Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

hivi unajua eneka na fire zina view ngapi mpaka sasa,zikiwa na zaidi ya mwezi???
wewe subiri...mimi siongelei hizo eneka and so forth...subiri in one week utaniambia

halafu tukianza kuangalia mwenye views nnyingi kwa nyimbo zake youtube nadhani unamjua....haipaswi kupiga kampeni ili watu waende youtube ili kuonesha kuna views nyingi..Views ya nyimbo za mondi huwa zina flow zenyewe tu..hakuna mtu huwa anapiga kampeni watu waende youtube
 
wewe subiri...mimi siongelei hizo eneka and so forth...subiri in one week utaniambia

halafu tukianza kuangalia mwenye views nnyingi kwa nyimbo zake youtube nadhani unamjua....haipaswi kupiga kampeni ili watu waende youtube ili kuonesha kuna views nyingi..Views ya nyimbo za mondi huwa zina flow zenyewe tu..hakuna mtu huwa anapiga kampeni watu waende youtube
Mimi naomba unitafute wiki ijayo muda kama huu,ukiwa na screenshot ya video zote mbili.
 
mbona wimbo mbaya kiasi hiki

Siasa basi
b65f885a3ebf6198a9b22935463b729b.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bongo fleva wana nyimbo nyingi nzuri lakini hapa king Kiba kaliamsha dude.

Hii ngoma ni from anaza planeti. Ingepigwa na R Kelly au mwanamuziki mkubwa wa Marekani ingetamba duniani kote.

Ni vigumu kuulewa huu mwimbo hasa video yake, lakini ndivyo watunzi wazuri wanavyotunga. Unaweza kuchukia movie ya Spike Lee kumbe ni kwa sababu tu huko naye level moja kiutunzi.

Mtunzi katumia lugha tatu bila ya kuzikwaruza. Nimewafowadia waspanish wakabaki hoi. Wanacheza sana "despacito" (taratibu/polepole)

Sina timu ila wazungu wanasema give credit when due.

Hongera sana King Kiba.

 
Shikamoo, nakupa heshima kwa umri ulionao.

Leo nimewiwa kukupa salamu ukiwa kama mkongwe katika tasnia ya Muziki ambayo bado unatamba hadi sasa, nasema shikamoo kaka.

Kaka Kiba, kwa umri ulionao sasa wa miaka 42 ni dhahiri umeona na kujifunza mengi katika Muziki. Wenzako uliokuwa nao wakati wako kama Mzee Selemani Msindi (Simba wa Moro), Mzee Joseph Mbilinyi (Sugu), Mzee Joseph Haule (Professor J) Mzee Sogy Dogy, Mzee Suma Lee, Mzee Solo Thang, Mzee Dully Sykes na wengineo.

Hao wenzako wote kwa sasa hawako active katika muziki lakini wewe bado unadunda, hongera sana.

Ujumbe kwako kaka ni kwamba, unajisahau kuwa wewe ni ligendari na kujiingiza kutunga nyimbo za kitoto/vijana wadogo ambazo zimekosa ujumbe maksusi na kukusadifu na umri na ukongwe ulionao.

Wimbo wako wa Mwana Dar es salaam ulikuwa kiigizo chema sana. Lakini huu wimbo hauna ujumbe kwa jamii. Wimbo huu utatamba kwa muda mfupi na kupotea kabisa kwani hauna hisia na kukidhi vigezo vya ligendari.

Nakushauri uache tungo za namna hiyo na ufyatua vitu vya maana kama Mwana.

Nimeambiwa kuwa kuna baadhi ya wanasiasa ambao taswira zao siku za karibuni zimeingia madoa ndio wanaokushabikia. Najua ni haki yao, lakini wasitumie mgongo wako kujisafisha na maji machafu.

Ni hayo tu kaka, shikamoo.
 
Nikiwa kama miongoni mwa watu wanaofuatilia mziki wa kizazi kipya nimeona itakuwa sio mzuka kutotia tia neno katika wimbo ambao ni homa ya majiji makubwa yote duniani wanaojua mziki mzuri..kwa tafiti yangu ya siku chache nimegundua wimbo huu wa Ally una maajabu kumi kama ifuatavyo:-

1.Kautoa bila interview wala kuipeleka redioni lakini ndani ya dakika chache maDJ wote wa redio wanayo

2.Imegonga view million ndani ya masaa 38

3.Kafunika pengo la NEYO katika verse ya mwisho kwa verse kali inayofanya ajisifie NEYO kutakuwepo kwani angemharibia wimbo

4.Ni wimbo uliosababisha mpinzani wake kimziki apanic na kutoa wimbo si wimbo comedy si comedy akiwa na mawigi usiku wa manane...for the first time ukiona huo wimbo unaweza ukajua Eric Omond katoa kichekesho kumbe ni wimbo

5.wimbo huu umefanya kipigo cha arsenal,draw ya yanga na ushindi mnono wa Simba S.C isiwe habari ya kuzungumziwa kwa wanamichezo

6.Wimbo huu umefanya tukio la mlipuko ofisi za IMMA ADVOCATES iwe ni habari ya kawaida wakati ni tukio kubwa

7.Imeunganisha maadui wengi katika mitandao ya kijamii

8.imezima story za hamisa mobeto kuzalishwa na Nasib

9.huu wimbo imefanya WCB waingie jikoni kutengeneza booster iizime (soon mtasikia diamond kamuoa zari au diamond kamkubali mtoto aliyezaa na hamisa mobeto)...

10.huu wimbo umefanya niikumbuke password yangu ya kuingilia humu JAMII FORUMS
Namba 4 kiboko kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Seduce Me ya Alikiba imepokelewa vizuri na kuvunja rekodi ya youtube Afrika. Sasa wale wazee wa figisufigisu team Mond, wamekuja na skendo ya kurekodi Cover ya Seduce me, ili kuhamisha viewers wa Seduce me ya Alikiba kwenye Youtube.

Mshindwe eee

Tazama Seduce Me Alikiba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom