Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

wimbo wa Diamond umekamilika una ujumbe na mavazi na scene yake iko poa kabissa
ni utundu wa kubuni na akili
Huu wa Kiba ni wimbo wa kawaida sana na ku copy kwa kudhani unaleta kitu kipya , video mbovu ni music ambazo hutumiwa sana na Gays Music Club.... Seduction ni music za gays ambao ni common kule Marekani na Ulaya
Pia huimbwa kwenye sherehe za Freemason

nyimbo kama hizo mara nyingi huimbwa na wanawake ..Wimbo wa mahadhi haya umewahi kuimbwa na Celine Dion na Gerd

kuiga sana ndio hivo unakoroga mavi.
na washabiki wake wanafanya ku like tu kichwa kichwa
KWENDRAAAAAAAA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So many people look at mange kimambi as an ordinary person. To me I take it differently, she is of person who always wish to impose her thoughts into others while she keeps on maintaining her lifestyle despite cries from different people of different caliber.
Let's look at the new event which is trending in social Media, ALI KIBA with his new release SEDUCE ME, she Has dedicated her time ,energy and resources to make sure Ali kiba beats Diamond.
My question is,who will be next in the line?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wew hapo

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Uje bhana watu wengi wanategemea taarifa. Kutoka kwa mange ila sahiv hakuna cha harakat zaidi ya kutaka kumwangusha diamond na kumpandisha alikiba this show how base on her needs without know now am mature enough let as base in revolution hapo nampunguzia credit realize she after visasi na sio uchambuz

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa halafu sijakuelewa maana huyo unaemtetea hataki kabisaaaa kusikia kuna mtu anataka kumpita pale kileleni

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
[HASHTAG]#MODS[/HASHTAG] MSIJARIBU KUHAMISHA HUU HUZI Jamani acheni niseme leo nakua sonara wa maneno kama kawaida yangu kumwaga cheche
(i)Seduce me ni kama dawa kwa mgonjwa usipomeza huponi
(ii) Seduce me ni kama nguo usipovaa hujakamilika
(iii) Seduce me ni chakula tosha cha ubongo hapa tunakutibu haswaaa

(Iv)Seduce me ni kama hiyo smartphone yako sharti uwe nayo uweze kuaccess mambo humu jukwaani


(V) Seduce me ni kama mange kimangi pale instagram insta bila mange ni sawa na gari bila engine

(Vi) Seduce me ni kama pesa lazima uwe nazo mfukoni

(Vii) Seduce me ni kama sex kwenye maisha yako inakutoa stimu zoteeeee

(Viii)Seduce me ya kiba ni kama baby lazima uwe nae au mke na mume




(Ix) Seduce me ya kiba ni kama sabuni au dawa ya kuondoa uchafu uliokithiri wa kule B.C.W

(x)Seduce me ni kama technology ya kutoondoa kutoka kwenye [HASHTAG]#ZILIPENDWA[/HASHTAG] za kilimbukeni mpaka kwenye digitali ya utandawazi
[HASHTAG]#NDUKIIIIIIIIIIII[/HASHTAG][emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]



Sent using Jamii Forums mobile app
Mlishabikia '' Muziki" Ya Jamaa ikadoda, ikibuma mtaenda wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wimbo wa Diamond umekamilika una ujumbe na mavazi na scene yake iko poa kabissa
ni utundu wa kubuni na akili
Huu wa Kiba ni wimbo wa kawaida sana na ku copy kwa kudhani unaleta kitu kipya , video mbovu ni music ambazo hutumiwa sana na Gays Music Club.... Seduction ni music za gays ambao ni common kule Marekani na Ulaya
Pia huimbwa kwenye sherehe za Freemason

nyimbo kama hizo mara nyingi huimbwa na wanawake ..Wimbo wa mahadhi haya umewahi kuimbwa na Celine Dion na Gerd

kuiga sana ndio hivo unakoroga mavi.
na washabiki wake wanafanya ku like tu kichwa kichwa
Before mondi mlikua mashabiki wa kiba nyie

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Habari zenu na heshima kwenu, ni miezi kadhaa sasa toka siasa itawale kila kilichofanyika tofauti na siasa hakikuweza kuzima siasa.
Katika mziki hii ilipelekea kila mwanamuziki aliyejaribu kutoa wimbo basi wimbo wake ulibuma ndani ya muda mfupi.
Kuna mifano ya wasanii walio jaribu kutoa nyimbo zao bado hazikuweza kuzima upepo wa siasa kama vile... hasara roho wa Darasa, ...kuna Rich Mavoko na Harmonize..., Ney wa mitego... Weusi na wimbo wao madaraka ya kulevya .....na hata Diomond na nyimbo zake eneka na fire hazikuweza kuhamisha fikra za watanzania.

Sasa turudi kwa mwanamuziki Alikiba kitendo cha kutoa wimbo wake wa Seduce me ndani ya muda mfupi watanzania washasahau hata makanikia na kuondolewa zile stress za kusubiri Noah. Huu wimbo umeosha ubongo wa watanzania na kufanya kuwa habari kubwa sasa hivi kila kona ni kiba kiba....

Big up Alikiba seduce me ni imefanya watu wasahau usanii wa wa wanasiasa

South
 
Nimekuelewa halafu sijakuelewa maana huyo unaemtetea hataki kabisaaaa kusikia kuna mtu anataka kumpita pale kileleni

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Hakuna nae mtetea wala nini kwanza mimi hizo team siko wanazo watu wanaofaid kama hauna unachokipata na unapiga kelele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni sawa tu na enzi za wimbo wa ney wa mitego wapooooo

kuna ishu ilizimwa!
 
Mpaka sasa wafuatao wameweza kutoa pongezi zao kwa Ali Kiba kwa kuachia ngoma Kali ambayo imekuwa gumzo kitaifa na kimataifa

Ali Happi - DC Kinondoni
Hamis Kigwangala - Mbunge - Nzega
Ridhione Kikwete Mbunge Chalinze
Profesa J - Mbunge - Mikumi
Jokate - Kiongozi UVCCM

Christina Shusho - Mwimbaji Wa Nyimbo za injiri
Wema Sepetu - Mwigizaji
Lulu - Mwigizaji
Duly sykies - Msanii
na wengine wengiiiiiiiiiiiiiiii

Tofauti na hali tuliyoizoea hakuna msanii aliyewahi kutoa wimbo akateka media pamoja na mind za watu kiasi hiki hadi kupelekea watu wengi kufunguka kiasi hiki

Kiba nyota yako itazidi kung'araaaaaaaaaaaa
 
Huo wimbo sio kwamba ni mkali kivile ila ninachoona hapa ni watu kutembelea kiki...hao wote wameona hiyo bifu ya hizo nyimbo mbili ina trend hivyo wameamua kutumia fursa...

Alafu Ali Kiba kapata huruma ya watu baada ya Diamond kutoa "boko" (kutoa wimbo kutaka kufunika wimbo wa mwenzake) kitu ambacho watu wengi ata ambao ni fans wake kuona kama ni miyeyusho.

Mondi kabugi sana safari hii kaupa huo wimbo wa Ali Kiba umaarufu ambao haukustahili japo wimbo ni mzuri ila sio kwa kiwango hicho tunachoaminishwa.
 
Back
Top Bottom