Obadiahmayunga
Senior Member
- Sep 19, 2014
- 163
- 109
kumuelewesha mtu mtu ambaye hataki kuelewa mwenyewe na pia anatanguliza hard feelings utajipa kazi
Nani amewahi?????Mh unauwakika haijawah kutokea au Ndio ushabiki tu.
Kupenda chochote anachokitoa msanii wake.KKwani Kazi ya mashabiki ni nini????
[emoji106]Sipendi hili neno "Mimi sina Team". Naona limekaa kinafiki sana.
Sent by Samson Cyper
Akikujibu fanya kun tag.Nani amewahi?????
Safi mkuu diamond angekaa kimya naiman hii nyimbo isingesifiwa kiasi hikiHuo wimbo sio kwamba ni mkali kivile ila ninachoona hapa ni watu kutembelea kiki...hao wote wameona hiyo bifu ya hizo nyimbo mbili ina trend hivyo wameamua kutumia fursa...
Alafu Ali Kiba kapata huruma ya watu baada ya Diamond kutoa "boko" (kutoa wimbo kutaka kufunika wimbo wa mwenzake) kitu ambacho watu wengi ata ambao ni fans wake kuona kama ni miyeyusho.
Mondi kabugi sana safari hii kaupa huo wimbo wa Ali Kiba umaarufu ambao haukustahili japo wimbo ni mzuri ila sio kwa kiwango hicho tunachoaminishwa.
Kwahiyo kumbe mange ana nguvu kubwa kiasi hicho mbona kila siku mnamdharau!
hahahahahah yericko nyerere katukanwa hebu weka hayo matusi hapa huyu jamaa simpendi kabisaTatizo hao wanaomsifia kiba wanaogopa kusifia diamond sababu ya kutukanwa. Yani ukiwa against hiyo seduction unaoga matusi.
Cheki kilichompata yericko nyerere
Ai bye maiselfu agirii wizi yua komenti veri veri veri much. [emoji1] [emoji1]Huo wimbo sio kwamba ni mkali kivile ila ninachoona hapa ni watu kutembelea kiki...hao wote wameona hiyo bifu ya hizo nyimbo mbili ina trend hivyo wameamua kutumia fursa...
Alafu Ali Kiba kapata huruma ya watu baada ya Diamond kutoa "boko" (kutoa wimbo kutaka kufunika wimbo wa mwenzake) kitu ambacho watu wengi ata ambao ni fans wake kuona kama ni miyeyusho.
Mondi kabugi sana safari hii kaupa huo wimbo wa Ali Kiba umaarufu ambao haukustahili japo wimbo ni mzuri ila sio kwa kiwango hicho tunachoaminishwa.
Daa mkuu kumbe,sasa ndan ya 7days ndo tutakuwa na m2+ .Bado masaa machache nyimbo ifikishe siku ya tatu viewers m1.8+ kwa sasa nadhani team kiba watafikisha 2m soon...aiseee
Seduce