Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,121
- 527
Miezi kadhaa iliyopita tulionyeshwa ramani ya jengo la gorofa wakidai ndiyo itakuwa Ofisi mpya ya CHADEMA.
Juzi hapa vyombo vya habari vimeonyesha jengo tofauti kabisa na Ramani ambayo CHADEMA wangejenga, mbaya zaidi jengo linaonekana Kama ni used kwa kuangalia ukubwa wa miti na maua yanayolizunguka jengo.
Tunaomba chama (CHADEMA) kitoke hadharani kijibu maswali yafuatayo;
1. Ramani ya awali mmejengea jengo la Nani? Na kwanini mlitumia garama kubwa kuandaa ramani ili Hali mnajua hamtaitumia?
2. Hilo jengo mmenunua/mmejenga na Kama mmejenga kwanini mlituficha Ramani mkaonesha Ramani ya ghorofa?
3. Nani mmiliki wa chopa?
ASANTENI
Naishukru serikali chini ya Dr. Samia kwa kuendeleza Uhuru wa habari na kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa.
Juzi hapa vyombo vya habari vimeonyesha jengo tofauti kabisa na Ramani ambayo CHADEMA wangejenga, mbaya zaidi jengo linaonekana Kama ni used kwa kuangalia ukubwa wa miti na maua yanayolizunguka jengo.
Tunaomba chama (CHADEMA) kitoke hadharani kijibu maswali yafuatayo;
1. Ramani ya awali mmejengea jengo la Nani? Na kwanini mlitumia garama kubwa kuandaa ramani ili Hali mnajua hamtaitumia?
2. Hilo jengo mmenunua/mmejenga na Kama mmejenga kwanini mlituficha Ramani mkaonesha Ramani ya ghorofa?
3. Nani mmiliki wa chopa?
ASANTENI
Naishukru serikali chini ya Dr. Samia kwa kuendeleza Uhuru wa habari na kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa.