dem boyz
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 7,384
- 16,985
He he he bora nguvu za Mange kuliko nguvu za giza..
He he he bora nguvu za Mange kuliko nguvu za giza..
We upo hapa hapa Bongo au Afghanistan???wimbo wa Diamond umekamilika una ujumbe na mavazi na scene yake iko poa kabissa
ni utundu wa kubuni na akili
Huu wa Kiba ni wimbo wa kawaida sana na ku copy kwa kudhani unaleta kitu kipya , video mbovu ni music ambazo hutumiwa sana na Gays Music Club.... Seduction ni music za gays ambao ni common kule Marekani na Ulaya
Pia huimbwa kwenye sherehe za Freemason
nyimbo kama hizo mara nyingi huimbwa na wanawake ..Wimbo wa mahadhi haya umewahi kuimbwa na Celine Dion na Gerd
kuiga sana ndio hivo unakoroga mavi.
na washabiki wake wanafanya ku like tu kichwa kichwa
Huu wa Kiba ni wimbo wa kawaida sana na ku copy kwa kudhani unaleta kitu kipya , video mbovu ni music ambazo hutumiwa sana na Gays Music Club.... Seduction ni music za gays ambao ni common kule Marekani na Ulaya
Pia huimbwa kwenye sherehe za Freemason
nyimbo kama hizo mara nyingi huimbwa na wanawake ..Wimbo wa mahadhi haya umewahi kuimbwa na Celine Dion na Gerd
kuiga sana ndio hivo unakoroga mavi.
na washabiki wake wanafanya ku like tu kichwa kichwa
Hiyo comment yako bob iko vice-versa inaonekana we wa mkoa sio dar es salaam coz unaonekana hujui kinachoendeleawimbo wa Diamond umekamilika una ujumbe na mavazi na scene yake iko poa kabissa
ni utundu wa kubuni na akili
Huu wa Kiba ni wimbo wa kawaida sana na ku copy kwa kudhani unaleta kitu kipya , video mbovu ni music ambazo hutumiwa sana na Gays Music Club.... Seduction ni music za gays ambao ni common kule Marekani na Ulaya
Pia huimbwa kwenye sherehe za Freemason
nyimbo kama hizo mara nyingi huimbwa na wanawake ..Wimbo wa mahadhi haya umewahi kuimbwa na Celine Dion na Gerd
kuiga sana ndio hivo unakoroga mavi.
na washabiki wake wanafanya ku like tu kichwa kichwa
Tatizo umemjua Mange juzi juzi, kama ungemjua tangu tangu enzi za blog yake usingesema yuko bize na Kiba anaacha mambo ya harakati.exactly she's kind of desparate akikuchukia atadeal na wew aone umeanguka anamchukia diamond tokea wema alivyoachwa na alikuwa very disappointed na wema kudate watu maskini na waajabu hili la hamisa nalo ndo kabisa kamchukia diamond mara tatu coz alijua zari anaachwa anaolewa hamisa things zimeenda vice versa ndo kaamishia hasira kwa kiba ili kumzima diamond kuna watu wanasemaga Ana matatizo ya akili hasa yakugombana ona sasa ivi kasahau issue za kiharakati yuko busy na kiba
Kigwangala na mange wapi na wapi...
wimbo wa Diamond umekamilika una ujumbe na mavazi na scene yake iko poa kabissa
ni utundu wa kubuni na akili
Huu wa Kiba ni wimbo wa kawaida sana na ku copy kwa kudhani unaleta kitu kipya , video mbovu ni music ambazo hutumiwa sana na Gays Music Club.... Seduction ni music za gays ambao ni common kule Marekani na Ulaya
Pia huimbwa kwenye sherehe za Freemason
nyimbo kama hizo mara nyingi huimbwa na wanawake ..Wimbo wa mahadhi haya umewahi kuimbwa na Celine Dion na Gerd
kuiga sana ndio hivo unakoroga mavi.
na washabiki wake wanafanya ku like tu kichwa kichwa
mnapowalinganisha hao wawili mkumbuke tu kuwa Diamond ni nyota zaidi ya Ali Kiba, na huu ni ukweli wa mambo
Ni nguvu ya wimbo
Teh tehHe he he bora nguvu za Mange kuliko nguvu za giza..
Tunakomaa nao au sioAccacia, Makinikia na Mapini pia,Zimbabwe zimezimwa kwa mda ikipita wiki tunaamsha dude.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mange ni attentional seeker ama kwangu Mimi naweza sema ana ADHD kwa sababu hata ile ya kusaidia watu anafanya tu ili watu wamtambue na kuamini kuwa anaweza kubadili mambo na kuwa kama atakakavyo yeye.I admit that but when we reflect back what she did for people is unexplainable that's why she wins a lot of followers that stood for her up to now , but I felt overwhelmed why she still involved in this current two musicians and stood one one side intentionally , though I though she is only based on politician but for this I salute her
I'm done with her
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu she is after revenge huyu Dada na si uchambuzi kwa great thinker atajua hata sababu ya kuwaandama maccm huenda ikawa hakupata mile alichotarajia toka kwao baada ya kampeni aloifanyaUje bhana watu wengi wanategemea taarifa. Kutoka kwa mange ila sahiv hakuna cha harakat zaidi ya kutaka kumwangusha diamond na kumpandisha alikiba this show how base on her needs without know now am mature enough let as base in revolution hapo nampunguzia credit realize she after visasi na sio uchambuz
Sent using Jamii Forums mobile app