Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,578
- 217,950
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetangaza kwamba mpaka sasa kimejenga ofisi mpya za kisasa zinazofikia idadi ya 457, nchi nzima.
Jambo hili limefichuliwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho, John Mnyika akiwa Mkoani Rukwa kwa ajili ya mpango wa kisasa wa kusajili wanachama unaoitwa Chadema Digital.
Mnyika amedai kwamba Chadema iliona ni vema kupeleka majengo kwenye mzizi wa wanachama nchi nzima badala ya kuweka jengo moja lenye vyumba 450 Makao Makuu, na kwamba mchakato wa Ujenzi wa Makao Makuu utaanza baada ya kusimika ofisi nchi nzima.
Mungu Ibariki Chadema.
Jambo hili limefichuliwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho, John Mnyika akiwa Mkoani Rukwa kwa ajili ya mpango wa kisasa wa kusajili wanachama unaoitwa Chadema Digital.
Mnyika amedai kwamba Chadema iliona ni vema kupeleka majengo kwenye mzizi wa wanachama nchi nzima badala ya kuweka jengo moja lenye vyumba 450 Makao Makuu, na kwamba mchakato wa Ujenzi wa Makao Makuu utaanza baada ya kusimika ofisi nchi nzima.
Mungu Ibariki Chadema.