Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Nakwambia nyie dawa yenu ni kuchapiwa mama zenu maana heshima hamna kabisa.....wapi ommy uje umanue vichupi vya mama zao huku
Ommy chakula cha wanaume pale alikuwa na mama mkwe wake alitoka kubanduliwa na mondi akaona apige picha ya kushukuru kumzalia kijana anayejua kupumulia vizuri
 
Kweli nimeamini ukizidisha uongo,hautodumu muda mrefu utakua cha,juzi tumeaminishwa kila kina ya nchi hii bonge ya ngoma,lakini ni siku ya 5 Leo toka itoke na ishapotra


Tuliwaeleza vijana wa Instagram,huku kitaa wanagonga ngoma ya ZILIPENDWA TU NA WCB


Wakatutukana sana,nafikiri ulikua upepo mchafu wa SEDUCE ulikua umepita

Haya ngoma ile ilopewa kiki Instagram na kuhimizana kusaka view imeshatupwa kapuni



Daaahhh waTZ hawaaa,mapenzi ya dhati siku moja,siku ya pili kila MTU anakula kina

Hahahahaaaaa daaahhhhh,kweli MONDI MASHINE,KABAKI MWENYEWE MJINI
WENGINE AIBU TUPU KUAMINISHA UMMA NA DUNIA KUA TUMEVUNJA RECORD KUMBE NI UJINGA WA KUBEMBELEZEA WATU KTK VIEW


NA SASA NDO MSHAMPOTEZA HUYO KWA PROMO
AJE FIELD SASA AONE WANAUME WANAVYOENDELEA KUKIMBIZA KITAANI HUKUU.
 
Mpaka umeanzishia thread inaelekea umekupa jinamizi la mahaba niue...
 
Ila ndo ukweli maana baada ya kampeni za mange naona view wameganda hata hawaingezeki ni aibu sana pale hii itapitwa viewz na zilipendwa....

Sent using Jamii Forums mobile app
SiMZIGO WA MWIZI HAUBEBEKI,KAZI WANAYO ITABID KILA SIKU WAFANYE KAZI YA KUONGEZA VIEW TU MAANA JAMAA HANA TIME HYO NI MDOHOMDOGO TU



NA KITAA HUKU TUNAPEWA VITU VYA ZAMANI,ZILIPENDWA



DAAAAHHHH HAWA JAMAA WAMETUKUMBUSHA MBALI SANA TULIPO TOKA
 
Ila nadhani cha moto mmekipata, hamtarudia tena kushindanisha dagaa na samaki licha ya kua zote ni jamii moja ila zinatofautina pakubwa
 
Niko kwenye ki-hice hapa zilipendwa imepigwa ikaisha wamerudia tena huu wimbo yaani mpaka nimeshuka ni zilipendwa,kwa kweli mtaani hawajui kama kuna seduce ya alikiba....Diamond anajitaidi sana kiba ni promo tu za media na mtandaoni...na huo ndio ukweli
Zishafeli sasa,na ile ukweli ambao kawaida huchelewa tu kufika ndo umeanza kupiga hodi
 
Mz
Ila nadhani cha moto mmekipata, hamtarudia tena kushindanisha dagaa na samaki licha ya kua zote ni jamii moja ila zinatofautina pakubwa
mzee naona mtoto wa kike akawalaza macho limradi tu mkomoe,sasa msiishie hapo mje huku mtaani kwenye vichwa NGUMU kutoa mondi vichwani mwao mufanye installation za kiba wa seduce
 
Wimbo umeusikia kwenye daladala unapigwa kwa kurudiwa rudiwa,hebu tujuze kwanza hivi ukipanda daladala anaemua we usikilize nini ni dereva au nyie mliopanda?
So kama dereva flash yake ndio inawimbo huo tu au ameweka repeat utasikiliza bila kupenda.Hili beef lao wote waache wauwane we pambana kusaka ugali na school fees ya watoto wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli nimeamini ukizidisha uongo,hautodumu muda mrefu utakua cha,juzi tumeaminishwa kila kina ya nchi hii bonge ya ngoma,lakini ni siku ya 5 Leo toka itoke na ishapotra


Tuliwaeleza vijana wa Instagram,huku kitaa wanagonga ngoma ya ZILIPENDWA TU NA WCB


Wakatutukana sana,nafikiri ulikua upepo mchafu wa SEDUCE ulikua umepita

Haya ngoma ile ilopewa kiki Instagram na kuhimizana kusaka view imeshatupwa kapuni



Daaahhh waTZ hawaaa,mapenzi ya dhati siku moja,siku ya pili kila MTU anakula kina

Hahahahaaaaa daaahhhhh,kweli MONDI MASHINE,KABAKI MWENYEWE MJINI
WENGINE AIBU TUPU KUAMINISHA UMMA NA DUNIA KUA TUMEVUNJA RECORD KUMBE NI UJINGA WA KUBEMBELEZEA WATU KTK VIEW


NA SASA NDO MSHAMPOTEZA HUYO KWA PROMO
AJE FIELD SASA AONE WANAUME WANAVYOENDELEA KUKIMBIZA KITAANI HUKUU.

hahahaha...watu wanahamasishana eti twende yOUTUBE tukaangalie...mimi nawapa wiki tu wataona mziki mzuri wa Mondi unavyo overtake

Hhahahahahah.....Kiba hana mashabiki..ila anapata support ya haters wa mondi
 
hahahaha...watu wanahamasishana eti twende yOUTUBE tukaangalie...mimi nawapa wiki tu wataona mziki mzuri wa Mondi unavyo overtake

Hhahahahahah.....Kiba hana mashabiki..ila anapata support ya haters wa mondi
[emoji13] [emoji13] [emoji13] hivi unajua eneka na fire zina view ngapi mpaka sasa,zikiwa na zaidi ya mwezi???
 
Back
Top Bottom