leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,439
- 1,850
Mi naona wameamisha hisia za wale wenye mgando wa fikra how seduce will make you to reach your goal sema wewe husiseme watanzaniaHabari zenu na heshima kwenu, ni miezi kadhaa sasa toka siasa itawale kila kilichofanyika tofauti na siasa hakikuweza kuzima siasa.
Katika mziki hii ilipelekea kila mwanamuziki aliyejaribu kutoa wimbo basi wimbo wake ulibuma ndani ya muda mfupi.
Kuna mifano ya wasanii walio jaribu kutoa nyimbo zao bado hazikuweza kuzima upepo wa siasa kama vile... hasara roho wa Darasa, ...kuna Rich Mavoko na Harmonize..., Ney wa mitego... Weusi na wimbo wao madaraka ya kulevya .....na hata Diomond na nyimbo zake eneka na fire hazikuweza kuhamisha fikra za watanzania.
Sasa turudi kwa mwanamuziki Alikiba kitendo cha kutoa wimbo wake wa Seduce me ndani ya muda mfupi watanzania washasahau hata makanikia na kuondolewa zile stress za kusubiri Noah. Huu wimbo umeosha ubongo wa watanzania na kufanya kuwa habari kubwa sasa hivi kila kona ni kiba kiba....
Big up Alikiba seduce me ni imefanya watu wasahau usanii wa wa wanasiasa
South
Sent using Jamii Forums mobile app