahiri wake.
Itakumbukwa kuwa Mbowe alikamatwa yapata mwezi mmoja na nusu uliyopita na kuunganishwa katika kesi ya ugaidi inayowakabili watuhumiwa watatu...
Katika gazeti la Raia Mwema la leo, Jumatano, August 18, 2021, kuna habari kwamba Waziri Mkuu, Majaliwa, amewapa TAKUKURU na DPP siku nne kuwafikisha mahakamani watuhumiwa fulani wa ufisadi. Haya maagizo sio tu ni ya kushangaza, lakini pia ni ushahidi kwamba nchi yetu ina viongozi ambao hawajui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.