Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Mange huwa anapendwa na watu kama ww wasio na maana,,
Huku kwetu hata hatumjui kabisa.

Yeye anafahamika na watu wasio na shughuli maalum ambao kazi yao ni kulandalanda mitandaon kufuatilia umbea, lakn wale wenye shughuli maalum na wanaojielewa na walio kijijin hata hawawezi kumwelewa kwanza yeye ni hear say wakat magufuli tuko naye physically na tunaona matendo yake..
 
Magufuli alipata zaidi mil 8 na baba yako lowasa alipata zaidi ya mil 6 huo ni mwaka 2015 na kwa akili yako uliyoitoa rehani kwa wanasiasa unadhani mwaka 2020 kutakua na wangapi. Wewe mwenye elimu ya kihiyo kwa takwimu waliojiandikisha mwaka 2015 walikua 23,782,558. Kabla hujakashifu mtu fanya research kwanza otherwise hata huyo le mutz atakua kakuzidi kiakili. BVR 31 August 2015
Wewe ni kichaa hebu nenda milembe kaendelee na dozi , kwahiyo kura Million 6 + Milioni 8 unapata kura milioni 20+!!!!!!

Ni Heri taifa liwe na miti inapendezesha nchi na kuleta upepo mwanana kuliko kuwa na mizee mitaahila kama .......


Kwa taarifa yako tangu uchaguzi Wa mwaka 2015 idadi ya wapiga kura imekuwa ikididimia mwaka hadi mwaka

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Magufuli alipata zaidi mil 8 na baba yako lowasa alipata zaidi ya mil 6 huo ni mwaka 2015 na kwa akili yako uliyoitoa rehani kwa wanasiasa unadhani mwaka 2020 kutakua na wangapi. Wewe mwenye elimu ya kihiyo kwa takwimu waliojiandikisha mwaka 2015 walikua 23,782,558. Kabla hujakashifu mtu fanya research kwanza otherwise hata huyo le mutz atakua kakuzidi kiakili. BVR 31 August 2015
Achana naye Huyo. Usibishane na kula kulala , mtu analala kwa shemeji yake unafikir atakuwa na akili?
 
Sikuamini wimbo wa Alikiba kuweza fikisha views million mbili ndani ya masaa 70. This is hilarious kwakweli!

Lakini inabidi tuelewe kuwa hizi views zimeboostiwa na huyu Malikia wa mtandao wa kijamii, Mange Kimambi.

Campaign aliyoifanya sio ya kawaida. Naimani bila yeye angeishia kupata views wasiozidi 1m ndani ya masaa 70.

Kitu nilichogundua ni kuwa huyu Dada si wa kumpuuza. Watu wengi wanamfatilia na kucheza ngoma anayowapigia.

Hii kampain aliyomfanyia kiba ikitokea 2020 akawafanyia wapinzani, CCM tutapotezana.

Ushauri. Everybody has his price. CCM Fanyeni usajiri mapema. Mange si wa kupuuza. 2020 atakuwa na followers zaidi ya 3m.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.

Acha kuifananisha CCM na Vitu vya Kijinga!

Kaondoka CCM Kigogo, Hirizi ya Chama Kama alivyo sema Balozi Mwapachu akimaanisha ni Mzee Ngombale Mwiru wengine mkatuambia alikuwa na Kadi namba nane ya TANU na alijiunga TANU 1954 Miaka mitano kabla hajazaliwa Amiri Jeshi wetu Daktari Magufuli lakin sasa hivi haonekani hata ukimtafuta kwa Tochi la Solar

Kaondoka Ngoyai Mtu aliekuwa na Tingisho la Karne akitua kwny Mji Basi ni kula na kusaza lakin kashindwa kuitoa CCM
Kaondoka Mr Zero PM aliehudumu Cheo hicho kwa Muda mrefu zaid lakin wapiii

Hao wote Washindwe kuitoa CCM ije itolewe na Malaya wa kwenye Mitandao ya Simu Kama vile Wapiga kura wote ni Malaya?
 
Mange huwa anapendwa na watu kama ww wasio na maana,,
Huku kwetu hata hatumjui kabisa.

Yeye anafahamika na watu wasio na shughuli maalum ambao kazi yao ni kulandalanda mitandaon kufuatilia umbea, lakn wale wenye shughuli maalum na wanaojielewa na walio kijijin hata hawawezi kumwelewa kwanza yeye ni hear say wakat magufuli tuko naye physically na tunaona matendo yake..
Yani mtu anaweza kujitukana mwenyewe kwa kujua au kutokujua, maana yote uliyoandika hapa yanakuhusu.
 
nyimbo inapromotiwa utadhani ina ujumbe wa kuleta maendeleo ya haraka sana hii inji. kumbe ni mapenzi tu, kwani kaimba ngapi za hivyo? Huu utimu una matatizo kweli, mtu anashabikia hata mtu akinya. Kingine nyimbo zake zote za vilevile, najuta hata kutupia view yangu pia youtube, kwa sababu nilivyosikiliza nikajiuliza mbona kama ya zamani, kumbe zinafananaga tu. Sasa mnachoshabikia ni kwa sababu katoa nyimbo au ujumbe wa nyimbo au kipi? Watz bana, hata haina ubunifu
 
Nikiwa kama miongoni mwa watu wanaofuatilia mziki wa kizazi kipya nimeona itakuwa sio mzuka kutotia tia neno katika wimbo ambao ni homa ya majiji makubwa yote duniani wanaojua mziki mzuri..kwa tafiti yangu ya siku chache nimegundua wimbo huu wa Ally una maajabu kumi kama ifuatavyo:-

1.Kautoa bila interview wala kuipeleka redioni lakini ndani ya dakika chache maDJ wote wa redio wanayo

2.Imegonga view million ndani ya masaa 38

3.Kafunika pengo la NEYO katika verse ya mwisho kwa verse kali inayofanya ajisifie NEYO kutakuwepo kwani angemharibia wimbo

4.Ni wimbo uliosababisha mpinzani wake kimziki apanic na kutoa wimbo si wimbo comedy si comedy akiwa na mawigi usiku wa manane...for the first time ukiona huo wimbo unaweza ukajua Eric Omond katoa kichekesho kumbe ni wimbo

5.wimbo huu umefanya kipigo cha arsenal,draw ya yanga na ushindi mnono wa Simba S.C isiwe habari ya kuzungumziwa kwa wanamichezo

6.Wimbo huu umefanya tukio la mlipuko ofisi za IMMA ADVOCATES iwe ni habari ya kawaida wakati ni tukio kubwa

7.Imeunganisha maadui wengi katika mitandao ya kijamii

8.imezima story za hamisa mobeto kuzalishwa na Nasib

9.huu wimbo imefanya WCB waingie jikoni kutengeneza booster iizime (soon mtasikia diamond kamuoa zari au diamond kamkubali mtoto aliyezaa na hamisa mobeto)...

10.huu wimbo umefanya niikumbuke password yangu ya kuingilia humu JAMII FORUMS
Watu wa promo wewe mojawapo. Huu wimbo hauna jipya pambaneni na hali zenu tim kiba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini za asubuhi wanajamvi... masaa sita ya nyongeza ya Mange kupromote nyimbo mbovu kabisa kuwahi kutolewa na KingKiba na kujikusanyia viewers wa kutosha yamekwisha; ningeomba wazee wa katuni watutengenezee katuni la KingKiba kupata hiyo habari.
Ubovu wa nyimbo hii ulihojiwa hata JF ni nyimbo haieleweki lkn Mange ameifanya ivunje rekod kwa kuangaliwa zaidi! Lkn tujiulize ni akina nan walioiangalia nyimbo husika?
Yes, binafsi najutia view yangu ivoongezea umaarufu nyimbo ya hovyo kama nnavojutia kura yangu ya mwaka 2015.... I wish withdraw my view.
Mange Mungu anakuona, hayo yanaitwa matumizi mabaya ya umaarufu, ni kweli ww ni maarufu sana hapa Tz, umewafanya hata wanasiasa wajifanye kupost iyo video ili uwasifie au hata wapate followers IG.
Mwisho lkn sio kwa umuhimu, hao viewer ni followers wa Mange na sio shabiki wa Kingkiba, kuprove hili ngoja baada ya promo ya huyu mdada je itaendelea ku_increase number followers at increasing rate? Apa tuelewane AT INCREASING RATE.
Mwisho kabisa sister unatuharibia Bongofleva, bora ungeacha kazi zipate fair competition; team zikompete fairly. Kama kisingizio ni WCB kuungana na kutoa nyimbo pia Kiba anateam yake wangetoa nyimbo. Nmechowapendea WCB wanajibu kwa kaz sio maneno IG km wanavofanya team ya kiba kama akina OmmyD. Sasa kusitishwa promo yako ndo mwisho wa hiyo nyimbo.
Viewers wa Diamond alisema hababaiki kwani ni robot; wa kununua. naomba nimuulize Kiba na team yake je na nyie mmenunua viewers?[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Ngoja nikuulize Dai Ana followers 4M ameshindwaji kujipata promo mpaka Mange mwenye followers 1M amshinde ?!!! Huko instagram si mna timu zenu zenye followers Kama Wa Mange imeshindikana nini kufanya promo ????!!!!!! Na Kama sip shabiki kilikupeleka nini kutizama iyo video na walokua wanamtumia video mange nao sip mashabiki ?!!! Mbona nawe ujamtumia ?!!!! [emoji12][emoji23][emoji23] binafsi sio shabiki wa Dai dio maana sijaenda poteza muda wangu kutizama huko YouTube .....
 
Tueleze kwanini Umefukuzwa Africa Swahili TV na hasira zako unafungua online TV?! nakupa siku tatu uje na Uzi wa declaration LA sivyo nakuanika kumtia hasara mosha zaidi ya Mil.400/
Du W. J. Malecela si anashare African Swahili? Hiyo taarifa kama ina ukweli flani hivi,sijajua kwanini Le Mutuz wakianzisha kitu na wenzake baada ya mda anajitoa (mgogoro au kaona fursa zaidi) na yeye anaenda kuanzisha kama hicho, rejea walivyoanzisha JF na Sasa Africa TV/Radio, Kwasasa yupo mbioni kuanzisha na yeye redio yake! Kuna kitu hapa ebu jazia nyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo Diamond ana maadui na mashabiki wengi, Aangalie wapi anakosea! Hawa wote ni watu wenye chuki na dogo wachache sana ni mashabiki wa Kiba! Nimeona vilevile wasanii wenzie wengi hawampendi jinsi wanavyojifanya kuisifia Seduce me ni maajabu wakati kuna ngoma za Kiba zilishawahi kutoka ni kali zaid ya hii na hawakuwahi kumsifia, Wengi walikua kimya walivyoona kuisifia hii ngoma unatembelea Kiki za Mange wakaibuka hadi Wanasiasa ambao nadhan hata sio wapenzi wa music wakasifia, All in all nilikua namchukulia poa Mange kumbe ana influence ya ajabu ni haki wanasiasa kumuogopa na Kiba inabidi amtoe dada wa Watu na dola kadhaa(ingawa nahisi tayar alishafanya hivyo)
 
Du W. J. Malecela si anashare African Swahili? Hiyo taarifa kama ina ukweli flani hivi,sijajua kwanini Le Mutuz wakianzisha kitu na wenzake baada ya mda anajitoa (mgogoro au kaona fursa zaidi) na yeye anaenda kuanzisha kama hicho, rejea walivyoanzisha JF na Sasa Africa TV/Radio, Kwasasa yupo mbioni kuanzisha na yeye redio yake! Kuna kitu hapa ebu jazia nyama.

Sent using Jamii Forums mobile app

Alikua ana share 1% (LoL) wamemtia hasara jamaa wakati wanaanzisha na TV kwa Dar na Radio Morogoro (Ipo na inafanya kazi jengo la Nssf) Mosha akawa anataka kuona mambo yakisonga siku hadi siku akawachukua washkaj flani hivi akawaweka kama wakurugenzi (Jina kapuni ni wana sana) na huyo bwn Le bilionea akawa kama "Ceremonial figure" ..jamaa kuja kutahamaki Mil.400/= wamelamba halaf mambo hayasongi...akaona isiwe kesi...fukuza wote! kwahiyo le bilionea akawa hana ujanja na alisha jisifu ana tv ndio kuja na online kama kuzuga kuondoa nishai! utafute uzi wa MSAGA SUMU uone vifaa vya studio ya kisasa! kuna vifaa vya kukalia maarufu kama kiti! haha nafwaaa!!
 
Mange wapi
21149223_169404436955116_9187330238969806848_n.jpg
 
Usipenda kuandika kitu usichokijua. Youtube views zinahesabiwa per device not persons.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.

Eeeeeeeh nimepitwajeeeee.... embu niambie....si bora ungesema juu ya 300 na 301..
 
Back
Top Bottom